Selwa
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 543
- 524
https://youtu.be/zRUlBXRYqD4
Katika pita pita zangu jana nimefanikiwa kuangalia interview za wanawake wawili walioacha ndoa zao Lisa wa Mabeste na Shamsa Ford... baada ya kusikiliza nimeona niandike huu uzi labda mtanielewa
Wanawake acheni kuforce mahusiano,mtaja umia vibaya sana.
1. Huwezi kua na uhusiano ambao una mwezi au miezi miwili afu ukawa unaishi na bwana hapo hapo ukajifungia kwa kweli me kama mwanaume siwezi kukuheshimu yani kirahisi hivo? Yani upate mtu mwenye uelewa wa hali juu labda ndo atakuelewa miezi miwili ndi mnaishi wote na mtoto juuu hata familia yangu itakushangaa. ila wanawake jamani tumieni birth control haiwezekani miezi miwili ya mahusiano una mimba! mtawasumbua watoto. Shamsa ndo akaniacha hoi wiki tatu baada ya kujuana na jamaa akaolewa...ivi mko serious kweli?
2. muache mwanaume afight kukupata usijirahisishe hata siku moja. atakuheshimu akiwa ametumia akili kukupata. me mwanamke ambae sijahangaika nae kwa kweli anikati stimu ila kama wife aise nimehustle mpaka yule mwanamke kuwa wangu I feel proud kwamba yani she was worth it kupata yeye ilikuwa bahati
3. usimsaidie mtu majukumu yake aise... ikitokea unamsaidie Mkopeshe na sio unamlemaza kusaidia kila siku kila kitu wewe unamvua wanaume wake. Shamsa anasema analiparent yeye na kaolewa mara analipa rent ya duka mume anakimbilia China wakati huo huo Lisa Nasema alimkopesha mwanaume mahari...aise sasa unaendelea nae wa nini? mtu hana ata mahari kukutolea humo ndani mtaishhije mtu alipo hana rent na mmeoana ndani unaishi nini?
Siri moja wanawake kama Mwanaume anakutamkia neno Ndoa kaeni chini pigeni mahesabu. wote mnaingiza kiasi gani kwa mwezi na mahitaji yenu ni nini mtayamudu vipi na ikishindikana namna mnavofikiri inakuaje. muweke mipango kabisa kama hauna kazi akuambie na atakusaidie vipi uache kukaa nyumbani ili kussupport kulea familia sio unaolewa tu hujui ata utakula nini
4. Kabla hujaolewa mchunguze mtu kama kajipanga kimaisha kama bado hajajipanga yeye mwenyewe kama mwanaume usitegemee hio ndoa itakua smooth maaana yeye bado hajajisimama.
5. wanawake kuweni serious na kitu inaitwa ndoa. mshirikishe Mungu. yule dada Lisa sijamuelewa kabisa...ndugu wa familia hawakupendi bado mwanaume haleti kitu ndani bado unangangania ukaolewa nae..sasa alikuwa anategemea nini hasa? Naamini kabisa kama hawa wanawake wangemshirikisha Mungu kabla ya ndoa hao wanaume wangeondoka mapema tu wadada msichukulie kirahisi ndoa nawasihi kama mtu ni mvivu kwenye uhusiano kwenye ndoa ntakua mvivu mara 10. kama mtu ni mchovu kwenye uhusiano kwenye ndoa ntakua mvivu mara 10.
Na wanaume acheni kubeba majukumu ambayo hamuyawezi mbona mnasumbua dada za watu... huna hela ya rent unao ili iweje? huna kipato unaoa kufanya nini utamlea vipi mtoto wa watu...usiwe na haraka wewe tafuta hela muweke sawa ukipata pesa ambayo ina uhakika unaweza kula kila mwezi na rent haikupigi chenga ndo uoe.... me nshamaliza wakuu
Katika pita pita zangu jana nimefanikiwa kuangalia interview za wanawake wawili walioacha ndoa zao Lisa wa Mabeste na Shamsa Ford... baada ya kusikiliza nimeona niandike huu uzi labda mtanielewa
Wanawake acheni kuforce mahusiano,mtaja umia vibaya sana.
1. Huwezi kua na uhusiano ambao una mwezi au miezi miwili afu ukawa unaishi na bwana hapo hapo ukajifungia kwa kweli me kama mwanaume siwezi kukuheshimu yani kirahisi hivo? Yani upate mtu mwenye uelewa wa hali juu labda ndo atakuelewa miezi miwili ndi mnaishi wote na mtoto juuu hata familia yangu itakushangaa. ila wanawake jamani tumieni birth control haiwezekani miezi miwili ya mahusiano una mimba! mtawasumbua watoto. Shamsa ndo akaniacha hoi wiki tatu baada ya kujuana na jamaa akaolewa...ivi mko serious kweli?
2. muache mwanaume afight kukupata usijirahisishe hata siku moja. atakuheshimu akiwa ametumia akili kukupata. me mwanamke ambae sijahangaika nae kwa kweli anikati stimu ila kama wife aise nimehustle mpaka yule mwanamke kuwa wangu I feel proud kwamba yani she was worth it kupata yeye ilikuwa bahati
3. usimsaidie mtu majukumu yake aise... ikitokea unamsaidie Mkopeshe na sio unamlemaza kusaidia kila siku kila kitu wewe unamvua wanaume wake. Shamsa anasema analiparent yeye na kaolewa mara analipa rent ya duka mume anakimbilia China wakati huo huo Lisa Nasema alimkopesha mwanaume mahari...aise sasa unaendelea nae wa nini? mtu hana ata mahari kukutolea humo ndani mtaishhije mtu alipo hana rent na mmeoana ndani unaishi nini?
Siri moja wanawake kama Mwanaume anakutamkia neno Ndoa kaeni chini pigeni mahesabu. wote mnaingiza kiasi gani kwa mwezi na mahitaji yenu ni nini mtayamudu vipi na ikishindikana namna mnavofikiri inakuaje. muweke mipango kabisa kama hauna kazi akuambie na atakusaidie vipi uache kukaa nyumbani ili kussupport kulea familia sio unaolewa tu hujui ata utakula nini
4. Kabla hujaolewa mchunguze mtu kama kajipanga kimaisha kama bado hajajipanga yeye mwenyewe kama mwanaume usitegemee hio ndoa itakua smooth maaana yeye bado hajajisimama.
5. wanawake kuweni serious na kitu inaitwa ndoa. mshirikishe Mungu. yule dada Lisa sijamuelewa kabisa...ndugu wa familia hawakupendi bado mwanaume haleti kitu ndani bado unangangania ukaolewa nae..sasa alikuwa anategemea nini hasa? Naamini kabisa kama hawa wanawake wangemshirikisha Mungu kabla ya ndoa hao wanaume wangeondoka mapema tu wadada msichukulie kirahisi ndoa nawasihi kama mtu ni mvivu kwenye uhusiano kwenye ndoa ntakua mvivu mara 10. kama mtu ni mchovu kwenye uhusiano kwenye ndoa ntakua mvivu mara 10.
Na wanaume acheni kubeba majukumu ambayo hamuyawezi mbona mnasumbua dada za watu... huna hela ya rent unao ili iweje? huna kipato unaoa kufanya nini utamlea vipi mtoto wa watu...usiwe na haraka wewe tafuta hela muweke sawa ukipata pesa ambayo ina uhakika unaweza kula kila mwezi na rent haikupigi chenga ndo uoe.... me nshamaliza wakuu