Kwa mujibu wa gazeti la Raia Mwema toleo la leo Membe amewataka viongozi wa dini kuwa macho na wanasiasa wanaokimbilia makanisani kujisafisha, ujumbe huo aliutoa katika hafla fupi ya kuliombea taifa huko Mtwara
My take: Alikuwa wapi wakati Maaskofu wanasema Jk ni chaguo la Mungu!
My take: Alikuwa wapi wakati Maaskofu wanasema Jk ni chaguo la Mungu!