Pigo moja, pigo lenye nguvu, pigo takatifu. Angalau kuna mtu amenyanyua mdomo kuwaambia ukweli viongozi wa dini. Lakini kwa ushabiki wetu uchwara kuna watu wataona kwamba mungu wao ametukanwa kumbe waliopewa live ni waponyaji wa roho zetu, na siyo huyu mwizi wa mali zetu anazozitapanya sasa hivi.
Hivi humuogopi Pasco wewe? Subiri akushukie kama mwewe baada ya kudaka mshiko wake. Shauri yako!