Allien
JF-Expert Member
- Jul 6, 2008
- 5,546
- 1,861
Wana JF,
Kuna mdau anataka ku-invest katika TV Station DSM na sasa anaandaa Mchanganuo kwa ajili hiyo ili kuufikisha katika vyombo husika by January 2010.
Anapenda TV atakayoianzisha iwe na mambo yafuatayo:
Inatakiwa zaidi ya 60% ya vipindi viwe local programs (Local Content) na chini ya 40% vinaweza kuwa vipindi vya nje (Foreign Content).
Je ni nini mawazo yako juu ya vipindi mbalimbali na viendeshwe kwa staili gani ili kufanikisha malengo yake?
Kuna mdau anataka ku-invest katika TV Station DSM na sasa anaandaa Mchanganuo kwa ajili hiyo ili kuufikisha katika vyombo husika by January 2010.
Anapenda TV atakayoianzisha iwe na mambo yafuatayo:
- Iwe na vipindi vya kuvutia sana kiasi kwamba kila anayefungulia asihamie channel nyingine.
- Iwe inaelimisha katika mambo ya msingi ambao Watazamaji watajifunza na yatawasaidia.
- Isaidie Kupiga Vita Ufisadi
- Isaidie kubadilisha Attitude ya Watanzania katika kujiletea maendeleo
- Isaidie katika kuondoa umasikini kupitia vipindi vyake
- Isaidie katika suala zima la Ujasiliamali.
- Pia Entertainment, Michezo, Vipindi vya watoto nk. nk.
Inatakiwa zaidi ya 60% ya vipindi viwe local programs (Local Content) na chini ya 40% vinaweza kuwa vipindi vya nje (Foreign Content).
Je ni nini mawazo yako juu ya vipindi mbalimbali na viendeshwe kwa staili gani ili kufanikisha malengo yake?