Mdau Anataka Kuanzisha TV - Iwe na Vipindi Gani?

fred macha ameshirikiana na mtu mmoja kuanzisha TV huko UK nimesahau jina lake ila kwa sasa anatafuta sana watafiti mbali mbali kuhusu vipindi na mambo mbali mbali kuhusu TV hiyo , ni ya uingereza lakini itakuwa inaonyesha mambo halisi ya kiafrika sio propaganda za magaribi

Hao consumer insight wako Nkurumah kuna mtu anaitwa James ni mkenya ndio Director kwa tanzania nafikiri tovuti yao ni www.ciaafrica.com , Hao research international wako Viktoria Director wao anaitwa Vuri ila kuna manaja mwingine anaitwa Tupelike Subiri nichek kama naweza kupata no zako ntakupa Pm

Mkuu Shy asante sana kwa information na promise ya contacts. Nitasubiri uni-PM na pia nitatembelea tovuti tajwa hapo juu.

Tuko pamoja Mkuu.
 
Bila kusahau mimi mwenyewe ninatarajia kuanzia mwaka huu mwishoni hivi kuanza vipindi maalumu kwenye tv mbali mbali vya kuelimisha jamii bado najiweka sawa nafikiri tutaonana na huyo mdau huko mbeleni

Nakuaminia sana Mzee wa TEKNOHAMA.

Kama utakuwa na mapendekezo au proposal za ubunifu juu ya uendeshaji wa kipindi, basi nitakuunganisha na Mdau wakati mwafaka ukifika.
 
Mimi nadhani vipindi vita tegemea soko analo lenga na ukubwa wa soko hilo. Kama kituo kita kuwa kina rushwa Dar tu lazima vipindi vitakua tofauti kama kki rushwa Tanzania nzima. Hali kadhalika audience wake, ana tegemea kuvutia watu wa aina gani? Kwa mfano, watu wanao angalia ITV ni tofauti na wanao angalia EATV na hata mtu akiangalia vyote ana tafuta kitu tofauti kutoka kwenye kila kituo. Je ana taka kituo kifuate format gani? Kituo kita kua na agenda gani? Hii hai maanishi kituo ni cha kipendeleo bali ukweli ni kwamba kila kituo kina vitu fulani ambavyo ni muhimu zaidi kuliko vingine. Research mkuu lazima iwe na specific guidelines. Tusije tuka toa ushauri kumbe siyo hata vision ya mwenye kituo au siyo njia anayo taka kuelekea.
 
Mimi nadhani vipindi vita tegemea soko analo lenga na ukubwa wa soko hilo. Kama kituo kita kuwa kina rushwa Dar tu lazima vipindi vitakua tofauti kama kki rushwa Tanzania nzima. Hali kadhalika audience wake, ana tegemea kuvutia watu wa aina gani? Kwa mfano, watu wanao angalia ITV ni tofauti na wanao angalia EATV na hata mtu akiangalia vyote ana tafuta kitu tofauti kutoka kwenye kila kituo. Je ana taka kituo kifuate format gani? Kituo kita kua na agenda gani? Hii hai maanishi kituo ni cha kipendeleo bali ukweli ni kwamba kila kituo kina vitu fulani ambavyo ni muhimu zaidi kuliko vingine. Research mkuu lazima iwe na specific guidelines. Tusije tuka toa ushauri kumbe siyo hata vision ya mwenye kituo au siyo njia anayo taka kuelekea.


Mkuu wangu asante sana.

Agenda kuu ni MADILIKO. Kwamba Watanzania tunao uwezo wa kujiletea mabadiliko na rasilimali zote tunazo. Hili linawezekana kupitia jitihada binafsi au kama jamii. Mkuu hii ndiyo Theme Kuu.

Sasa vipindi vya namna yoyote vinatakiwa hatimaye vilenge hapo.
 
Bila kusahau mimi mwenyewe ninatarajia kuanzia mwaka huu mwishoni hivi kuanza vipindi maalumu kwenye tv mbali mbali vya kuelimisha jamii bado najiweka sawa nafikiri tutaonana na huyo mdau huko mbeleni

- Mkuu wasalaam, kumbe na wewe uko njiani, basi tutakutana huko karibuni maana TV station ya jamaa yangu bado inasua sua lakini iko kwenye matayarisho ya mwisho ilikuwa ifunguliwe Jan, lakini ikakwama kidogo, pia waliamua kuhamia kwenye makao yao, anyway naona tutakutana huko soon!

nb; Vipi Bado uko kwenye line ile ile ninataka kukutwangia, ni-PM.

Ahsante.

William.
 
Mkuu wangu asante sana.

Agenda kuu ni MADILIKO. Kwamba Watanzania tunao uwezo wa kujiletea mabadiliko na rasilimali zote tunazo. Hili linawezekana kupitia jitihada binafsi au kama jamii. Mkuu hii ndiyo Theme Kuu.

Sasa vipindi vya namna yoyote vinatakiwa hatimaye vilenge hapo.

Ngoja nika kune kichwa nirudi na kitu cha maana.
 
- Mkuu wasalaam, kumbe na wewe uko njiani, basi tutakutana huko karibuni maana TV station ya jamaa yangu bado inasua sua lakini iko kwenye matayarisho ya mwisho ilikuwa ifunguliwe Jan, lakini ikakwama kidogo, pia waliamua kuhamia kwenye makao yao, anyway naona tutakutana huko soon!

nb; Vipi Bado uko kwenye line ile ile ninataka kukutwangia, ni-PM.

Ahsante.

William.

Haaa haaa Mkuu, unazungumzia Clouds TV nini? Na mimi pia nimesikia toka mwaka juzi lakini naona bado hawako hewani. Huenda wanaendelea na matayarisho maana niliona kipindi fulani Kusaga alikuwa anafuatilia sana mambo ya Equipments za TV. Sasa hivi wameshahamia makao yao mapya Mikocheni na wanaendelea vizuri.

Huyu jamaa yangu yeye amejipanga kuanza by january 2010. Mkuu mimi nakaa madongo kuinama huku, network tabu kidogo mpaka upande juu ya paa.

Nitaku-PM nikiwa vizuri.
 
Inavyo elekea jamaa ana taka kuigusa jamii kiujumla. Uki zingatia hivyo, siyo wote wenye kiwango sawa cha elimu wa uelewa, siyo kila mtu mwenye exposure sawa na si kila mtu ana access na mambo yanao gusa jamii yetu. Sasa basi nita tuoa general suggestions na specific suggestions.

General suggestions:
Vipindi viwe na lugha rahisi ambayo kila mtu anaweza kuelewa na kufuatilia lakini pia lugha hiyo iwe kama ambavyo inge tumika darasani. Siyo kwa sababu una lenga jamii kubwa vipindi vina kua na lugha za mitaani au kutumia kiswahili kibovu.

Material za vipindi viwe researched. Najua kuna baadhi ya vipindi mtangazaji au muongozaji ana kuwa anatoa maoni yake mwenyewe ila kuna vitu vina hitaji research na kuangalia pande zote za shilingi.

Hata kama kituo kita kuwa na bias fulani irushe pia na maoni ya watu wa upande wa pili ili watu wachambue wenyewe hoja ipi ni sawa. Haita kuwa vizuri kusukuma personal agendas wazi wazi iwe kwa kituo kiu jumla au watangazaji wake.

Iwe na vipindi maalumu vya intellectuals. hivi vipindi vilenge jamii iliyo elimika au wenye uelewa wa kina na jambo fulani. Siyo siri kuwa bila wasomi jamii yoyote haiendelei. Kwa hiyo haita kua vibaya kuwa na vipindi vya kisomi zaidi ambazo zina encourage mgongano wa mawazo.

Aajiri professionals. Kuingiza watu ambao hawaja somea fani zao vizuri au kutoa nafasi kiupendeleo ita haribu maanaa yote ya kitup. Watu wapewe nafasi kutokana na merit.

Specific suggestion:
Kuna wakati ITV ilikua iki rusha kipindi cha "Mgongano wa Mawazzo". Format yake ilikuwa kiforum na kidebate. Kila wiki kuna topiv fulani. Watu wana tangaziwa kabla topic ya wiki wakienda wamesha jiandaa na cha kusema. Japo kili kuwa kina rushwa nilipo kuwa mdogo nakumbuka fika kilivyo kuwa kina sisimua.

Kuwe na kipindi kitakacho onyesha watanzania mbali mbali ambao kwa namna moja au nyingine wame fanikiwa iwe kibiashara, kisiasa au kitaaluma. Tuna hitaji watu ambao wame fanikiwa wawape moyo wenzao kuwa wana weza na pia watoe ushauri wa jinsi ya kufanikiwa katika nyanja mbali mbali.

Kuwe idea nyingine ya kipindi ila hicho kama upo interested naomba uni tumie pm tutaelezana huko. Ni something that is near and dear to me kama kijana na nadhani itakuwa idea nzuri ila wahusika wenyewe wana judge hilo.
 
Inavyo elekea jamaa ana taka kuigusa jamii kiujumla. Uki zingatia hivyo, siyo wote wenye kiwango sawa cha elimu wa uelewa, siyo kila mtu mwenye exposure sawa na si kila mtu ana access na mambo yanao gusa jamii yetu. Sasa basi nita tuoa general suggestions na specific suggestions.

General suggestions:
Vipindi viwe na lugha rahisi ambayo kila mtu anaweza kuelewa na kufuatilia lakini pia lugha hiyo iwe kama ambavyo inge tumika darasani. Siyo kwa sababu una lenga jamii kubwa vipindi vina kua na lugha za mitaani au kutumia kiswahili kibovu.

Material za vipindi viwe researched. Najua kuna baadhi ya vipindi mtangazaji au muongozaji ana kuwa anatoa maoni yake mwenyewe ila kuna vitu vina hitaji research na kuangalia pande zote za shilingi.

Hata kama kituo kita kuwa na bias fulani irushe pia na maoni ya watu wa upande wa pili ili watu wachambue wenyewe hoja ipi ni sawa. Haita kuwa vizuri kusukuma personal agendas wazi wazi iwe kwa kituo kiu jumla au watangazaji wake.

Iwe na vipindi maalumu vya intellectuals. hivi vipindi vilenge jamii iliyo elimika au wenye uelewa wa kina na jambo fulani. Siyo siri kuwa bila wasomi jamii yoyote haiendelei. Kwa hiyo haita kua vibaya kuwa na vipindi vya kisomi zaidi ambazo zina encourage mgongano wa mawazo.

Aajiri professionals. Kuingiza watu ambao hawaja somea fani zao vizuri au kutoa nafasi kiupendeleo ita haribu maanaa yote ya kitup. Watu wapewe nafasi kutokana na merit.

Specific suggestion:
Kuna wakati ITV ilikua iki rusha kipindi cha "Mgongano wa Mawazzo". Format yake ilikuwa kiforum na kidebate. Kila wiki kuna topiv fulani. Watu wana tangaziwa kabla topic ya wiki wakienda wamesha jiandaa na cha kusema. Japo kili kuwa kina rushwa nilipo kuwa mdogo nakumbuka fika kilivyo kuwa kina sisimua.

Kuwe na kipindi kitakacho onyesha watanzania mbali mbali ambao kwa namna moja au nyingine wame fanikiwa iwe kibiashara, kisiasa au kitaaluma. Tuna hitaji watu ambao wame fanikiwa wawape moyo wenzao kuwa wana weza na pia watoe ushauri wa jinsi ya kufanikiwa katika nyanja mbali mbali.

Kuwe idea nyingine ya kipindi ila hicho kama upo interested naomba uni tumie pm tutaelezana huko. Ni something that is near and dear to me kama kijana na nadhani itakuwa idea nzuri ila wahusika wenyewe wana judge hilo.

DU! Mkuu;

Umemaliza kila kitu!

Ngoja niku-PM kabla hujaondoka.

Big Cheers!
 
Haaa haaa Mkuu, unazungumzia Clouds TV nini? Na mimi pia nimesikia toka mwaka juzi lakini naona bado hawako hewani. Huenda wanaendelea na matayarisho maana niliona kipindi fulani Kusaga alikuwa anafuatilia sana mambo ya Equipments za TV. Sasa hivi wameshahamia makao yao mapya Mikocheni na wanaendelea vizuri.

Huyu jamaa yangu yeye amejipanga kuanza by january 2010. Mkuu mimi nakaa madongo kuinama huku, network tabu kidogo mpaka upande juu ya paa.

Nitaku-PM nikiwa vizuri.

- Yap! jamaa niliruka naye majuzi kule Nevada kukamilisha mipango yote iliyokuwa imebaki, kuna baadhi ya mitambo ambayo ni very exepensive alikuwa anaihitaji kukamilisha, ninaamini ikifika tu maana itachukua muda kidogo kuifikisha nyumbani, basi luninga utasimama.

- Mwambie jamaa yako anayetaka kufungua akaangalie huko Nevada, bei zao sio mbaya sana, kama sehemu nyingi zingine na wana qualities, sio kama Dubai na Hong Kong.

Ahsante.

William.
 
- Yap! jamaa niliruka naye majuzi kule Nevada kukamilisha mipango yote iliyokuwa imebaki, kuna baadhi ya mitambo ambayo ni very exepensive alikuwa anaihitaji kukamilisha, ninaamini ikifika tu maana itachukua muda kidogo kuifikisha nyumbani, basi luninga utasimama.

- Mwambie jamaa yako anayetaka kufungua akaangalie huko Nevada, bei zao sio mbaya sana, kama sehemu nyingi zingine na wana qualities, sio kama Dubai na Hong Kong.

Ahsante.

William.


Tuko pamoja Mkuu.


Du, kijana kaenda mbali kumbe. Huenda anasubiri Lesni TCRA.

Nitakutafuta au nimwone jamaa yetu.

Ila huyu mdau alikuwa anataka Top Class Resolutions inayofanana na LUXE TV. www.luxe.tv. Sijui kama unaifahamu.

Jamaa wana quality TV kiasi kuwa images zake mpaka vimelea vya kwenye ngozi unaviona.
 
Nadhani ili kuwe na mabadiliko kama Theme ya TV yenu ilivyo, ni muhimu kujua kuwa kwanini Tanzania ipo kama ilivyo kwa karibia miaka 50 ya uhuru wetu. Hivyo kuwe na kipindi ambacho kitakuwa mahususi kumweleza mtanzania kwa lugha nyepesi: HAKI NA WAJIBU WA MTANZANIA. Kipindi hiki kinaweza kuwa kinakuwa na mada mbalimbali za uraia, uchumi, nafasi ya siasa na ushiriki wao katika siasa kwa ujumla. Tunamapungufu makubwa sana, hatujui kwanini tunatakiwa kulipa kodi mathalani, wengi wetu hatujui madhara ya kutokudai risiti tuendapo dukani kariakoo. Wanachi wengi wanajua kodi ni ile ya kichwa tu! Hakuna jitihada za kuwaelimisha watu wa vijijini kwani wameendelea kuachwa ili wawe mtaji wa kiasiasa (kura zisizokuwa na maswali) wengi wetu hatujui kwanini tunapokea chumvi katika chaguzi n.k Haya yamekuwa tu yakijitokeza katika harakati za kisiasa, hivyo wananchi wanayasikia kama propaganda za kisiasa bila kuelewa madhara yake kwa Ujenzi wa Taifa imara.

Kipindi kama hiki kwa Taifa changa kama Tanzania kingetegemewa kiwepo kwenye vyombo vya taifa lakini nadhani vilikoma na nyerere na hasa baada ya mfumo wa vyama vingi. Kipindi hiki kinaweza kuwahusisha wataalamu mbali mbali wa uraia, maendelea ya jamii, uchumi na pale ambapo wanasiasa wanahusika basi wakutane kama sehemu ya kugonganisha mawazo, ili kisije egemea upande mmoja.
 
Nadhani ili kuwe na mabadiliko kama Theme ya TV yenu ilivyo, ni muhimu kujua kuwa kwanini Tanzania ipo kama ilivyo kwa karibia miaka 50 ya uhuru wetu. Hivyo kuwe na kipindi ambacho kitakuwa mahususi kumweleza mtanzania kwa lugha nyepesi: HAKI NA WAJIBU WA MTANZANIA. Kipindi hiki kinaweza kuwa kinakuwa na mada mbalimbali za uraia, uchumi, nafasi ya siasa na ushiriki wao katika siasa kwa ujumla. Tunamapungufu makubwa sana, hatujui kwanini tunatakiwa kulipa kodi mathalani, wengi wetu hatujui madhara ya kutokudai risiti tuendapo dukani kariakoo. Wanachi wengi wanajua kodi ni ile ya kichwa tu! Hakuna jitihada za kuwaelimisha watu wa vijijini kwani wameendelea kuachwa ili wawe mtaji wa kiasiasa (kura zisizokuwa na maswali) wengi wetu hatujui kwanini tunapokea chumvi katika chaguzi n.k Haya yamekuwa tu yakijitokeza katika harakati za kisiasa, hivyo wananchi wanayasikia kama propaganda za kisiasa bila kuelewa madhara yake kwa Ujenzi wa Taifa imara.

Kipindi kama hiki kwa Taifa changa kama Tanzania kingetegemewa kiwepo kwenye vyombo vya taifa lakini nadhani vilikoma na nyerere na hasa baada ya mfumo wa vyama vingi. Kipindi hiki kinaweza kuwahusisha wataalamu mbali mbali wa uraia, maendelea ya jamii, uchumi na pale ambapo wanasiasa wanahusika basi wakutane kama sehemu ya kugonganisha mawazo, ili kisije egemea upande mmoja.


Mkuu Nono, tuko pamoja.

Mawazo yako yamepangika vizuri na yatafanyiwa kazi. Asante sana Mkuu. Ukipata mawazo zaidi, naomba tuwasiliane.
 
- Mkuu kuendesha TV na Radio station bongo sio kazi ndogo, ni kazi kubwa sana ndio maana hata jamaa yangu imempa taabu kidogo kuianzisha, ni lazima TV iwe a money making machine, Mengi anaiweza kwa sababu anazo biashara nyingi zinaoweza ku-cover hasara kutoka huko TV,

- Siasa haiwezi kuvuta biashara ya Ads, katika bongo kinachoweza kuleta hela za Ads ambazo ndio muhimu kuiendesha station kwa Tanzania ni michezo kwanza halafu mengine baadaye,wa-Tanzania wanapenda maigizo, mpira, comedy, Muziki wa Wa-Congo, wanaipenda siasa only kama kuna kasheshe huko ndani between watawala, au kama kuna chaguzi ndogo kama hiyo ya Biharamulo, lakini ikiisha tu basi huwapati, na otherwise hawana kabisa interest na siasa wala elimu ya siasa kwenye TV.

- Ninataka kuamini kwamba jamaa yako ana biashara nyingine nzito zinazoweza kuibeba hii ya TV mara kwa mara, kwa sababu itakua na misimu ya kuingiza na kutoingiza pia, sasa ni suala la kuwa makini na ku-balance hizi business acts, inahitaji moyo sana ama sivyo ataisia kuwauzia Wahindi kwa bei ndogo sana, mwambie awe makini sana na kuisoma hali ya mazingara kabla hajaifungua rasmi.

Ahsante.

William.
 
Can I suggest a special programme for women, for about an hour at least once a week?
And it should discuss everything, from social issues to entertaiment
 
Can I suggest a special programme for women, for about an hour at least once a week?
And it should discuss everything, from social issues to entertaiment

Hiyo programme una suggest icover nini dada angu? Kuna fashion, gender equality, entertainment, siasa, wanawake wajasiriamali nk. Au una suggest icover vyote hivyo kiujumla?
 
Hiyo programme una suggest icover nini dada angu? Kuna fashion, gender equality, entertainment, siasa, wanawake wajasiriamali nk. Au una suggest icover vyote hivyo kiujumla?

Yea!, pretty much everything.
 
Back
Top Bottom