Mdau Anataka Kuanzisha TV - Iwe na Vipindi Gani?

Vipindi vya wanawake (kina mama wa nyumbani na hata maofisini)

.Mafunzo ya biashara za kila aina(ndogo na kubwa)
.Mapishi
.Utunzaji/Uanzilishi wa mashamba au bustani za mboga na matunda
.Sheria zinazoweza kulinda au kuwasaidia wanawake
.Elimu ya afya
.Tamthilia na maigizo

Vipindi vya wanaume wenye PhD na wasio nazo(kazi kwako kuchambua)

.Siasa
.Michezo....mpira zaidi
.Music...zilipendwa na dini

Hapa nimeshindwa kupata zaidi cz watu wangu wa karibu wanofit kwenye hii group ni watu wa News, Mpira na Movie.Mwenye kuweza aongezee

Vipindi vya vijana(girls and boys)

.Music
.Mitindo na maswala ya urembo
.Maigizo na tamthilia
.Michezo
.Maswala ya biashara

Vipindi vya watoto

.Katuni
.Vichekesho
.Michezo
.Vipindi vihusuvyo taaluma
n.k

Vipindi vya familia nzima

.Movies will attract a lot of audiance
.Music na vipindi vya dini

Sina zaidi kwa sasa....nikipata mawazo mengine ntaongeza!
 
- Mkuu kuendesha TV na Radio station bongo sio kazi ndogo, ni kazi kubwa sana ndio maana hata jamaa yangu imempa taabu kidogo kuianzisha, ni lazima TV iwe a money making machine, Mengi anaiweza kwa sababu anazo biashara nyingi zinaoweza ku-cover hasara kutoka huko TV,

- Siasa haiwezi kuvuta biashara ya Ads, katika bongo kinachoweza kuleta hela za Ads ambazo ndio muhimu kuiendesha station kwa Tanzania ni michezo kwanza halafu mengine baadaye,wa-Tanzania wanapenda maigizo, mpira, comedy, Muziki wa Wa-Congo, wanaipenda siasa only kama kuna kasheshe huko ndani between watawala, au kama kuna chaguzi ndogo kama hiyo ya Biharamulo, lakini ikiisha tu basi huwapati, na otherwise hawana kabisa interest na siasa wala elimu ya siasa kwenye TV.

- Ninataka kuamini kwamba jamaa yako ana biashara nyingine nzito zinazoweza kuibeba hii ya TV mara kwa mara, kwa sababu itakua na misimu ya kuingiza na kutoingiza pia, sasa ni suala la kuwa makini na ku-balance hizi business acts, inahitaji moyo sana ama sivyo ataisia kuwauzia Wahindi kwa bei ndogo sana, mwambie awe makini sana na kuisoma hali ya mazingara kabla hajaifungua rasmi.

Ahsante.

William.


Kamanda tuko pamoja Mkuu!

Jamaa alianza preliminary study toka 2006 akishirikiana na kampuni moja ya Denmark ambao walikuja hapa Bongo. Na sasa anataka afanye final study kwa kuwa muda umepita sana.

Asante sana kwa mawzo mazuri Mkuu, yote yatazingatiwa.
 
Vipindi vya wanawake (kina mama wa nyumbani na hata maofisini)

.Mafunzo ya biashara za kila aina(ndogo na kubwa)
.Mapishi
.Utunzaji/Uanzilishi wa mashamba au bustani za mboga na matunda
.Sheria zinazoweza kulinda au kuwasaidia wanawake
.Elimu ya afya
.Tamthilia na maigizo

Vipindi vya wanaume wenye PhD na wasio nazo(kazi kwako kuchambua)

.Siasa
.Michezo....mpira zaidi
.Music...zilipendwa na dini

Hapa nimeshindwa kupata zaidi cz watu wangu wa karibu wanofit kwenye hii group ni watu wa News, Mpira na Movie.Mwenye kuweza aongezee

Vipindi vya vijana(girls and boys)

.Music
.Mitindo na maswala ya urembo
.Maigizo na tamthilia
.Michezo
.Maswala ya biashara

Vipindi vya watoto

.Katuni
.Vichekesho
.Michezo
.Vipindi vihusuvyo taaluma
n.k

Vipindi vya familia nzima

.Movies will attract a lot of audiance
.Music na vipindi vya dini

Sina zaidi kwa sasa....nikipata mawazo mengine ntaongeza!

Mkuu LilSun;

Asante sana kwa mawazo na mwongozo wako, Tuko pamoja na yote yatazingatiwa.
 
Wana JF,

Kuna mdau anataka ku-invest katika TV Station DSM na sasa anaandaa Mchanganuo kwa ajili hiyo ili kuufikisha katika vyombo husika by January 2010.

Anapenda TV atakayoianzisha iwe na mambo yafuatayo:

  • Iwe na vipindi vya kuvutia sana kiasi kwamba kila anayefungulia asihamie channel nyingine.
  • Iwe inaelimisha katika mambo ya msingi ambao Watazamaji watajifunza na yatawasaidia.
  • Isaidie Kupiga Vita Ufisadi
  • Isaidie kubadilisha Attitude ya Watanzania katika kujiletea maendeleo
  • Isaidie katika kuondoa umasikini kupitia vipindi vyake
  • Isaidie katika suala zima la Ujasiliamali.
  • Pia Entertainment, Michezo, Vipindi vya watoto nk. nk.
Inatakiwa zaidi ya 60% ya vipindi viwe local programs (Local Content) na chini ya 40% vinaweza kuwa vipindi vya nje (Foreign Content).

Je ni nini mawazo yako juu ya vipindi mbalimbali na viendeshwe kwa staili gani ili kufanikisha malengo yake?

cha msingi hiyo TV ifike mpk NDADA na si kuishi magomeni
 
na kwa sisiwanga tusiopata usingizi wasituwekee mamusic usiku kucha maan mashetani wanzidi kutushangilia watuwekee vipindi vyeny kuvutia kama vya dini na documentary au waweke history chanel
 
Allien,
Mimi ninapoona hilo Avantar lako nashindwa hata kuchangia kwenye maada zako. It is too demonic. Can't you change it?
 
Allien,
Mimi ninapoona hilo Avantar lako nashindwa hata kuchangia kwenye maada zako. It is too demonic. Can't you change it?


Sawa Mkuu;

Kufuatia mani yako na wadau wengine, naomba niibadilishe. Hiyo hapo vipi?

Kumbuka mimi bado ni Alien.
 
Kuwe na kipindi cha ujasiriamali, mimi na wenzangu tuko tayari kutoa support zozote kuwezesha kipindi hiki kutoa elimu ya ujasiriamali bure
kwa umma wa watanzania.
Kwa ufupi tunao wataalam wa mambo ya ujasiriamali na wako tayari kutoa elimu bure kwa umma.

WAZEE WA KUCHOMA NDIZI
 
Kuwe na kipindi cha ujasiriamali, mimi na wenzangu tuko tayari kutoa support zozote kuwezesha kipindi hiki kutoa elimu ya ujasiriamali bure
kwa umma wa watanzania.
Kwa ufupi tunao wataalam wa mambo ya ujasiriamali na wako tayari kutoa elimu bure kwa umma.

WAZEE WA KUCHOMA NDIZI


Du! Mkuu, umeniacha hoi sana.

Tuko pamoja Wazee wa Kuchoma Ndizi.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom