Yisen
Member
- Aug 6, 2023
- 6
- 10
Mimi na mchumba wangu tuna mahusiano ya miezi 5, anafanya kazi katika familia ya watumishi wa selikali nikimaanisha baba na mama ni wafanyakazi serikalini.
Shida ni kwamba bosi wake wa kike asipo kuwepo akawepo wa kiume huwa hataki tuchati wala kupigiana simu (Hasa usiku) , akidai hataki boss wake ajue kwamba tupo kwenye mahusiano, vilevile amekuwa akiniambia boss wake huyo amekuwa akiikagua simu yake mara kwa mara!
Wanajamvini naombeni Ushauri wenu.
Shida ni kwamba bosi wake wa kike asipo kuwepo akawepo wa kiume huwa hataki tuchati wala kupigiana simu (Hasa usiku) , akidai hataki boss wake ajue kwamba tupo kwenye mahusiano, vilevile amekuwa akiniambia boss wake huyo amekuwa akiikagua simu yake mara kwa mara!
Wanajamvini naombeni Ushauri wenu.