Swts mi penda wewe una maneno ya busara sana
toka na mama yake mzazi
uone kama ujaunganisha familia ikapendeza
Tobaaa! yale yale ya Joseph Mapunda wa Songea...
UTAJIRI HUU UTATUMALIZA!!! Mwashangaaaa nini!!!! Hamjui biashara za kariakooo ndio CATALYST yake hii? Tena ma maza wanakubaligi kabla ya bintiu na Faza hajaanza kuchakachua! (Ndio sharti hilo atiiii! Lazima WIFE ajue na kukubali!) Chezea kuendesha BMW X6 MUJINI!!! Jua kali sana bongo ila KUKU KULA MAYAI YAKE NI NOMAAAA! Hapo familia wanajua kila kitu ila ndo kuvumilia , chezea KIPUPWE cha HAMMER?!!! Wewe kaka sepa unless you are interested in MONEY!!!! (THINGS PEOPLE WILL DO FOR MONEY!!!!!)
Hii story naona kama ni ya kucopy and paste angalia hizo sign mstari wa 3-9 toka chini.............siku njema