Mchumba wangu anatoka na baba yake mzazi, nifanyeje?

Fundifundisho

Member
Jan 11, 2011
77
18
Tuna miaka miwili tangu tuanze uhusiano,
Mwanzoni tulikuwa wapenzi wa kawaida ila baadaye tulikubaliana kuoana,
hivi karibuni nimemtambulisha kwetu kisha nikaanza maandalizi ya kwenda kwao
Ndipo nilipoanza kusikia maneno mengi kutoka kwa watu wa karibu na familia yao
mara eti huyu binti amewahi kutoa mimba ya babake mdogo,mara anatembea na baba yake!
awali niliyapuuza nikijua ni uzushi ila baadaye niliamua kumbana ili anipe ukweli,
ilichukua mda mrefu ila baadae alikiri kuwa na uhusiano na babake mdogo kijana aliyekuwa akiishi hapo kwao ila kwa sasa alishaondoka,pia alikiri kutoa mimba ya huyo baba mdogo ila anadai ni zamani kabla hatujafahamiana,alikana kutoka na baba mzazi,
Kwa kuwa nampenda naye anaonesha kunipenda nilisamehe ila siku moja wazazi wake walienda kwenye sherehe na kurudi saa 5 usiku mama akiwa amelewa ila baba yake hatumii kilevi,
Tulikuwa tunachart kwa sms na yeye ndiye aliyenifahamisha kila kitu,
Ilipotimu saa 6 usiku alidai anataka kulala hivyo tustop kuchat(ingawa kwa kawaida huwa anapenda tuchart mpaka saa 8)
tuliagana ila baada ya nusu saa niliamua kumpigia cm ili nimkumbushe kitu,
cha ajabu alipokea cm na kuongea kwa ukali huku akinieleza kuwa atanipigia baadae usiku huo!
nilianza kuhisi jambo baya hivyo nilikodi tax na kuelekea mtaa anapoishi,
nilipofika kwao nilienda mpaka kwenye dirisha la chumba chake ili nimgongee,
lakini kabla sijafanya chochote nilisikia sauti za watu wakifanya mapenzi!
nilijaribu kupiga cm yake akawa hapokei
nikaamua kurekodi sauti kupitia dirishani kwake!
mchezo huo ulidumu takriban DK45
ndipo nikapiga tena akapokea ila akawa haongei !
kwa jinsi nilivyompenda nilijipa moyo na kuondoka mpaka pembeni na nyumba yao nikakaa mpaka alfajiri ili nione nani atatoka ndani kwani niliamini aliingiza mtu bila wazazi kujua hivyo lazima atatoka mapema,
Lakn cha ajabu ilipotimu saa 11 alfajiri nikampigia tena cm akapokea nilipomweleza kwamba amenisaliti na kwamba nimeshuhudia nikiwa dirishani alianza kulia na kushindwa kuongea,!
mpaka kunakucha hakuna mwanaume aliyeonekana akitoka nje ndipo nilipoanza kuamini inawezekana alikuwa na baba yake mzazi kwani kipindi hiki hakuna kijana anayeishi hapo,
Kesho yake alikuja kwangu nikampa cm asikirize nilivyorekodi dirishani alisikiliza mwanzo mpaka mwisho akaanza kulia
akasema hakuwa na mwanamme ila alilala peke yake!
Kingine kinachofanya naamini anatoka na mshua wake:-
>yeye ni mtoto wa pili ktk familia ila anapendwa na baba kuliko watoto wote hata kadi za benki anatunza yeye!
>Haelewani na mama yake mzazi kila kitu ananunuliwa na babake!
>nyumbani wako waschana 3 ila wengine wanalala chumba cha pamoja yeye analala peke yake na chumba chake hakina mlango,
>Babake ni shabiki wa mpira mara nyingi akienda bar kuangalia mpira akirudi usiku wa manane humgongea dirisha huyu binti ndo amfungulie geti!
>Japo alikiri kutoa mimba ya babake mdogo inasemekana aliwahi pia kutoa mimba nyigine ya babake mzazi kwani majirani wanadai mimba ya kwanza alitoa akiwa form2 ya pili akiwa form 3 na hii ya mwisho ilijulikana mpaka shuleni na ilifika miezi mitano ila cha ajabu familia ilikuwa kimya!
>Maelewano ya kifamilia baina ya baba na mama yamepungua mpaka mama yake anataka kuondoka!
>watoto wote wanamtetea mama ila binti anamtetea baba na kusema mamake ana tabia mbaya!
Wadau mnaonizidi umri naombeni ushauri wenu,nampenda sana na nimeshajipanga kumwoa hata yeye ananipenda sana kwani alinivumilia nikiwa katika kipindi kigumu kimaisha, Ila katika hili niko njia panda...!
 
Hongera zako Mpwa, ashapata ujuzi huyo, safi sana ni jambo la heri sana hilo kwasababu baada ya hapo huna tatizo na Mkwe hata punje
 
Kimbia balaa hilo...hutamuweza huyo kamwe. Hajui kitu gani cha kuogopa na kitu gani hakina tatizo kufanya?
 
hakufai kabisa huyo mwanamke achana nae usije ukaishi nae baade akaja kutoka na watoto wake wa kuwazaa kabisa
 
Pole sana. Dah yan nmejikuta natetemeka kuandika. Hiyo hali ipo na kuna binti flan wakati nasoma a-level, yeye ilikuwa live na alikuwa akimtukana mamayake na kugombana nae kama mke mwenzie,na kadri siku zilivoenda,akahamia kwenye apartment yake na dady wake ndo alikuwa akilipa. Nasikia kaolewa na ana watoto now.
Back 2topic: ingawa binti anaonekana mapepe,Tumia hekima na busara,Kaa nae umwonye tena,then kama unandugu zake unaelewana nao em ongea nao wakusaidie,then kama unania nae muhame mkoa kabisa,nadhan angalau itasaidia,then after najua utakuwa ushapata njia on how to-mdhibiti yeye.
 
kaka,wanawake wapo wengi,achana na huyo binti.Huo upendo ulionao kwake huko mbeleni utakusumbua na utajilaumu.Afadhali ufanye maamuzi magumu angali mapema.

Embu jiulize,ukimuoa hutamrusu aende kwao?Akiwa kwao utakuwa na amani gani?.
 
utakuja kulea watoto ukidhani ni wako kumbe ni mashemji zako(watoto wa huyo mzee)
 
take, hit and run....acha ujinga wewe, huwezi kuendelea kumpenda mwehu huyo...na kama hiyo ndo tabia yake nakuhakikishia ukimuoa mshua wako naye atamega... au humtoshelezi? maana inawezekana yeye anawashwa wewe unamwambia "subiri ndoa baby" soma alama za nyakati..
 
Pole sana. Dah yan nmejikuta natetemeka kuandika. Hiyo hali ipo na kuna binti flan wakati nasoma a-level, yeye ilikuwa live na alikuwa akimtukana mamayake na kugombana nae kama mke mwenzie,na kadri siku zilivoenda,akahamia kwenye apartment yake na dady wake ndo alikuwa akilipa. Nasikia kaolewa na ana watoto now.
Back 2topic: ingawa binti anaonekana mapepe,Tumia hekima na busara,Kaa nae umwonye tena,then kama unandugu zake unaelewana nao em ongea nao wakusaidie,then kama unania nae muhame mkoa kabisa,nadhan angalau itasaidia,then after najua utakuwa ushapata njia on how to-mdhibiti yeye.

Una moyo!
 
Kaka haiitaji elimu ya phd kuwa hafai hata ukimuoa utajikuta na wewe unatoka na binti yenu.

Najua unampenda lakini upendo wakweli haufumbii macho jambo lililo ofu, hupaswi kumapa nafasi hata ya kumsikiliza kwani atakufanyia sana utamuonea huruma.
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom