Jamani naomba ushauri,
Mimi nina mchumba wangu ambae naishi nae lakini hatujafunga nae ndoa, huu ni mwaka wa 3, hajapata mimba na baada ya kwenda hospitali amegundlika kuwa ana matatizo na hawezi kuzaa! Kumuacha namuonea huruma kwani si kosa lake, nifanye nini?
Ushauri, matusi no plz!
Mimi nina mchumba wangu ambae naishi nae lakini hatujafunga nae ndoa, huu ni mwaka wa 3, hajapata mimba na baada ya kwenda hospitali amegundlika kuwa ana matatizo na hawezi kuzaa! Kumuacha namuonea huruma kwani si kosa lake, nifanye nini?
Ushauri, matusi no plz!