Kuishi bila kyfunga ndoa ni dhambi Mbele za Mungu coz hapo Mnafanya uzinzi.. Pengine dhambi hii ndio inafunga Asipate Mtoto haijalishi report ya Doctor imesemaje.. Tubuni na Msizini tena Fungeni/barikini Ndoa.. Mtoto Atakuja kwa wkt sahihi na Mazngra sahihi. Kwaoneni pia Watumishi Wa Mungu kwa Msaada Zaidi.
Washauri waboreshe ndoa tu sio kuwaambia ni dhambi eti ndio maana hawapati mtoto.Mwogope Mungu coz kwan wangapi walozaa bila ndoa leo Mungu kawaita na wanamtumikia?
Duuh!..........
Jamani naomba ushauri,
Mimi nina mchumba wangu ambae naishi nae lakini hatujafunga nae ndoa, huu ni mwaka wa 3, hajapata mimba na baada ya kwenda hospitali amegundlika kuwa ana matatizo na hawezi kuzaa! Kumuacha namuonea huruma kwani si kosa lake, nifanye nini?
Ushauri, matusi no plz!