Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,618
Mkuu Kwahiyo unataka kusema yale mamilioni aliyoyatoa kama rambi rambi kwa familia ya yule Mchawi wa Magomeni mwembe chai ni kodi zetu? Nijibu haraka ili nijue kama niandae maandamano au la!Rais Haitajiki kutoa pesa mfukoni kwake, hizo ni fedha ambazo amezipata kutoka kwenye kodi zetu,
hivyo mchango hauna tija yoyote ile, tunachokitaka kutoka kwake ni uongozi bora na imara, utakao
simamia maendeleo ya elimu tanzania.
tumempa mamlaka na nguvu kubwa sana za kutekeleza wajibu huo tunataka azifanyie kazi