Mchanganuo wa Biashara (Business Plan) - REQUESTS

kwanza ujue unapoandika business plan ni hatua ya mwisho, inatakiwa uanze na vipande vipande (sub parts) then mwishoni unaanza kuunganisha kimoja baada ya kingine ili mwisho wa siku kupata bigger picture.

anza kuchanganua bidhaa peke yake kwa maana wapi utapata, bei ya unit unadhani utachukua kiasi gani kwa njia ipi je zipo njia ngapi. hasara gani zinaweza kutokea kwa kila njia je utaepuka vipi kwa style ya maswali na majibu kidogo kidogo unajikuta frame work au skeleton inaanza kuchukua sura, halafu pitisha kwenye analysis mbalimbali kama SWOT, na zingine, fanya risk assessment ya kila altenative, then hamia kwenye masoko pia fanaya the same and utunze kumbukumbu, ukimaliza nenda kwenye ushindani, competition na uone ni mwanya upi upo na kila mwanya mazuri yake na machungu yake. ukimaliza vyanzo vya mtaji. hivyo hivyo then unaanza kufanya compilation. ni rahisi sana na huhitaji kumpa mtu akutengenezee BP kwani mara nyinig hizi kazi za kutengenezewa huwa sio realistic katika implementation na zitakukatisha tamaa zaidi ya wewe mwnyewe unaye weza kufanaya hadi imagination ya hali halisi kulingana na business setting yako jinsi unavyoiona. then generate budget kwa kila ki - sub part. halafu ukisha maliza hapo sasa anza kuandika vitu kama intorduction, objectives, na vinginevyo including conclusion, wakati unaandika rasmi kila kitu ndo sasa unaingiza zile drafts zako ulizo andaa kwa kila kipengele. ila mzee ukianzia moja kwa moja kuandika mwanzo mwisho utadhani unayo mezani unaoisoma jua kabisa hautatoka na itakuboa.
 
kwanza ujue unapoandika business plan ni hatua ya mwisho, inatakiwa uanze na vipande vipande (sub parts) then mwishoni unaanza kuunganisha kimoja baada ya kingine ili mwisho wa siku kupata bigger picture.

anza kuchanganua bidhaa peke yake kwa maana wapi utapata, bei ya unit unadhani utachukua kiasi gani kwa njia ipi je zipo njia ngapi. hasara gani zinaweza kutokea kwa kila njia je utaepuka vipi kwa style ya maswali na majibu kidogo kidogo unajikuta frame work au skeleton inaanza kuchukua sura, halafu pitisha kwenye analysis mbalimbali kama SWOT, na zingine, fanya risk assessment ya kila altenative, then hamia kwenye masoko pia fanaya the same and utunze kumbukumbu, ukimaliza nenda kwenye ushindani, competition na uone ni mwanya upi upo na kila mwanya mazuri yake na machungu yake. ukimaliza vyanzo vya mtaji. hivyo hivyo then unaanza kufanya compilation. ni rahisi sana na huhitaji kumpa mtu akutengenezee BP kwani mara nyinig hizi kazi za kutengenezewa huwa sio realistic katika implementation na zitakukatisha tamaa zaidi ya wewe mwnyewe unaye weza kufanaya hadi imagination ya hali halisi kulingana na business setting yako jinsi unavyoiona. then generate budget kwa kila ki - sub part. halafu ukisha maliza hapo sasa anza kuandika vitu kama intorduction, objectives, na vinginevyo including conclusion, wakati unaandika rasmi kila kitu ndo sasa unaingiza zile drafts zako ulizo andaa kwa kila kipengele. ila mzee ukianzia moja kwa moja kuandika mwanzo mwisho utadhani unayo mezani unaoisoma jua kabisa hautatoka na itakuboa.
Ok sahihi, kams una wazo huwezi kushindwa kusndika BP.

Vitu muhimu ni
1. Product au service ambazo utauza sokoni. Kama una aidia ya biashara lazima unajua huduma au bidhaa unazotaka kuuza.
3. Kama unataka kutengeneza bidhaa au huduma angali unahitaji nini na nini ili kuweza kufanikisha utengenezsji wa hiyi bidhaa au huduma. Kwanza angalia investment costs kama mitambo na equipment nyingine zinaitwa capital expenditure. ziwekee bei.

3. Angalia malighafi na gharama zingine ambazo ni recurring. Zinaitwa operational costs. Kuna vitu kama mishahara, usafiri, pango etc. Zipe figure.

4.Calculate gharama za uzalishaji kwa unit moja. Angalia uwezo wa uzalishaji kwa siku, wiki, mwezi, mwaka.

5. Panga bei ya unit, angalia kama bei hiyo ni realistic.

6. Angalia ni namna gani utapata soko. Mbinu gani utatumia.

7. Angalia washindani wako ni kina nani. Angalia weekness zao na stregth zao as compared to your products.

8. Angalia mbinu gani utatumia kushindana nao. Cha msingi ni kuandika kila kitu kwabuhalusia wake ili meidho wa siku ujue kama wazo lako ni feasible au la.

Ukiandikiwa business plan utashindwa kuitekeleza. Halafu utajiona una mkosi bure kumbe the plan itself haikuwa na original thinking kutoka kwako.

Baada ya kuandaa skeleton ya hivyo vitu juu waweza kumtafuta mtaalamu wa biadhara akaiwrka kitaalamu, lakini hakikisha unajua kila kitu kilichoandikwa as per ur thinking.
 
Kama kuna mtu anahisi anawazo la biashara na anahitaji kulifanyia kazi, naweza nikatoa msaada huo kwa kukusaidia namna ya kuandika business plan au hata mimi mwenyewe nikakuandikia, kwa mfano unaweza kuwa na wazo la kufungua bucha, internet cafe, car wash n.k lakini hujui namna ya kuanza. Basi unaweza kupata msaada. Ukiwa na business plan ni hatua moja muhimu ya kuendelea kibiashara, biashara nyingi zinakufa kwasababu zilikosa mipango yakinifu ya uendeshaji wake tangu mwanzo.... Hivo kama unahitaji business plan waweza ipata..

"give me your five words idea, then i will produce a thousands words, charts, graphs to guide your business operation"

Weka namba za simu au E mail ili iwe rahisi kukutafuta.
 
Tatizo hata kule shule assignmnents za business plan na project work mnanunua had field work report mnanunua sasa madhala yake ndo unakua mweupe kabisa kiasi kamba hujui pa kuanzia ni wapi, bora ushindwe baadhi ya vipengele kama kubalancisha financialprojections lakini yote nzimanzima? kuna tatizo yadi kweye implementation kwani utaacha kufuata hiyo BP na kuanza kufuata utashi wako binafsi kwa kuona kama inakuchelewesha matokeo yake ni biashara kwenda zombie
 
Kwasasa cost itategemea, kama nikishakuandikia then ukaridhika nayo ndo unaweza we mwenyewe ukafanya valuation za malipo "by now (short-run) consumer has the power on price"

Kwasasa cost itategemea, kama nikishakuandikia then ukaridhika nayo ndo unaweza we mwenyewe ukafanya valuation za malipo "by now (short-run) consumer has the power on price"


Nipo Dar, kuhusu malipo: kwasasa sijaamua malipo mpaka pale ntapokuandikia hiyo plan na ukaridhika nayo ndo evaluation ya malipo itafanyika

Nimeshachukua wazo lako nalifanyia uchambuzi, kati ya leo au kesho ntakutumia questionnaire ambayo itanisaidia mimi kupata information muhimu kwa ajili ya kuandaa plan.

Contacts...
 
Bado napokea maelezo zaidi!
Na je, ni lazima kila business ya milioni 20 na zaidi inatakiwa ifunguliwe na kusimamiwa ktk mfumo wa kampuni?

SI LAZIMA, ILA BIASHARA NZURI NI ILE INAYOKUWA REGISTERED mf. kuwa Kampuni au sole proprietor (kwa kusajili business name). KIMI DEVELOPMENT CONSULT LIMITED.
 
Heshima kwenu wakuu. Kutokana na kupanda kwa gharama za maisha kila uchao, nimeonelea nitumie kile nilichonacho kichwani kujiongezea kipato. Nataka kuanzisha "Electrical & Electronics Repair Shop". Plan ni kuwa approved service provider wa makampuni makubwa yanayouza vifaa vya ki-electronic miaka ijayo. Nahitaji msaada wa kutengeneza business plan. Nawasilisha.
 
Hujasema una mtaji wa kiasi gani?.(capital).na sehemu unayotaka kufungua biashara husika.
 
Sehemu kubwa ya vifaa vinavyohitajika tayari nishavinunua na vimenigharimu kiasi cha 4.75M Tsh. Nina kiasi cha Tsh. 5M kwa ajili ya kurekebisha vitu vichache vilivyosalia. Biashara itafunguliwa Arusha.
 
Una ujuzi wa kuandika hiyo Business Plan? Uwo ni ujuzi wa watu, kama unawazo la biashara na una malengo ya kuomba mkopo au Pesa zako binafsi Business Plan ni muhimu kwani ndio itakayo kuongoza wewe kufanikisha malengo yako na kama unahitaji Business Plan kweli basi husisite kuwasiliana na wataalamu ili wakuandikie. Kwa mimi ndio shughuli inayoniweka mjini kwa sasa, hivyo kama utakuwa unahitaji Business Plan tuwasiliane kwa namba 0718 887 102 au Email rashid.athumani@yahoo.com. Karibu sana kwa ushauri na ujipatie Business Plan yako kwa bei poa.
 
Habari zenu?
Kwa Jina naitwa Rashid Athumani nina shahada ya Uchumi kilimo na Biashara, pia nina uwezo wa kuandika Business Plan, Data entry and analysis and Research Proposal Writing. Kwa atakae kuwa anahitaji kuandikiwa basi hasisite kuwasiliana nami kwa simu namba 0718 887 102 au kwa barua pepe rashid.athumani@yahoo.com.
Karibuni sana kwa order zenu.
 
Safi sana. Nimeku-PM shida yangu, majibu tafadhali!

Kama kuna mtu anahisi anawazo la biashara na anahitaji kulifanyia kazi, naweza nikatoa msaada huo kwa kukusaidia namna ya kuandika business plan au hata mimi mwenyewe nikakuandikia, kwa mfano unaweza kuwa na wazo la kufungua bucha, internet cafe, car wash n.k lakini hujui namna ya kuanza. Basi unaweza kupata msaada. Ukiwa na business plan ni hatua moja muhimu ya kuendelea kibiashara, biashara nyingi zinakufa kwasababu zilikosa mipango yakinifu ya uendeshaji wake tangu mwanzo.... Hivo kama unahitaji business plan waweza ipata..

"give me your five words idea, then i will produce a thousands words, charts, graphs to guide your business operation"
 
Habari zenu?
Napenda kure-advertise tena kwenu, Ukiitaji Business Plan kwa biashara inayotaka kuanza kwa kutumia equity investment or loan investment, pia kwa biashara inayoendelea husisite kuwasiliana nami kwa ushauri kama endapo utahitaji kufanya diversification ya biashara yako.
Wote mnakaribishwa
Mawasiliano; 0718 887 102 au kwa barua pepe; rashid.athumani@yahoo.com
Pia unaweza kuwasiliana nami kupitia Facebook/Linkedin/Skype kwa jina la Rashid Athumani.
 
Jamani wanandgu mimi na mtaji wa milioni mbili i opt kufanya biashara ya duka la cosmetics mitaa flani hivi ya \
nyegezi Mwanza.Eneo kibiashara ni zuri nahisi, chumba nishapata sasa nilikuwa nahitaji kujua wapi ntapa malighafi kwa bei nafuu pia mzigo ambao unapendwa sana na rahisi kutoka. pia na kujua faida yake inakuaje na mambo mengine yanayohusu hiyo biashara..
Kwa wenye uzoefu naomba msaada tafadha
ri
 
Hiyo biashara ili ilip lazima uweke na vipozi vilivyopigwa marufuku na kwa sasa TFDA wako makini kweli, otherwise tuwasiliane niwe nakutumia mzigo kutoka DRC
 
Hiyo biashara ili ilip lazima uweke na vipozi vilivyopigwa marufuku na kwa sasa TFDA wako makini kweli, otherwise tuwasiliane niwe nakutumia mzigo kutoka DRC lkn m2 uko mbali mm nikajua kama m20 hivi
 
Hiyo biashara ili ilip lazima uweke na vipozi vilivyopigwa marufuku na kwa sasa TFDA wako makini kweli, otherwise tuwasiliane niwe nakutumia mzigo kutoka DRC

nataraji kuanza kufanya hiyo biashara mwezi ujao ntakutaarifu ndugu yangu..shukrani
 
Back
Top Bottom