Mchanganuo wa Biashara (Business Plan) - REQUESTS

Ahsante mkuu nimekuelewa!
Lakini katika kuandika bankable business plan,baadhi ya vipengele vinakuwa ndani ya title moja,kwa mfano; marketing plan...hapa kama nilivyoeleza mwanzo,kuna vpengele viko katika title hii. Pia business description ni title ambayo utaandika jina la biashara,sehemu ilipo,bidhaa,umiliki,aina ya biashara.
Kumbe basi tunashauri,unapoandika plan ni vizuri ukaweka title kama zingine ulizozitaja,mfano financial plan....hii ni title inayojitegemea!
Hebu twende taratibu,tutafika tu na nakaribisha michango na maswali pia

Nimekupata mkuu vizuri mkuu!
Pia kwenye Market Plan, kwa uzoefu wangu sidhani kama a banker atakuwa na shauku ya kutaka kujua 2.1 nadhani hii inahusu zaidi mwenye biashara siyo banker. Sababu banker anaangalia return of investment na si kingine hivyo atakuwa na shauku kuanzia 2.2 sababu hapo ndipo unanza kuonyesha vipi utadumu vipi kwenye hiyo biashara? vipi unalijua soko unalotaka kuuza bidhaa/huduma yako? je kuna uwezo wa wewe kudumu kwenye soko hilo?

Pia a banker mwelevu anaweza soma kwa umakini executive summary halafu juu juu kwenye yanayofuata na kuweka nguvu na mawazo yake kwenye financial plan isipokuwa kama biashara iko kwenye start up level, sababu business ratios zinanguvu kuliko maneno mengi kwenye vipengele vingine vya business plan.
 
Shukran sans mzee, hili ni darasa halisi, mie taratibu nimeanza kutengeneza b.plan yagu
Wewe je????
 
Shukran sans mzee, hili ni darasa halisi, mie taratibu nimeanza kutengeneza b.plan yagu
Wewe je????

Hongera pia kwa kuwa makini na somo hili! Jitahidi kuiandika na kama ukihitaji plan yako kuhakikiwa tutawasiliana ili tuone kama kweli umefikia kiwango sahihi
 
Naomba msaada wanajf wa contact ya mtu wa kuandika business plan kwa bei poa maana ndio naamza mradi, asanteni
 
Naomba unipe kazi hiyo mimi,uwezo wa kuandika ninao,bei tutaelewana ni pm namba yako nikutafute kama upo serious
 
Shukrani sana. Nimelipenda sana darasa. I will practice.

Habari.....ni kweli kabisa hili darasa ni zuri but kikubwa ni kujaribu kuandika japo kwa biashara ndogo tu ambayo analysis yake haitakuwa kubwa sana!
Business plan itakusaidia kupanga namna gani ya kupata kipato na jinsi gani upunguze matumizi ili kuendelea kubakia kwenye soko
 
Ninge Andika Ama Ningejifunza Sasa Sina Hata Mia, Sina Hata Shamba. Nina Businessplan Nzuri Na Nina Penda Maendeleo Japo Nina Miaka 19, Sijui Mwanishaurije?
 
Ninge Andika Ama Ningejifunza Sasa Sina Hata Mia, Sina Hata Shamba. Nina Businessplan Nzuri Na Nina Penda Maendeleo Japo Nina Miaka 19, Sijui Mwanishaurije?

Habari......
Naomba nikukumbushe,...ujuzi hauna mpaka!kikubwa ni kuelewa matarajio yako na unahitaji nini kwa wakati gani. Hiyo miaka ni ya utu uzima na ni namba tu. Nakuomba ujifunze
 
Habari.....ni kweli kabisa hili darasa ni zuri but kikubwa ni kujaribu kuandika japo kwa biashara ndogo tu ambayo analysis yake haitakuwa kubwa sana!
Business plan itakusaidia kupanga namna gani ya kupata kipato na jinsi gani upunguze matumizi ili kuendelea kubakia kwenye soko

Asante sana. Nashukuru
 
Habari......
Naomba nikukumbushe,...ujuzi hauna mpaka!kikubwa ni kuelewa matarajio yako na unahitaji nini kwa wakati gani. Hiyo miaka ni ya utu uzima na ni namba tu. Nakuomba ujifunze

Hata Mimi Nililiona Hilo, Na Ndio Maana Mwakani Nataka Kuanza Biashara Ikiwemo Ya Kilimo Cha Alizeti Singida. Sasa Sijui Ntapata Vp Fedha Za Kuanzia. Ntakuandikia Business Plan Ntakutumia Mkuu Uone Uwezo Wangu Wa Kufikiri!
 
Hata Mimi Nililiona Hilo, Na Ndio Maana Mwakani Nataka Kuanza Biashara Ikiwemo Ya Kilimo Cha Alizeti Singida. Sasa Sijui Ntapata Vp Fedha Za Kuanzia. Ntakuandikia Business Plan Ntakutumia Mkuu Uone Uwezo Wangu Wa Kufikiri!

Hilo ni wazo zuri sana ndugu yangu! Mtaji wa kwanza katika biashara huwa ni wazo la biashara,kikubwa ni kulitoa hilo wazo na kuliweka katika maandishi kisha katika mazingira halisi yaani unaanza kulifanyia kwa vitendo! Ukiwa na wazo zuri na ukaweza kuonyesha ni jinsi gani utaingiza na kutoa hela na kupata faida!jaribu
 
Ninge Andika Ama Ningejifunza Sasa Sina Hata Mia, Sina Hata Shamba. Nina Businessplan Nzuri Na Nina Penda Maendeleo Japo Nina Miaka 19, Sijui Mwanishaurije?

Salama mdogo wangu, Ngoja tuanze kwa kuelimishana kwanza. Business plan inaweza kuwa kwenye mifumo miwili: Kwenye maandishi au kichwani tu kwa mwenye biashara. Kwanini business plan iwe kwenye maandish;B/Plan inawekwa kwenye maandishi kwa madhumuni makuu ya kutafuta mtaji wa kuanzisha au kukuza biashara kupitia wawekezaji. Ni mara chache sana mfanyabiashara au mjasiriamali mwenye mtaji wake kupoteza muda na nguvu zake kwa kuanza kuandika business plan wakati tayari ipo kichwani kwake.

Hivyo B/Plan inampatia mwekezaji taarifa ya jinsi ya uendeshaji wa biashara yako na mpaka pale utavyotengeneza faida. B/Plan ni kama kumchorea picha mwekezaji jinsi biashara yako unavyoiendesha au utakavyoiendesha.


Lakini kumbuka kuwa kuandika a proper business plan si rahisi kama huna ufahamu na financial aspects za biashara. Hivyo nitakushauri tafuta mtaalam mpe idea yako na aiweke kwenye maandishi ile uwe na b/plan sahihi. Sababu ya kusema hivyo unaweza andika stori nzima ya idea yako na ukakwama kwenye financial projections hapa ni numbers na ratios ambazo kama huna uzoefu nazo zitakupiga chenga tu.na hizi ni muhimu sana kwa mwekezaji kujua je anachowekeza kitarudi na je kuna faida.

Sasa jiulize je ninahitaji business plan yangu iwe kwenye maandishi?


 
Mkuu naomba ututumie mfano wa business plan, I thnk hvyo ndo tutaelewa zaidi..

Mkuu business plan ni report inayowekwa kwenye vipengele tofauti tofauti lakini vinavyowiana. Ni ndefu na inavitu vingi siyo rahisi kama tunavyoiongelea hapa. Inahitaji utafiti makini kumbuka hii ni document unayoenda kumshawishi mtu akupe pesa ili ufanikishe idea yako. Na yeye anataka kujua uhakika wa pesa yake kurudi na faida pia apate. Tazama post za nyuma utaona muolozesho wake. B/Plan futi ambayo imekuwa summarised sana kuweka idea mbele haipungui kurasa 40.

Google Business plan utaona zipo nyingi tu online.
 
Mkuu naomba ututumie mfano wa business plan, I thnk hvyo ndo tutaelewa zaidi..

Business plan ni kitu kizuri kama jina linavoonesha......a plan...yani mpango au mpangilio wa biashara! Naomba niweke wazi hapa ndugu zangu....kuna bankable business plan ambayo ni kwa ajiri ya kuomba mkopo au plan kwa matumizi au mwongozo wako! Tunashauri ili biashara iwe endelevu ni lazima iwe kwenye maandishi na sio kichwani....fikiria,kwamba biashara unaijua wewe pekeako,yaani mfumo mzima wa biashara na hakuna mwingine ambaye anaijua hata kama ndugu au mfanyakazi wako.....halafu mungu akakupenda zaidi(ukafa au nikifa)...je, hiyo biashara itakuwepo? Sasa basi ni vyema ukaanda huo mchakato ili objectives zako zote zijulikane kwa manufaa ya leo na kesho.....kuiandika sio rahisi...hiyo ni kweli,but jaribu kuwa na idea ya namna gani unataka biashara yako iwe!
 
Business plan ni kitu kizuri kama jina linavoonesha......a plan...yani mpango au mpangilio wa biashara! Naomba niweke wazi hapa ndugu zangu....kuna bankable business plan ambayo ni kwa ajiri ya kuomba mkopo au plan kwa matumizi au mwongozo wako! Tunashauri ili biashara iwe endelevu ni lazima iwe kwenye maandishi na sio kichwani....fikiria,kwamba biashara unaijua wewe pekeako,yaani mfumo mzima wa biashara na hakuna mwingine ambaye anaijua hata kama ndugu au mfanyakazi wako.....halafu mungu akakupenda zaidi(ukafa au nikifa)...je, hiyo biashara itakuwepo? Sasa basi ni vyema ukaanda huo mchakato ili objectives zako zote zijulikane kwa manufaa ya leo na kesho.....kuiandika sio rahisi...hiyo ni kweli,but jaribu kuwa na idea ya namna gani unataka biashara yako iwe!

JOSEPHAT.P Come on... Mkuu! Siyo kweli kwamba business endelevu lazima iwe kwenye maandishi. Business endelevu ni ile inayo respond na mazingira ya nje ya kibiashara. Business Plan iko kwenye mfumo mgando/tuli wakati biashara inatakiwa iwe dynamic muda wote sababu mazingira ya nje yanabadilika kila wakati. Mwongozo wa biashara yako unaweza ku-share na wenzako na ndugu nzako lakini siyo lazima iwe kwenye maandishi.

Ningependa kurudia ni upotevu wa muda na nguvu ambazo zingelekezwa kwenye uzalishaji.


Kumbuka kuwa external environment ndiyo zinazo dictate internal environment ya business. Hivyo malengo (objectives) uliyoyapanga sasa yanaweza yasitimilike kwenye muda muafaka sababu na mazingira ya nje. Je utaenda kubadili business plan yako? Na kama hivyo ni mara ngapi utakuwa unaibadilisha hiyo business plan?


Kumbuka watu hawa ideas na maono tofauti kwenye biashara. Ina maana kwamba iwapo director wa kampuni ya yeyote ya biashara akibadilishwa, unataka kuniambia mashirika huwa yanakuwa na business plan sehemu kwamba kila director mpya akija lazima aisome?

Ila usichanganye Business Plan na Business Planning
 
Wakuu, ahsanteni sana kwa maushauri yenu, nimeelewa zaidi business plan hasa baada ya kusurf kwenye google..
 
JOSEPHAT.P Come on... Mkuu! Siyo kweli kwamba business endelevu lazima iwe kwenye maandishi. Business endelevu ni ile inayo respond na mazingira ya nje ya kibiashara. Business Plan iko kwenye mfumo mgando/tuli wakati biashara inatakiwa iwe dynamic muda wote sababu mazingira ya nje yanabadilika kila wakati. Mwongozo wa biashara yako unaweza ku-share na wenzako na ndugu nzako lakini siyo lazima iwe kwenye maandishi.

Ningependa kurudia ni upotevu wa muda na nguvu ambazo zingelekezwa kwenye uzalishaji.


Kumbuka kuwa external environment ndiyo zinazo dictate internal environment ya business. Hivyo malengo (objectives) uliyoyapanga sasa yanaweza yasitimilike kwenye muda muafaka sababu na mazingira ya nje. Je utaenda kubadili business plan yako? Na kama hivyo ni mara ngapi utakuwa unaibadilisha hiyo business plan?


Kumbuka watu hawa ideas na maono tofauti kwenye biashara. Ina maana kwamba iwapo director wa kampuni ya yeyote ya biashara akibadilishwa, unataka kuniambia mashirika huwa yanakuwa na business plan sehemu kwamba kila director mpya akija lazima aisome?

Ila usichanganye Business Plan na Business Planning

Habari.....mkuu,bsn planning lazima ikupe bsn plan! Na sio kweli kabisa kuandaa bsn plan ni kupoteza muda! Ndio maana katika plan huwa tunafanya projections, naelewa sana time value of money principle! Kumbuka pia sifa ya objectives lazima ziwe SMART.Rejea na ukumbuke,kazi za cash flow, balance sheet pamoja na p/l a/c kisha uone kama kuna biashara ambayo haina hivyo vitu! Biashara malengo na yana time limit. Anyway ni maono yako na siwezi kuyapinga but NARUDIA TENA.....BSN PLAN NI MWONGOZO UNAOTOA NA KUELEKEZA MAUDHUI YA BIASHARA KWA MUDA FULANI.
 
Back
Top Bottom