NdasheneMbandu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 940
- 308
Namwombea Mungu amponye na kurejea haraka katika afya yake.
asante kwa taarifa. ni mbunge wa kuchaguliwa au kuteuliwa na rais.
Tribalist at work!
kwa nini wabunge wa maeneo haya wanapata sana ajali?
Hee!Tribalist at work!
Siyo waunge wa maeneo hayo tu. Ila wabunge wanapofika maeneo hayo ndo wanapata ajali. Mfano Salome Mbatia
yupo chama Tawala anapambana na nani kuleta maendeleo?Mungu amponye haraka ili arudi kwenye mapambano ya kulisaidia jimbo lake.
Umejuaje kama ni ukabila?na aliyesema "Get Well Soon" nae si mkabila?acha upimbi
kwa nini wabunge wa maeneo haya wanapata sana ajali?
...naomba huyu jamaa afe tufanye uchaguzi mwingine...
Kusema kweli nimesikitishwa sana na kauli zenu, kwa upande mwengine ninawasikitikia wenye mawazo kama haya. Cha kuangalia hapa ni kuwa barabara zetu ni mbovu na madereva wanakuwa wazembe sana. Hata kama huyu jamaa akifa (Namuombea kwa moyo mmoja apone haraka) na M4C kuchukua jimbo hilo na mengine kama mnavyoomba, bado watu wataendelea kupata ajali wakafa au kupata ulemavu kwa sababu barabara ni mbovu na madereva ni wazembe.Kama hakusaini waraka wa Zitto basi na iwe R.I.P ili M4C ikachukue jimbo hilo