mgeni wenu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 3,664
- 1,730
Wanajmvi Habari kutoka Iringa zinasema kuwa Mbunge wa Mufindi Kusini(CCM) Mh Menrad Lutengano Kigola amepata Ajali mbaya ya Gari jioni ya leo akitokea Jimboni Kuelekea Dar katika vikao vya Kamati za Bunge,Habari kutoka Hospitali ya Mkoa wa Iringa zinasema ni kweli kapata Ajali na Atahamishwa Muhimbili kwa Uchunguzi na Matibabu zaidi..
Mungu amponye Haraka.
Ni mimi Mgosi Mgeni wenu wa JF
Mungu amponye Haraka.
Ni mimi Mgosi Mgeni wenu wa JF