Lokissa
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 7,446
- 2,490
mola amponye haraka na akirudi bungeni akumbuke kutimiza matakwa ya wananchi na si chama
nadhani kuna haja ya sheria za usalama barabarani kufanyiwa marekebisho makubwa ikiwemo kuongezwa adhabu kali
kwa madereva wazembe wasiozingatia alama za barabarani.
nadhani kuna haja ya sheria za usalama barabarani kufanyiwa marekebisho makubwa ikiwemo kuongezwa adhabu kali
kwa madereva wazembe wasiozingatia alama za barabarani.