kitungi
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 236
- 593
Rais wetu ametutosa coz hajatimiza ahadi zake lol!
Orodha ya ahadi za Kikwete kwawananchi 2010-2015
1. Kujenga reli mpya kutoka Dar es Salaam mpaka mikoa ya Kanda ya ziwa- Nzega, Tabora
2. Mkoa wa Tanga kuwa Jiji la Viwanda - Tanga mjini
3. Tabora kutumia maji ya Ziwa Victoria - Igunga
4. Kulipa madeni ya chama cha Ushirika mkoa wa Shinyanga (SHIRECU) -Shinyanga
5. Kumaliza migogoro ya Ardhi nchini - Dodoma
6. Wakulima kuacha kutumia jembe la mkono - Dodoma mjini
7. Kuwapatia trekta wakulima - Kata ya Mrijo, Dodoma
8. Wananchi kutoondolewa kwenye Ranchi ya Misenyi - Kagera
9. Kujenga Uwanja wa Ndege Misenyi - Kagera
10. KupanuaUwanja wa Ndege Bukoba - Bukoba Mjini
11. Kujengauwanja wa ndege mkubwa Kigoma - Kigoma Mjini
12. Mtukulakupatiwa umeme kutoka Uganda - Kagera
13. Mikoaya Kagera, Kigoma, Lindi, Rukwa na Ruvuma kuunganishwa katika gridi ya taifa yaumeme - Kagera
14. KuimarishaTakukuru kwa miaka mitatu - Kagera
15. Hukumukwa waliopatikana na hati ya kuua albino - Mbeya
16. Kununuameli kubwa kuliko MV Bukoba - Kagera
17. Kuanzishabenki ndogondogo kwa ajili ya wajasiriamali
18. Serikalikuvisaidia vyama vya ushirika - Mwanza
19. Kuimarishausalama Ziwa Victoria na Ziwa Tanganyika kwa kupeleka kikosi maalum chenyevifaa kupambana na wahalifu - Mwanza
20. Wilayaya Geita kuwa hadhi ya mkoa Januari mwakani - Geita
21. Kulindamuungano kwa nguvu zote - Pemba
22. Kuwajengeanyumba waathirika wa mafuriko Kilosa - Morogoro
23. Kununuameli mpya kubwa Ziwa Nyasa - Mbeya mjini
24. Kujengabandari Kasanga – Rukwa
25. Kumalizatatizo la walimu miaka mitano ijayo - Songea
26. Kufufuamgodi wa makaa ya mawe Kiwira - Mbeya
27. Kuzuiahatari ya kisiwa cha Pangani kuzama - Tanga
28. Kununuabajaji 400 kwa ajili ya kubeba wajawazito hasa vijijini - Iringa
29. Kujengabarabara yenye kiwango cha lami kutoka Same mpaka Kisiwani – Kihurio nakuiunganisha na barabara kuu ya Moshi - Dar es salaam - Same mkoani Kilimanjaro
30. Kumalizatatizo la maji katika wilaya ya Same - Same Mjini
31. Kuboreshabarabara za Igunga - Tabora
32. Kusambazawalimu 16,000 katika shule za sekondari zenye upungufu makubwa wa walimu -Kisesa Magu
33. Kununuavyandarua viwili kwa kila kaya - Mbeya Mjini
34. Kuzipandishahadhi hospitali maalumu saba nchini kuwa za rufaa ili kuipunguzia mzigoHospitali ya Taifa ya Muhimbili (MHN) - Hydom Manyara
35. Kulindaamani nchini kwa kuzuia chokochoko za kidini, kikabila na kisiasa - Musoma
36. Kulindahaki za walemavu - Makete
37. Kujengabaabara ya Njombe - Makete kwa kiwango cha lami,urefu wa kilomita 109 - Iringamjini
38. Kujengabarabara Musoma – Mto wa Mbu Arusha - Arusha
39. Kuanzishajimbo la Ulyankulu- Shinyanga Mjini
40. Kujengabarabara ya lami Manyoni-Kigoma – Kaliua,Tabora
41. Kukarabatibarabara ya Arusha Moshi - Arusha Mjini
42. Kuboreshabarabara ya Handeni, Kondoa, mpaka Singida - Dodoma
43. Kuwafidiawanakijiji ng'ombe waliopotea wakati wa ukame mwaka 2009 - Longido
44. Vijijivyote vilivyoko kilomita 15 kutoka kwenye bomba kuu la mradi mkuu wa maji waZiwa Victoria - Shinyanga-Kahama kuunganishiwa maji - Shinyanga
45. Tatizola umeme kufikia kikomo Novemba mwaka huu mkoani Arusha – Arusha mjini
46. Kukopeshawavuvi zana za kilimo - Busekera, Wilaya ya Musoma
47. Kuwapatiamaji wakazi wa Wilaya ya Longido - Longido
48. Kujengabarabara ya lami kupitia pembezoni mwa Hifadhi ya Taifa ya Seregenti – Ngorongoro
49. Utekelezajiwa mpango wa maendeleo ya kilimo kuwasaidia wafugaji kuweza kupata na kutunzamifugo yao vizuri - Mbulu mkoani Manyara
50. Kusambazamaji nchi nzima - Babati vijijini
51. Kusambazaumeme, utoaji wa huduma za afya, na uboreshaji wa kilimo cha umwagiliaji nautoaji ruzuku kwa wakulima. mwaka 2010-2015 - Babati vijijini
52. Kuongezamara tatu idadi ya wananchi wanaonufaika na ruzuku ya pembejeo za kilimo kwamfumo wa vocha - Iringa
53. KuhakikishaIsimani inapata maji ya uhakika - Iringa
54. Kuiwekealami barabara inayokwenda katika Hifadhi ya Taifa ya Ruaha, ambayo ndiyohifadhi kubwa kuliko zote Tanzania - Iringa
55. Kulindausalama wa wananchi kwa ujumla ili kudumisha amani na sifa ya nchi -Ifunda
56. Kutokomezamalaria 2015 - Bunda, mkoa wa Mara
57. Kuwapawanawake nafasi zaidi - Kilolo, Iringa
58. Ahadikuisadia Zanzibar kuendeleza miradi mbalimbali ya kijamii - Kibandamaiti MjiniZanzibar
59. Kuipandishahadhi hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar kuwa ya rufaa - Kibandamaiti mjiniZanzibar
60. KuisaidiaZanzibar kila panapohitajika msaada - Kibandamaiti
61. Serikalikujenga upya bandari ya Mbambabay - Ruvuma
62. Ununuziwa Meli mpya yenye uwezo wa kubeba tani 400 - Mbambabay Ruvuma
63. kufufuachama kikuu cha ushirika cha wakulima wa Mbinga (MBICU) – Ruvuma
64. AhadiRais wa Marekani Barack Obama kuimwagia misaada Tanzania – Ruvuma
65. Ahadihakutakuwa na umwagaji wa damu baada ya uchaguzi-Dar es Salaam
66. Mtwarakuwa mji wa Viwanda – Mtwara
67. Ahadiujenzi wa kwanda cha dawa ya kuua viluilui vya mbu - Kibaha
68. Hospitaliya Tumbi kuwa ya mkoa - Kibaha
69. Halmashauriya manispaa ya Kibaha kutenga eneo maalumu la viwanda - Kibaha
Orodha ya ahadi za Kikwete kwawananchi 2010-2015
1. Kujenga reli mpya kutoka Dar es Salaam mpaka mikoa ya Kanda ya ziwa- Nzega, Tabora
2. Mkoa wa Tanga kuwa Jiji la Viwanda - Tanga mjini
3. Tabora kutumia maji ya Ziwa Victoria - Igunga
4. Kulipa madeni ya chama cha Ushirika mkoa wa Shinyanga (SHIRECU) -Shinyanga
5. Kumaliza migogoro ya Ardhi nchini - Dodoma
6. Wakulima kuacha kutumia jembe la mkono - Dodoma mjini
7. Kuwapatia trekta wakulima - Kata ya Mrijo, Dodoma
8. Wananchi kutoondolewa kwenye Ranchi ya Misenyi - Kagera
9. Kujenga Uwanja wa Ndege Misenyi - Kagera
10. KupanuaUwanja wa Ndege Bukoba - Bukoba Mjini
11. Kujengauwanja wa ndege mkubwa Kigoma - Kigoma Mjini
12. Mtukulakupatiwa umeme kutoka Uganda - Kagera
13. Mikoaya Kagera, Kigoma, Lindi, Rukwa na Ruvuma kuunganishwa katika gridi ya taifa yaumeme - Kagera
14. KuimarishaTakukuru kwa miaka mitatu - Kagera
15. Hukumukwa waliopatikana na hati ya kuua albino - Mbeya
16. Kununuameli kubwa kuliko MV Bukoba - Kagera
17. Kuanzishabenki ndogondogo kwa ajili ya wajasiriamali
18. Serikalikuvisaidia vyama vya ushirika - Mwanza
19. Kuimarishausalama Ziwa Victoria na Ziwa Tanganyika kwa kupeleka kikosi maalum chenyevifaa kupambana na wahalifu - Mwanza
20. Wilayaya Geita kuwa hadhi ya mkoa Januari mwakani - Geita
21. Kulindamuungano kwa nguvu zote - Pemba
22. Kuwajengeanyumba waathirika wa mafuriko Kilosa - Morogoro
23. Kununuameli mpya kubwa Ziwa Nyasa - Mbeya mjini
24. Kujengabandari Kasanga – Rukwa
25. Kumalizatatizo la walimu miaka mitano ijayo - Songea
26. Kufufuamgodi wa makaa ya mawe Kiwira - Mbeya
27. Kuzuiahatari ya kisiwa cha Pangani kuzama - Tanga
28. Kununuabajaji 400 kwa ajili ya kubeba wajawazito hasa vijijini - Iringa
29. Kujengabarabara yenye kiwango cha lami kutoka Same mpaka Kisiwani – Kihurio nakuiunganisha na barabara kuu ya Moshi - Dar es salaam - Same mkoani Kilimanjaro
30. Kumalizatatizo la maji katika wilaya ya Same - Same Mjini
31. Kuboreshabarabara za Igunga - Tabora
32. Kusambazawalimu 16,000 katika shule za sekondari zenye upungufu makubwa wa walimu -Kisesa Magu
33. Kununuavyandarua viwili kwa kila kaya - Mbeya Mjini
34. Kuzipandishahadhi hospitali maalumu saba nchini kuwa za rufaa ili kuipunguzia mzigoHospitali ya Taifa ya Muhimbili (MHN) - Hydom Manyara
35. Kulindaamani nchini kwa kuzuia chokochoko za kidini, kikabila na kisiasa - Musoma
36. Kulindahaki za walemavu - Makete
37. Kujengabaabara ya Njombe - Makete kwa kiwango cha lami,urefu wa kilomita 109 - Iringamjini
38. Kujengabarabara Musoma – Mto wa Mbu Arusha - Arusha
39. Kuanzishajimbo la Ulyankulu- Shinyanga Mjini
40. Kujengabarabara ya lami Manyoni-Kigoma – Kaliua,Tabora
41. Kukarabatibarabara ya Arusha Moshi - Arusha Mjini
42. Kuboreshabarabara ya Handeni, Kondoa, mpaka Singida - Dodoma
43. Kuwafidiawanakijiji ng'ombe waliopotea wakati wa ukame mwaka 2009 - Longido
44. Vijijivyote vilivyoko kilomita 15 kutoka kwenye bomba kuu la mradi mkuu wa maji waZiwa Victoria - Shinyanga-Kahama kuunganishiwa maji - Shinyanga
45. Tatizola umeme kufikia kikomo Novemba mwaka huu mkoani Arusha – Arusha mjini
46. Kukopeshawavuvi zana za kilimo - Busekera, Wilaya ya Musoma
47. Kuwapatiamaji wakazi wa Wilaya ya Longido - Longido
48. Kujengabarabara ya lami kupitia pembezoni mwa Hifadhi ya Taifa ya Seregenti – Ngorongoro
49. Utekelezajiwa mpango wa maendeleo ya kilimo kuwasaidia wafugaji kuweza kupata na kutunzamifugo yao vizuri - Mbulu mkoani Manyara
50. Kusambazamaji nchi nzima - Babati vijijini
51. Kusambazaumeme, utoaji wa huduma za afya, na uboreshaji wa kilimo cha umwagiliaji nautoaji ruzuku kwa wakulima. mwaka 2010-2015 - Babati vijijini
52. Kuongezamara tatu idadi ya wananchi wanaonufaika na ruzuku ya pembejeo za kilimo kwamfumo wa vocha - Iringa
53. KuhakikishaIsimani inapata maji ya uhakika - Iringa
54. Kuiwekealami barabara inayokwenda katika Hifadhi ya Taifa ya Ruaha, ambayo ndiyohifadhi kubwa kuliko zote Tanzania - Iringa
55. Kulindausalama wa wananchi kwa ujumla ili kudumisha amani na sifa ya nchi -Ifunda
56. Kutokomezamalaria 2015 - Bunda, mkoa wa Mara
57. Kuwapawanawake nafasi zaidi - Kilolo, Iringa
58. Ahadikuisadia Zanzibar kuendeleza miradi mbalimbali ya kijamii - Kibandamaiti MjiniZanzibar
59. Kuipandishahadhi hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar kuwa ya rufaa - Kibandamaiti mjiniZanzibar
60. KuisaidiaZanzibar kila panapohitajika msaada - Kibandamaiti
61. Serikalikujenga upya bandari ya Mbambabay - Ruvuma
62. Ununuziwa Meli mpya yenye uwezo wa kubeba tani 400 - Mbambabay Ruvuma
63. kufufuachama kikuu cha ushirika cha wakulima wa Mbinga (MBICU) – Ruvuma
64. AhadiRais wa Marekani Barack Obama kuimwagia misaada Tanzania – Ruvuma
65. Ahadihakutakuwa na umwagaji wa damu baada ya uchaguzi-Dar es Salaam
66. Mtwarakuwa mji wa Viwanda – Mtwara
67. Ahadiujenzi wa kwanda cha dawa ya kuua viluilui vya mbu - Kibaha
68. Hospitaliya Tumbi kuwa ya mkoa - Kibaha
69. Halmashauriya manispaa ya Kibaha kutenga eneo maalumu la viwanda - Kibaha