leo ktk kipindi cha maswali ya papo kwa papo bungeni. Mbunge mmoja wa zanzibar alivilaumu vyombo vya habari kwa udini uliokithiri alipouliza mh pinda kuhusu yaliotokea zanzibar na uripotiaji wa habari hiyo kwa magazeti
"mh waziri mkuu, hivi karibuni palitokea vurugu zanzibar, lkn cha ajabu vyombo vyetu vya habari viliegemea tu uchomaji makanisa huku hata baadhi ya misikiti iliharabiwa na baadhi ya watu, lkn vyombo kwa makusudi vilificha habari hiyo.
Jee mh unashauri nini kuhusu vyombo vyetu vya habari kwa kubase zaidi upande mmoja huku matokeo kama hayo ya vyombo vya habari ndivyo vilivyosababisha mauji ya kenya na rwanda?
My take.sipendi udini lkn kwa mtitiriko huu kweli vyombo vyetu havitakuwa bias?
Jambo leo
muhariri mkuu: Willy edward (mkiristo)
muhariri wa habari: Julian msacky (mkiristo)
tzdama
muhariri mkuu:absolume kibanda (mkiristo)ambae pia ndio mwenyekiti wa jukwaa la habari
muhariri msaidizi: Albert ngurumo (mkiristo)
mwananchi
muhariri mkuu: Theophil makunga (mkiristo)
majira:
Muhariri mkuumkiristo)
mtanzania
muhariri mkuu (mkiristo)
habarileo: John (mkiristo)
daily news
mhariri mtendaji wa gazeti la the guardian on sunday, richard mgamba
. mhariri mtendaji wa gazeti la nipashe, jose kwayu
mwenyekiti wa moat, reginald mengi .
Je kwa hili nalo hapa chini linalozunguka kwenye simu tutafika?
Katika ukusanyaji wa maoni yakatiba mpya wajibu wetu kama waislam ni: -
· Mapumziko siku ya ijumaa
· Kuondoa ushuru wa misaada yawaislam inayoingia nchini
· Mahakama ya kadhi
· Waislamu TZ waruhusiwe kujiungana umoja wa nchi za kiislam OIC
Nakuomba tuma SMS hii kwawaislam wote Tanzania nzima.
hivi kwa akili yako msikiti kupigwa bomb na polisi, na kanisa kuchomwa na waislam unauna ni vitu vinavyoelekeana?....kwani hao askari wa zenji si waislam karibia wote?...unajua wazanzibari akili zao ni mgando hawatakuja wapate akili ya kufikiri hata siku moja, yaani hata ukitaka kumharibu mtoto wako mpeleke shule yeyote ya zenji, atarudi akili zote ameziacha amekuwa kopo..hata waelimike namna gani, akili inabaki palepale...mbumbuumbu....
.......asante mkuu,umemaliza!Makanisa yalichomwa na wana Uamsho kwa minajiri ya kuwaadhibu wakristo na kuhimiza kuvunjwa muungano na msikiti ulipigwa na polisi kutuliza ghasia! Huoni tofauti hapo?
sio ndogoDuh!kazi ipo ha ha ha
Leo wahahariri wameumbuka. kumbe wadini?.......asante mkuu,umemaliza!
Mwenyekiti wa MOAT, Reginald Mengi : hivi karibuni amekabidhiwa PHD ya Biblia.......asante mkuu,umemaliza!
Je kwa hili nalo hapa chini linalozunguka kwenye simu tutafika?
Katika ukusanyaji wa maoni yakatiba mpya wajibu wetu kama waislam ni: -
· Mapumziko siku ya ijumaa
· Kuondoa ushuru wa misaada yawaislam inayoingia nchini
· Mahakama ya kadhi
· Waislamu TZ waruhusiwe kujiungana umoja wa nchi za kiislam OIC
Nakuomba tuma SMS hii kwawaislam wote Tanzania nzima.
Msikiti ULIPIGWA MABOMU NA POLICE tena kwa MAKUSUDI, lakini habari hii ilifichwa , Tanzania sijui inaelekea wapi!
Ni kweli, mimi ni Mkristo lakini sikufurahishwa na jinsi vyombo vyetu vya habari vilivyosambaza habari za vurugu za Zanzibar. Hivi waandishi wetu wakoje? Ni rahisi sana kumgundua mwandishi shabiki wa CCM, CDM, Yanga, Simba na pengine hata kabila lake. Ingawa bado kuna watanzania wanafurahishwa na habari za aina hii (za upendeleo) kama vyombo hivi havitadhibitiwa vitaleta maafa. Lazima
Labda kwa kuwa yeye si mwana uamsho!Waislamu mbona mnatapatapa wakati huu ni mwanzo tu wa mapambano ya kidni mliyoyaasisi nyinyi wenyewe?
Kwa nini tuanze kuangalia nani mhariri wa gazeti gani kwa jina???? Huo ni ukosefu wa upeo, na kuwa na mawazo mgando yasiyokuwa na mwisho mzuri. Je unafahamu ni kwa nini majina kama yenu hayaonekani? Bila shaka ni kwa sababu pengine ham-qualify kwenye hizo post au mpo vizuri kwa upande mwingine wa `Dini zaidi`..... Wengi wetu tunashinda madrasa 24/7 kwa siku 365...... sasa hapo unaweza kuwa mwamdishi kweli???????????????/
Hii nimekutana nayo jana kuna jamaa alimtumia rafiki yangu akidhani ni MuIslam kumbe inazunguka kila mahali udini utaliangamiza taifa.
mhh...By Iramba Junior
Je kwa hili nalo hapa chini linalozunguka kwenye simu tutafika?
Katika ukusanyaji wa maoni yakatiba mpya wajibu wetu kama waislam ni: -
· Mapumziko siku ya ijumaa
· Kuondoa ushuru wa misaada yawaislam inayoingia nchini
· Mahakama ya kadhi
· Waislamu TZ waruhusiwe kujiungana umoja wa nchi za kiislam OIC
Nakuomba tuma SMS hii kwawaislam wote Tanzania nzima.