Mbunge avilalamikia Vyombo vya habari vya Tanzania kwa udini

"wewe endelea kudhaniya. mimi nipo ground zero, ni kweli msikiti umeharibiwa kwa kupigwa mabomu na polisi, ni katika hao polisi ndio walotoa habari kwamba ulipigwa makusudi na polisi flani kutoka tanganyika, uchunguzi kamili umefanyika na kishajulikana. pia habari ya makanisa yaliyohujumiwa, hamtaki kukubali hiyari yenu, ila hata UAMSHO wamelaani kitendo hicho na wakaahidi watasaidia uchunguzi kujulikana nani amefanya kitendo hicho. KWA TAARIFA TU! Uamsho tayari wamepeleka rasmin taarifa yao polisi, iulizeni polisi ikutoleeni ripoti hiyo. Tatizo hili suala la kudai Zanzibar yetu sio dogo kama mnavyofikiri... hehehehe. ipo siku mtatusoma"

Of course, mimi binafsi jana nimeconfirm kupitia source yangu iliyo zanzibar kwamba kuna uwezekano mkubwa sana Uamsho hawakushiriki kwenye vurugu hizo. Lakini swala la msikiti kupigwa bomu tena na askari halikuwa na uzito wa kipekee kulinganisha na kanisa kuchomwa moto sababu kwa haraka haraka naendelea kuamini kwamba askari huyo alirusha bomu katika harakati za kuwapunguza waasi nguvu. nadhani badala ya kupiga kelele kwamba msikiti umepigwa bomu na askari kutoka tanganyika issue ya msingi ni kuangalia kama kweli mabomu yalikuwa yanahitajika kutuliza vurugu hizo, na pili relevance ya msikiti kushambuliwa kukionakana hakuna sababu ninawakabidhi huyo mtanganyika mumuhukumu hata kwa taratibu za sharia.
 
leo ktk kipindi cha maswali ya papo kwa papo bungeni. Mbunge mmoja wa Zanzibar alivilaumu vyombo vya habari kwa udini uliokithiri alipouliza Mh Pinda kuhusu yaliotokea zanzibar na uripotiaji wa habari hiyo kwa magazeti

"Mh Waziri Mkuu, Hivi karibuni palitokea Vurugu Zanzibar, Lkn Cha ajabu vyombo vyetu vya habari viliegemea tu Uchomaji Makanisa huku hata baadhi ya misikiti iliharabiwa na baadhi ya watu, Lkn vyombo kwa makusudi vilificha HABARI HIYO.
jee Mh unashauri nini kuhusu vyombo vyetu vya habari kwa kubase zaidi Upande mmoja huku matokeo kama hayo ya Vyombo vya habari ndivyo vilivyosababisha mauji ya Kenya na Rwanda?

MY TAKE.SIPENDI UDINI LKN KWA MTITIRIKO HUU KWELI VYOMBO VYETU HAVITAKUWA BIAS?
JAMBO LEO
Muhariri Mkuu: Willy Edward (mkiristo)
Muhariri wa habari: Julian Msacky (mkiristo)
TZDAMA
muhariri Mkuu:Absolume Kibanda (Mkiristo)Ambae pia ndio Mwenyekiti wa JUKWAA LA HABARI
Muhariri Msaidizi: Albert Ngurumo (mkiristo)
MWANANCHI
Muhariri Mkuu: Theophil Makunga (mkiristo)
MAJIRA:
muhariri mkuu mkiristo)
MTANZANIA
muhariri mkuu (Mkiristo)
Habarileo: John (Mkiristo)
Daily news
Mhariri mtendaji wa gazeti la the guardian on sunday, Richard Mgamba
. Mhariri Mtendaji wa gazeti la Nipashe, Jose Kwayu
JEE HAWA WANAWEZA KUONA KASORO HIYO?
Mwenyekiti wa MOAT, Reginald Mengi : hivi karibuni amekabidhiwa PHD ya Biblia
.Katibu Mtendaji wa MCT, Kajubi Mukajanga

Kunya anye kuku akinya bata mara mchafu,mara kaarisha.Hivi nyinyi dini yenu inamafundisho gani?inasikitisha sana,nyinyi ni watu wakulialia tu,mnaonewa tu, halafu ndo magaidi wa kutisha na roho zenu mbaya
 
ONGEZA NA HAWA:

1. Mkurugenzi Mtendaji (ITV-Radio One), Joece Mhavile (Mkristo)
2. Mkurugenzi Mtendaji (Mwananchi), Tido Mhando (Mkristo)
3. Mhariri Mtendaji (Habari Leo/Dalynews), Mkubwa (Mkristo)
4. Mwenyekiti wa bodi (Raia Mwema), Ulimwngu (Mkristo)
5. Mhariri wa habari, magazeti ya serikali, Kulangwa (mkristo)
6. Mhariri mtendaji gazeti la Jamhuri D. Balille na naibu wake, Manyerere Jacton (Wakristo)
7. Mhariri mtendaji Raia Mwema (Bwire) ni (mkristo)
8. Mhariri mtendaji wa IPP (Nshana0 mkristo
9.Mhariri Mkuu wa Uhuru - Nape Nnauye (mkristo)
10. Mkurugenzi mtendaji TBC, Mshana mkrisro
11.Mhariri mtendaji wa New habari Corp (Prince Bagenda) naye mkristo.

Wengine nimewasahau. Naendelea kupekua hapa idara ya habari Maelezo ili niweke majina yao.

SERIKALI - JUKWAA LA WAHARIRI, BARAZA LA HABARI (MCT), MISA, MOAT na TUJ - jibu madai haya yanayolenga kuwachafua. Vinginevyo, wananchi wataamini haya yanayoelezwa.

 
Of course, mimi binafsi jana nimeconfirm kupitia source yangu iliyo zanzibar kwamba kuna uwezekano mkubwa sana Uamsho hawakushiriki kwenye vurugu hizo. Lakini swala la msikiti kupigwa bomu tena na askari halikuwa na uzito wa kipekee kulinganisha na kanisa kuchomwa moto sababu kwa haraka haraka naendelea kuamini kwamba askari huyo alirusha bomu katika harakati za kuwapunguza waasi nguvu. nadhani badala ya kupiga kelele kwamba msikiti umepigwa bomu na askari kutoka tanganyika issue ya msingi ni kuangalia kama kweli mabomu yalikuwa yanahitajika kutuliza vurugu hizo, na pili relevance ya msikiti kushambuliwa kukionakana hakuna sababu ninawakabidhi huyo mtanganyika mumuhukumu hata kwa taratibu za sharia.

" unafahamu pia kuwa tokea mwaka 2001 inapodaiwa makanisa kuchomwa moto hadi leo hii hajakamatwa mtu? kipindi hicho pia UAMSHO ilishutumiwa na baadhi ya viongozi wake walifika kuekwa kizuizini kwa matukio hayo. Uchunguzi ulifanyika ila polisi hadi leo hii hawajatowa ripoti ya nani kashiriki uhalifu ule. Hata majuzi tu Amir Azzan (katika mhadhara ulofanyika msikiti wa Mbuyuni) alizungumzia kadhia hiyo kwa urefu. Bw Sangarara jaribu kuitafuta cd ya muhadhara huo utasoma mengi kutoka kwa huyo Amir wetu anayeambiwa mjukuu wa mfalma!! "
 
" unafahamu pia kuwa tokea mwaka 2001 inapodaiwa makanisa kuchomwa moto hadi leo hii hajakamatwa mtu? kipindi hicho pia UAMSHO ilishutumiwa na baadhi ya viongozi wake walifika kuekwa kizuizini kwa matukio hayo. Uchunguzi ulifanyika ila polisi hadi leo hii hawajatowa ripoti ya nani kashiriki uhalifu ule. Hata majuzi tu Amir Azzan (katika mhadhara ulofanyika msikiti wa Mbuyuni) alizungumzia kadhia hiyo kwa urefu. Bw Sangarara jaribu kuitafuta cd ya muhadhara huo utasoma mengi kutoka kwa huyo Amir wetu anayeambiwa mjukuu wa mfalma!! "

Dar es Salaam zinapatikana wapi hizo CD?
 
Back
Top Bottom