Mwache mzee Mbowe apumzike kwa amani. Alikuwa mkulima, mfugaji, mfanyibiashara. Sijawahi kusikia popote pale Moshi kuwa alikuwa fisadi. Alisaidia sana wanyonge na alijitolea kwa hali na mali kukijenga chama cha TANU. Ni rahisi kushutumu mtu fisadi bila kutoa ushahidi, na kwa mtazamo wako, hata akina Rupia, Sykes, ambao walipata utajiri enzi za ukoloni na kusaidia kujenga chama cha TANU walikuwa mafisadi. You are pathetic.baba yake mbowe alikua fisadi mkubwa miaka ya nyerere. ndo wazee wachache nyerere aliwaachia kuiba fedha zetu...