Mbowe ni kibaraka wa CCM ndani ya CHADEMA?

Kwenye msiba wa Bob Makani Katibu Mkuu wa CCM aliteleza na Mbowe akanyosha maneno kwa kutoa historia fupi.

Ndani ya historia kuna mahali alitaja washiriki wa kikao naye mwenyewe akiwepo kama kiongozi wa vijana.

Inawezekana kabadilika lakini kwa nini awe kibaraka wa CCM sasa ambapo CDM imeanza kupata mafanikio?

Tujadiliane kwa amani.

Tatizo la Mbowe siyo kuhisiwa kua kibaraka , bali Mbowe ni mfaidikaji mzuri sana wa historia na mfumo wa CCM, mtu wa namna hii huwezi kumuamini kama atakuja kubadilisha mifumo ya uongozi na ufanisi wa serikali akipewa nchi achilia mbali kurudisha mali zetu zilizoibiwa na kuwafunga hawa wezi...Mbowe ni mtu wa tabaka la juu la wanufaika wa uhuru wa Tz, hawezi kuwaangalia machoni na kuwaumiza na kuwazika wanatabaka wenzake hata siku moja hamna mwanajamii hata siku moja anapingana kiukweli na tabaka lake na kutetea tabaka asilokuepo. Mbowe mjanja tu anataka ubwana mkubwa basi na siyo ukombozi wa wanyonge wa Tanganyika.


Nawasikitikia wale wanyonge wanaompa matumaini makubwa huyu bwana
 
Tatizo la Mbowe siyo kuhisiwa kua kibaraka , bali Mbowe ni mfaidikaji mzuri sana wa historia na mfumo wa CCM, mtu wa namna hii huwezi kumuamini kama atakuja kubadilisha mifumo ya uongozi na ufanisi wa serikali akipewa nchi achilia mbali kurudisha mali zetu zilizoibiwa na kuwafunga hawa wezi...Mbowe ni mtu wa tabaka la juu la wanufaika wa uhuru wa Tz, hawezi kuwaangalia machoni na kuwaumiza na kuwazika wanatabaka wenzake hata siku moja hamna mwanajamii hata siku moja anapingana kiukweli na tabaka lake na kutetea tabaka asilokuepo. Mbowe mjanja tu anataka ubwana mkubwa basi na siyo ukombozi wa wanyonge wa Tanganyika.


Nawasikitikia wale wanyonge wanaompa matumaini makubwa huyu bwana
Umeandika vizuri mno na kweka bayana mtizamo wako.
Ni ukweli usiopingika kuwa Mbowe ametoka katika familia ambayo tayari kuna nafuu kubwa na wakati mwingine ni vizuri tukaweka wasiwasi uliouonyesha.
Kwa upande wangu nahisi ya kuwa kwa sasa anakidhi haja kwa changamoto anazotoa katika duru ya siasa ya nchi hii.Sidhani kama bado ana ambition ya Urais na kama ataingia kwenye kinyanganyiro hicho nahisi siasa za udini na ukanda zitapamba moto na si ajabu tukashuhudia vurugu.
 
Umeandika vizuri mno na kweka bayana mtizamo wako.
Ni ukweli usiopingika kuwa Mbowe ametoka katika familia ambayo tayari kuna nafuu kubwa na wakati mwingine ni vizuri tukaweka wasiwasi uliouonyesha.
Kwa upande wangu nahisi ya kuwa kwa sasa anakidhi haja kwa changamoto anazotoa katika duru ya siasa ya nchi hii.Sidhani kama bado ana ambition ya Urais na kama ataingia kwenye kinyanganyiro hicho nahisi siasa za udini na ukanda zitapamba moto na si ajabu tukashuhudia vurugu.

CDM kwa pamoja wanatoa changamoto nzuri katika demokrasia yetu...Nafikiri Mbowe na Slaa wote wana baggage hiyo ya udini na ukanda na ikitumiwa vizuri na CCM itawapunguzia kura kiasi fulani. Kuna fununu tu Mbowe anaweza gombea kwa sababu Slaa hajawahi kua na nia hiyo , urais ni nia ya ndani ya Mh Mbowe.
 
ni kati ya hoja zinazojadiliwa hapa kigoma mjini wengi wana muona mbowe kama kibaraka wa CCM, kwahiyo wanaona ukombozi kwao kama ndoto kwa kuwa kinaongozwa na mbowe ambapo wengi wanamuona kama ni kibaraka. Hoja wanazozitoa kuwa eti baba yake Mbowe alikuwa ni rafiki mkubwa wa Nyerere na hata katika wakati wa uhujumu uchumi Nyerere hakumgusa kabisa mzee Mbowe, na hata jina la Freeman lilitolewa na Nyerere ambaye ndiye baba yake wa ubatizo wa Freeman Mbowe.

Je, huyu ndiye mtu anayeweza kuitoa CCM? Wanahoji wakazi hao kigoma ujiji.

Najiandaa leo kuhudhuria mkutano wa CCM hapa Mwanga community centre nikawasikilize je? wana jipya? Tusubiri.
Je, umeshaihama CUF? Au ndiyo tuendelee kukubali kuwa CUF ni CCM B? RIP CUF...RIP Mkigoma
 
ni kati ya hoja zinazojadiliwa hapa kigoma mjini wengi wana muona mbowe kama kibaraka wa CCM, kwahiyo wanaona ukombozi kwao kama ndoto kwa kuwa kinaongozwa na mbowe ambapo wengi wanamuona kama ni kibaraka. Hoja wanazozitoa kuwa eti baba yake Mbowe alikuwa ni rafiki mkubwa wa Nyerere na hata katika wakati wa uhujumu uchumi Nyerere hakumgusa kabisa mzee Mbowe, na hata jina la Freeman lilitolewa na Nyerere ambaye ndiye baba yake wa ubatizo wa Freeman Mbowe.

Je, huyu ndiye mtu anayeweza kuitoa CCM? Wanahoji wakazi hao kigoma ujiji.

Najiandaa leo kuhudhuria mkutano wa CCM hapa Mwanga community centre nikawasikilize je? wana jipya? Tusubiri.

mkigoma,

..isije ikawa hao uliowasikia bado wanafikiri Mwalimu Nyerere ni mwenyekiti wa CCM.

..uliwadadisi kama wanafahamu kwamba Mwalimu alishafariki, na CCM wamelizika azimio la arusha?

..CCM ya JK,Lowassa,na Rostam, ni tofauti kabisa na CCM ya Mwalimu Nyerere na Rashidi Kawawa.
 
CDM kwa pamoja wanatoa changamoto nzuri katika demokrasia yetu...Nafikiri Mbowe na Slaa wote wana baggage hiyo ya udini na ukanda na ikitumiwa vizuri na CCM itawapunguzia kura kiasi fulani. Kuna fununu tu Mbowe anaweza gombea kwa sababu Slaa hajawahi kua na nia hiyo , urais ni nia ya ndani ya Mh Mbowe.
Hofu yangu kubwani nia ya CCM kubaki madarakani kwa gharama yoyote na udini na ukabila wakiutumia hautatuacha salama na kama uonavyo vichaa wamepewa rungu,angalia mambo yanayojitokeza sasa.
 
ni kati ya hoja zinazojadiliwa hapa kigoma mjini wengi wana muona mbowe kama kibaraka wa CCM, kwahiyo wanaona ukombozi kwao kama ndoto kwa kuwa kinaongozwa na mbowe ambapo wengi wanamuona kama ni kibaraka. Hoja wanazozitoa kuwa eti baba yake Mbowe alikuwa ni rafiki mkubwa wa Nyerere na hata katika wakati wa uhujumu uchumi Nyerere hakumgusa kabisa mzee Mbowe, na hata jina la Freeman lilitolewa na Nyerere ambaye ndiye baba yake wa ubatizo wa Freeman Mbowe.

Je, huyu ndiye mtu anayeweza kuitoa CCM? Wanahoji wakazi hao kigoma ujiji.

Najiandaa leo kuhudhuria mkutano wa CCM hapa Mwanga community centre nikawasikilize je? wana jipya? Tusubiri.

punguza ushabiki kuwa mwelewa hiyo si hoja ya watanzania, watanzania wanataka maisha bora , na endelevu na si mbowe ni kitu kidogo.Ni vyema iwe ccm au CDM ni lazima kuweka mfumo na sera nzuri za kuwaletea maisha bora watanzania, na hasa kuwaondolea kero ya maisha yao na kero zinzowakabili.Lakini kwa sasa kumebakia propaganda za ushabiki wa ghiriba za kiccm huku watanzania wakibaki na kero nyingi amabzo hazitatua matatizo yao.mbowe kawa mwiba mkali ndo maaana mnaweka propaganda
 
mtoa Mada, mbona huulizi kama mn....ye, mwa...mbe, uncle six, filip...njombe, eas.tr ...ulaya, ni vibaraka wa CDM? au ukibaraka ni one way trafick siyo two way trafick
 
Hebu jimalize mwenyewe maana hata mbuzi akijisikia kujikuna anatumia pembe yake.
 
mkigoma,

..isije ikawa hao uliowasikia bado wanafikiri Mwalimu Nyerere ni mwenyekiti wa CCM.

..uliwadadisi kama wanafahamu kwamba Mwalimu alishafariki, na CCM wamelizika azimio la arusha?

..CCM ya JK,Lowassa,na Rostam, ni tofauti kabisa na CCM ya Mwalimu Nyerere na Rashidi Kawawa.

Ata chadema itakayoongozwa na Mh Zito ni tofauti kabisa na Chadema inayoongozwa na Mh Mbowe chadema yenye vurugu na fujo!
 
punguza ushabiki kuwa mwelewa hiyo si hoja ya watanzania, watanzania wanataka maisha bora , na endelevu na si mbowe ni kitu kidogo.Ni vyema iwe ccm au CDM ni lazima kuweka mfumo na sera nzuri za kuwaletea maisha bora watanzania, na hasa kuwaondolea kero ya maisha yao na kero zinzowakabili.Lakini kwa sasa kumebakia propaganda za ushabiki wa ghiriba za kiccm huku watanzania wakibaki na kero nyingi amabzo hazitatua matatizo yao.mbowe kawa mwiba mkali ndo maaana mnaweka propaganda

Unajidanganya mkuu Mbowe hana mvuto ata kidogo kwa watanzania alishawahi kugombea uraisi kura alizopata ni kutoka kwa mke wake,dada zake,kaka zake na shemeji zake huwezi ata kidogo kufananisha na Zito huyu kijana ana nguvu kubwa kwa wananchi tofauti na huyo baba mvuto wake kisiasa kwa wananchi ni zero,hoja zake ni zero akisimama kuchangia bungeni unashangaa huyu ndiye mwenyekiti wa chama kweli tofauti na Zito hoja zake huwa zinaeleweka vizuri na zina nguvu sana,chadema inaongozwa na Mwenyekiti kilaza!
 
ni kati ya hoja zinazojadiliwa hapa kigoma mjini wengi wana muona mbowe kama kibaraka wa CCM, kwahiyo wanaona ukombozi kwao kama ndoto kwa kuwa kinaongozwa na mbowe ambapo wengi wanamuona kama ni kibaraka. Hoja wanazozitoa kuwa eti baba yake Mbowe alikuwa ni rafiki mkubwa wa Nyerere na hata katika wakati wa uhujumu uchumi Nyerere hakumgusa kabisa mzee Mbowe, na hata jina la Freeman lilitolewa na Nyerere ambaye ndiye baba yake wa ubatizo wa Freeman Mbowe.

Je, huyu ndiye mtu anayeweza kuitoa CCM? Wanahoji wakazi hao kigoma ujiji.

Najiandaa leo kuhudhuria mkutano wa CCM hapa Mwanga community centre nikawasikilize je? wana jipya? Tusubiri.
baba yake mbowe alikua fisadi mkubwa miaka ya nyerere. ndo wazee wachache nyerere aliwaachia kuiba fedha zetu...
 
basi! waaamie ccm! watapata uoukombozi! nazani baada ya masia kurudi
 
Umeandika vizuri mno na kweka bayana mtizamo wako.
Ni ukweli usiopingika kuwa Mbowe ametoka katika familia ambayo tayari kuna nafuu kubwa na wakati mwingine ni vizuri tukaweka wasiwasi uliouonyesha.
Kwa upande wangu nahisi ya kuwa kwa sasa anakidhi haja kwa changamoto anazotoa katika duru ya siasa ya nchi hii.Sidhani kama bado ana ambition ya Urais na kama ataingia kwenye kinyanganyiro hicho nahisi siasa za udini na ukanda zitapamba moto na si ajabu tukashuhudia vurugu.
Hata kina Kennedy Marekani walitoka familia iliyokuwa na unafuu. Ingeeleweka kama akina Kennedy wangekuwa Republicans, lakini haikuwa hivyo kwa sababu walikuwa na moyo wa kumsaidia the little guy. Hii ya kutoka familia yenye unafuu haikufanyi uwe bwanyenye kimantiki na kimtazamo. Marehemu Edward Kennedy was the most liberal senator the Democrats have had. Ukiangalia siasa zake, usingefikiria kuwa ametoka familia ya mamilionea.
 
Back
Top Bottom