Umeadhirika?!Wakuu Nikiwa Muadhirika Wa Mabadiliko Yoyote Yale Nimetumia Nguvu Nyingi Kutetea Kwa Kujiamini Chama Changu Hichi Kilo Rohoni Mwangu.
Ila Kuanzia Mchakato Wa Mgombe Urais Na Sasa Uteuzi Wa Viti Maalumu Nimekubaliana Na Wanaoamin Kuwa Mwenyekiti Ana Malengo Yake Tofauti Na Malengo Ya Chama