Chivundu
JF-Expert Member
- Dec 17, 2012
- 7,224
- 5,466
Nilidhani ni mchango toka kwa mwanachama mwenzetu, nadhani ingekuwa na maana zaidi ungesema "tumpe Profesa Safari uongozi"
Sasa shida ipo wapi? jamaa uwezo wake umefikia hapo,hamuwezi fanya mambo kwa namna ile ile kwa miaka zaidi ya 20 mkitegemea mabadiriko.