Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amesema chama hicho kipo katika mazungumzo ya kufanya ushirikiano wa kuachiana nafasi ikiwemo ya Urais kwa upande wa Zanzibar na pia baadhi ya majimbo na kata nchini na Chama cha ACT-Wazalendo.
MBOWE :Tupo katika mazungumzo na ACT-Wazalendo
MBOWE :Tupo katika mazungumzo na ACT-Wazalendo