silvemaps
Member
- Mar 26, 2012
- 46
- 7
unajua kuna watu humu jamvini sijui wanafikiria na makalio? hilo la CHADEMA KUchukua nchi mbona lipo waaaazi.mimi mwenyewe mwanaccm nimekitafakari chama kwa undani naona kimekata netework.Ona mikutano ya nape kama ya kijiji.watu mia hamsini wakizidi saaana 300 huoni wananchi weshachoka au kwa sababu ya ushabiki?ni vema tuishauri chadema kujijenga kupata wasomi wengi kabla ya 2015 ili tupate serewkali mpya na SI VINGINEVYO.CHAMA CHETU KIMEZEEKA,DONT YOU SEE?