Pendael laizer
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 958
- 101
na hakika kama chadema ikichukua nchi 2015 mi nahama nchi!
Hamia china ili ukanyongwe manake itakuwa wewe fisadi na hawakuambii jiuzulu ni unakula kitanzi na ni lazma mafsadi wote wahame manake chadema wakichukuwa nchi inaanza ni nyie mafsadi