Kwanza angerudisha fedha alizokopa NSSF zilizomfanya anunulie Vogue (namkumbuka brazamen). Huyu brazamen ni katika wana JF wa zamani na kuna siku aliweka nyuzi humu JF iliyoonesha kuwa jigari analotumia Mbowe ni la wizi huko Uingereza, akataja mpaka waliomuuzia. Sijui brazamen yuko wapi siku hizi? Atupe ma data ya uhakika.
Nashukuru Mungu kuwa JF haikuanza nikiwa kijana maana naingeshawishika kwenda kusomea fani ya udaktari wa upasuaji vichwa, kweli naapa!!