Mbowe arejesha Shangingi la Kiongozi wa Upinzani Bungeni

Mimi naona ungeandikwa muswaada (bipartisan)
Wakuu hebu nikumbusheni tena ni lini hili limewahi kutokea katika siasa za Tanzania?

Kwani bila hivyo tutakuwa tunawaingilia na ku-complicate kazi za wahasibu wa bunge kwani wao wana directives ambazo wanahitaji ku fulfill.

Mkuu hii si kweli hata kidogo unless kama kuna sababu nyingine ya msingi, sehemu nyingi tu za kazi siku hizi unaruhusiwa kunominate mpaka akaunti nne ya jinsi unakotaka mshahara wako unyambulishwe na kutawanywa huko. After all hili halifanyiki manually au kwa kichwa a simple spreadsheet can do this job better, fast and reliably.
 
KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Nape Nnauye, amempongeza Kiongozi wa Kambi ya Upinzani bungeni, Freeman Mbowe, kwa kusikia mwito wa chama hicho na kuamua kurudisha gari la Serikali alilokuwa akilitumia.

Nape alitoa kauli hiyo jana alipokuwa akijibu swali baada ya kuzungumza na uongozi wa Kampuni ya Tanzania Standard Newspapers Ltd (TSN), inayochapisha magazeti ya Daily News, Sunday News, HABARI LEO na HABARILEO Jumapili.

“Anaona aibu kutembelea gari lililonunuliwa na walipa kodi wakati Chadema hailipi kodi, ndiyo maana karudisha kwa kukosa uhalali wa kulitumia, ni vema atekeleze mwito wa kulipa kodi na akimaliza, tutamwambia mengine ili wajisafishe,” alisema Nape.
 
Wakuu hebu nikumbusheni tena ni lini hili limewahi kutokea katika siasa za Tanzania?



Mkuu hii si kweli hata kidogo unless kama kuna sababu nyingine ya msingi, sehemu nyingi tu za kazi siku hizi unaruhusiwa kunominate mpaka akaunti nne ya jinsi unakotaka mshahara wako unyambulishwe na kutawanywa huko. After all hili halifanyiki manually au kwa kichwa a simple spreadsheet can do this job better, fast and reliably.
Mkuu naona umekuja kichwa kichwa,hiyo tangu enzi za mchonga ilikuwa inawezekena.
Ninachozungumzia mimi,kuiambia ofisi ya bunge ipeleke sitting allowance yako kwenye NGO au let say kwenye chama chako inaingiliana na vijisheria au taratibu za malipo ya wabunge.Kama wahasibu wanakuwa directed kuwalipa wabunge posho zao kila siku kwa mfano,kwanini hao wabunge wasipokee hizo hela na kuiambia benki (ya mbunge) how to distribute hiyo posho.
Kwa mfano,siwezi kumwambia mwajiri wangu anilipie bili ya umeme au cable directly,hii itakuwa complicated,ila naweza kuiambia benki yangu(ambayo nina akaunti) kulipa automatically kila tarehe 15 au 30 kuruhusu kampuni ya umeme au cable itoe hela kutoka kwenye akaunti yangu.
It may be possible depending on where you work.Ila kama ofisi ya bunge ina complicate issue ya posho based on some crazy laws or by-laws,kwanini usideal na benki yako? If the issue is money transfer to the NGO of your cause.
NB:Kuhusu bipartisanship,tayari makamba,nccr,chadema MPs wana nia hiyo,so why not do it together?
 
Uyu Mtatiro ndio Nani?amejuaje utajili wa Mbowe?...na swala n utajili wa Mbowe au dhamila na nia ya kuonyesha mfano wa kupungza "unnecessary gvt Expenditure"...afu hi hoja amekopi kwa Vilaza wa Cloudz Power brkfast!!na Viongoz maskn ndo hatutaki..wanatsumbua sana Kina Pinda..bora waliozjua hela toka utoton kulko watoto wa wakulima

Ni naibu katibu mkuu bara CUF. Alisoma pale UDSM na major option yake ilikuwa kiswahili, aliingia katika mchakato wa kugombea uraisi wa DARUSO lakini GPA yake ilikuwa ndogo hivyo akakosa sifa, kisha akamsaport DEO na baadae akapewa uwaziri mkuu wa DARUSO. pia alishawahi kuwa waziri wa mikopo pale UDSM, ni mpiganaji mzuri ila anatumia TUMBO kufikiri
 
nape siku hizi kila mahali yuko anatafta media coverage saana eenhee hivi july 10 ndo siku 90 zinafikaeee? Atapata media covreage ya kutosha sasa anyamaze tu
 
Msimshangae huyu Mwalim isa big loser... namjua tangu 2po chuo... hajui kabisa kujenga hojd hyo ndo moja ya weaknes yake... poor teacher, nakuonea huruma sana, ur lost... u better 2 teach, 2na uhaba wa walim shule za kata...
 
Mimi naona ungeandikwa muswaada (bipartisan) kuhusu hizi posho,uwe crafted na watu waliobobea kwenye mambo ya sheria na uchumi halafu ukawa lobbied kwa wabunge ambao wako influencial kama mbowe,mnyika,zitto,mdee,january,jussa,hamad and the like.Kuna watu kama kina chiume n.k ambao wana lobbying companies,au watu wengine ambao wapo kwenye NGOs mbalimbali.Wabunge mara nyingi husukumwa na lobbyists,badala ya kulobby kwa ajili ya Barrick(even though they pay good for it),tunaweza tukaandika muswaada wa kufuta posho za viongozi wa serikali na ku-lobby huo muswaada.For the time being,ningeshauri wabunge ambao wako tayari kujitolea posho zao kwenye majimbo au NGOs zao (especially wale wa viti maalum/kuteuliwa) wafanye hivyo kwa ku-instruct bank zao (kama wana direct deposit) ku-redirect some percentage to their cause.Kwani bila hivyo tutakuwa tunawaingilia na ku-complicate kazi za wahasibu wa bunge kwani wao wana directives ambazo wanahitaji ku fulfill.Nkumbuka hadi leo,marehemu Sokoine kwenye hotuba yake ya bunge ya 1982 or 83 alijitolea sehemu ya mshahara wake na kuwashauri wabunge wengine wafanye hivyo,na alikuwa analipwa less than 4,000shs as a salary.Kama kuna mtu atawachezea hiyo tape ambayo nadhani either RTD au Xinhua watakuwa nayo kwenye archives zao,ingewaaibisha sana hawa wahuni.Mimi ni CCM damu,ila hapa asilimia mia moja nipo na CDM.
Mkuu nakuunga mkono kila nukta uliyoandika! Hoja iliyotolewa na cdm hata kama imekaa kisiasa ni jukumu letu sisi makundi mengine kutoa ushauri ili kuikarabati hoja kama ulivyofanya Kobelo ili tufikie lengo bora kabisa.kuna wabunge walikopa na kutumia rasilimali nyingi kupata ubunge ndo maana usishangae hata wana cdm wengine wakapinga.lakini pia mkuu mwanakijiji mh Mbowe juzi kazungumzia kwa dhamira safi jinsi watumishi wa juu wa umma wanavyoishi kianasa na kuomba ushirikiano wa wabunge wote kutunga sheria kubadilisha hayo na akaamua kuwa mfano wa vitu wanavyoweza kuanza navyo haraka kama hayo mashangingi na yeye akatoa lake lipigwe mnada.tuache kulaumu kuwa ametumia siasa ingawa pia si dhambi kisiasa ila wanasiasa wanatufungulia hoja na sisi wananchi tunasimamia hoja kwa namna itayotunufaisha.Bravo Kobelo kwa ushauri mzuri sana!
 
“Anaona aibu kutembelea gari lililonunuliwa na walipa kodi wakati Chadema hailipi kodi, ndiyo maana karudisha kwa kukosa uhalali wa kulitumia, ni vema atekeleze mwito wa kulipa kodi na akimaliza, tutamwambia mengine ili wajisafishe,” alisema Nape.[/QUOTE] Huyu Nape alikuwa ana haja gani ya kusema ujinga huu. Nadhani ameshindwa kupima mtaji wa kisiasa alipatia Mbowe kwa kitendo alichokifanya. Dada kwa maneno ya kijinga kama haya ya Nape yamemuinua Mbowe na kumuweka kwenye level ya juu zaidi. CCM inafaa wabuni njia mbadala ya kuwapunguza kasi CDM. Wakiendelea hivi watapigwa mawe haji ya nani
 
Kobello acha hivyo.. binafsi kukataa hizo posho hivi hivi ni kutokuwa wabunivu.

Chadema ina wabunge 47? x 80,000 =3,760,000 kwa siku

Kwa muda wa miezi hii mitatu ya bunge la bajeti (siku karibu tisini) = 338,400,000

Naomba mniambie Chadema haikuwa na fikra za kuona jinsi gani fedha hizo badala ya kuwanufaisha wao binafsi zingeweza kusaidia chama - say Kujenga Makao Makuu Mapya? c'mmon.. au kama hawataki kunufaisha chama wangeziweka kwenye akaunti ambayo ingekuwa ni "Foundation ya Chadema" kusaidia katika mambo mbalimbali ya kijamii?

I'm sorry guys.. not strategic thinking. Kubana matumizi siyo sawasawa na kutotumia kwa hekima. Mtu anaweza kubana matumizi na kile alichobakia nacho bado kikawa kinatumika bila hekima.


MMKJJ Your are really surpring! Yaani hutaki kuamini kwamba katika masuala kama haya lazima kuwepo mahala pa kuanzia? At least CDM na Mbowe wameanzia hapo na wengi tunaona ni mwanzo mzuri na kinachobakia ni kuliendeleza hilli suala/hoja. Inashangaza kuona zinaingizwa hoja kama vile umaarufu wa kisiasa, kwa nini asikatae masurufu yote, namna ya hela zinazookolewa zitumike nk nk.

haya ni masuala ya watu wa CCM ambao wanaingiza hoja hizi ili kupoteza lengo halisi la hoja yenyewe! Kwa mtazamo wowote ule, Mbowe amekuwa bold kuchukua hatua kama hiyo hasa kwa kuangalia kwamba ni wangapi wanasiasa, from both camps -- wana uthubutu wa kufanya hivyo.
 
big Up Freeman umonesha njia, laiti Pinda angekuwa mtu wakujifunza angejifunza kwako - yeye alijaribu yakamshinda. Alikataa akasema apewe mwingine - HAITUSAIDII- Wewe umesema LINADAIWE na liwe chanzo cha zoezi la kunadi mengine yanayofanana na hilo

GO--Gooooooo CDM - wape shule
 

MMKJJ Your are really surpring! Yaani hutaki kuamini kwamba katika masuala kama haya lazima kuwepo mahala pa kuanzia? At least CDM na Mbowe wameanzia hapo na wengi tunaona ni mwanzo mzuri na kinachobakia ni kuliendeleza hilli suala/hoja. Inashangaza kuona zinaingizwa hoja kama vile umaarufu wa kisiasa, kwa nini asikatae masurufu yote, namna ya hela zinazookolewa zitumike nk nk.

haya ni masuala ya watu wa CCM ambao wanaingiza hoja hizi ili kupoteza lengo halisi la hoja yenyewe! Kwa mtazamo wowote ule, Mbowe amekuwa bold kuchukua hatua kama hiyo hasa kwa kuangalia kwamba ni wangapi wanasiasa, from both camps -- wana uthubutu wa kufanya hivyo.


I agree with you Zak. There have to be a start somewhere, the one bold enough to open the doors! I ask MMKJJ: Hivi haoni hatua hii ya CDM/Mbowe kuwa ni noble kwa nchi kama yetu?
 
Mtatiro angekuwepo kipindi cha Yesu, Yesu angesema, "Msameheni maana hajui alitendalo"
 
Mimi nilimuona hamnazo pale alipoona GPA yake haitoshi kumruhusu agombee uraisi wa DARUSO kubadili kambi na kwenda kambi ya DEO. alishawahi kufukuzwa Uwaziri wa mikopo enzi ya MAGESA MWITA
 
Toyota Land Cruiser.jpg
Toyota Land Cruiser CBA‐URJ202W(2010) / FOB Price US$125,504
Shipping Estimate US$ 1,650 DAR ES SALAAM

Kwa kuwasahidia kina Julius M, Faizafoxy, funguweni macho. Hilo shangingi linanunuliwa na pesa za kodi ya biashara ya kuhuza karanga/ya mmachinga. Leo hunasimama jukwahani hunashabikia. Ni sawa wakurugenzi, makatibu wa kuu, na mawaziri wa wizara kuwa na hayo magari? Tunaitaji miaka 623, miezi 9 na siku 26 kuwa kama Europe/America kwa akili za kina faizafoxy
 
kweli mkuu,tutoe mawazo mbadala na cdm na wazalendo wengine wasipoyachukua basi hapo tulaumu.tutumie vizuri hoja iliyoanzishwa wakuu.
 
KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Nape Nnauye, amempongeza Kiongozi wa Kambi ya Upinzani bungeni, Freeman Mbowe, kwa kusikia mwito wa chama hicho na kuamua kurudisha gari la Serikali alilokuwa akilitumia. Nape alitoa kauli hiyo jana alipokuwa akijibu swali baada ya kuzungumza na uongozi wa Kampuni ya Tanzania Standard Newspapers Ltd (TSN), inayochapisha magazeti ya Daily News, Sunday News, HABARI LEO na HABARILEO Jumapili. "Anaona aibu kutembelea gari lililonunuliwa na walipa kodi wakati Chadema hailipi kodi, ndiyo maana karudisha kwa kukosa uhalali wa kulitumia, ni vema atekeleze mwito wa kulipa kodi na akimaliza, tutamwambia mengine ili wajisafishe," alisema Nape.
Hivi huyu nape mbona kiwango chake cha uelewa ni kidogo sana? Msemeji mkuu wa chama anatoa comment ya namna hii kwa jambo kubwa la maslahi ya wananchi wa Taifa hili! ama kweli ccm imefilisika, bado wapo kwenye siasa zilizopitwa na wakati za kuwadanganya wananchi kwamba chochote chenye tija hufanywa na ccm tu.
 
Mkuu nashukuru kwa kuongeza msisitizo, binafsi nilimjua kwamba ni mtu anayependa 'misifa' lakini huu unafiki wake na kukosa uzalendo kwa kweli nakiri sikuwahi kutarajia kwamba anaweza kuwa mtu wa magamba kiasi hiki.
Namkumbuka siku zile alikuwa akisimama pale Rev Square alikuwa anapenda kupingana na rais wake Deo Daud,kumbe ulikuwa unafiki tu hakuna lolote!alijifanya kuwa na huruma na watoto wa masikini kwa kuwapigania kwa haki kumbe ni mafuta kwa mgongo wa chupa!Ndiyo maana kuna kipindi Owawa Stephen aliwaponda kina Mtatiro na serikali yao(DARUSO) kuwa ni wanafiki!
 
Mkapa alishawahi kulijibia hili swala la yanayoitwa magari ya kifahari. Rejeeni katika mahojiano yake!
 
Back
Top Bottom