zumbemkuu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 10,832
- 8,623
wewe ni mpuuzi.Sifa kubwa ya Bavicha lazima uwe na PhD ya matusi wewe niite upendavyo kwangu wala siyo tatizo.
wewe ni mpuuzi.Sifa kubwa ya Bavicha lazima uwe na PhD ya matusi wewe niite upendavyo kwangu wala siyo tatizo.
Nitaendelea kusema mpaka mwisho na wala sitabadili msimamo wangu kwamba:
Freeman Mbowe For Chadema Chairman 2013
Dr Wilbroad Slaa For Presidency 2015.
mkuu umenifikirisha sana, nimeamini yote hayo kuna mkono wa magamba,
hawataweza kitu wapuuzi tu. ngoja nkakamate bia ninywe mimi, w/end imeshaanza.
Ukitaja VIONGOZI wanne wakubwa kabisa kwenye Bunge la Tanzania KUB Mbowe yumo. Wengine ni Spika na Naibu wake na Waziri Mkuu. Halafu akose dhifa kama hii!
Ni vizuri tukakumbuka pia kwamba CHADEMA wamesusa mengi mle Bungeni na Kitaifa. Yamewafikisha wapi?
Naikubali sana Chadema na uongozi wao kiujumla na sio siri ni chama nilichodhani kipo kwa ajili ya maslahi ya watanzania.serikali imesababisha mauaji ya wafuasi wako na bila mkuu wa nchi kufanya ulichotaka afanye ili ukweli uwe bayana leo hii kwa kuwa waliopoteza maisha hawakuwa ndugu zako umesahau umeenda kunywa wine na hiyo serikali.ingetokea nyumba yako imelipuliwa watoto wako wamekufa ungeenda kufurahi ikulu???mnacheza tu na akili za watanzania kumbe?Mbowe hufai na umenipa mashaka na chama chako.kwa hili kama mtanzania niliyewakubali sana mtupe maelezo kinyume cha hapo mnatafuta tu madaraka kama maccm
Tulia kidogo, pata funda tatu za maji na kijiko cha asali. Jazba ni silaha dhaifu sana katika mapambano ya hoja.wewe unaejitia mwanakijiji sijui ni wa kijiji gani cha upofu wa nadharia ya siasa. Maoni yako yana kiburi cha ujuwaji mkubwa kwa kuamsha hamasa za misleading attitude kwa hao wanaokufuata. Nimesema mwanzo watu wa jamii yako munalipeka taifa katika dimbwi la machafuko kwa kuongozwa na hamasa na kukosa hekima na ukomavu wa uwezo wa kufikiri. hizi hadithi za kuunganisha unganisha na kuzipa legitimacy inaonenya wazi umahiri wa siasa za kukomoana na majungu. Kuhudhuria kwa Mbowe kumepunguza nini harakati za CDM katika kuleta mabadiliko ya historia ya kweli? Hivi angeligoma kwenda ingelisaidia nini katika harakati za mabadiliko nchini? mchamba kiwngi huondoka na kinyesi mikononi ndio haya maoni yako na mengi tu yasio na mguu wala mkono. Wito kwa uongozi wa CDM, fanyeni mema kwa best interest of the nation, ukomavu wa kisiasa ni kujijenga na kuhakikisha hekima inatawala, siasa za kugomea, kununa, na kutunga tunga nadharia potofu kujstify UPUUZI haziwe kuwa ndio misingi ya msukumo wenu wa kukubalika na kukubaliwa na wananchi kama maturity ya uongozi. Maadui wakubwa waliopigana na kutoana damu wanakaa meza moja na kuwekeana heshima ya kukubali kutafautiana itakuwa nyinyi? Mwanakijiji rudi kijijini siasa huiwezi, hizi tamthilia zako ndizo ziliopeleka afrika ikatawa colonized bila ya kujijua.
mkuu tbt mbali kidogo, kwa leo nakamatia vyupa huku kwa jimmy agent Lumo.
Kambi ya Upinzani Bugeni.
dah! nimechapia kweli, asante kiongoziKiongozi wa Upinzani Bungeni
This was the right moment CDM kuonyesha kuwa mambo si kama wanavyodhani. Waliuliza makusudi wakijua hali iliyopo.
Kwa mantiki hiyo Mbowe alipelekewa sms! humiliation.
Hakuna msamaha na hili lazima awajibike. Mbowe atoke na kuomba radhi au apishe watu wengine.
Pole sana kumbe ulikuwa unatetea chama tu bora hata ungetetea umma.
Hawa jamaa wanaongozwa kama misukule tu ndio maana hawajui hata kinachoendelea, Mbowe anapiga deals tu pale
Nitaendelea kusema mpaka mwisho na wala sitabadili msimamo wangu kwamba:
Freeman Mbowe For Chadema Chairman 2013
Dr Wilbroad Slaa For Presidency 2015.
mwenzio nilikuwa nafikiria Mbowe kama Waziri Mkuu hivi 2015...