Mmeshindwa kutumia intelejensia yenu mnaniuliza maswali ya kimagambagamba
Kwa kile kilichosemekana, kwamba Mh. Mbowe amekimbia viwanja vya NMC wakati polisi walipovamia. Mbowe mwenye amekanusha kauli hiyo anasema hawezi kujificha wala kukimbia polisi, kwa sababu yeye haogopi polisi wala magereza, bali alitoka kwenda kufanya kazi aliotakiwa kufanya kwa muda ule.
Ameendelea kusema kuwa mgogoro unaondelea Arusha unatokana na uchaguzi wa meya uliofanyika november mwaka jana! Anaendelea kuzungumza.
Source radio arusha 94.8 fm
samahani mbona sijawahi kusikia radio Arusha tangu nizaliwe ?
Akirudi kutoka polisi tufahamishe.
Siku hizi naona anakwenda mwenyewe hangoji kupelekwa, serikali haichezewi.
My Gosh...anataka kuamua nini tena?
Kweli serikali hii ya ccm inataka kutuweka roho juu kila wakati!
Mi nadhani wanaharibu equilibrium ya wabunge wa cdm ili wapitishe mambo FULANI kule BUNGENI bila ya upinzani wowote!..ndio hasa nia yao!
Kuna jamaa zangu wapo Arusha nimeongea nao jana kwa njia ya simu, anasema wana Arusha wamesema "HAWADANGANYIKI TENA".
Kama upo Arusha Tune 94.8 utajua ni Station gani. Hoja siyo radio gani hoja ni mbowe kuzungumza na waandishi wa habari ikiwepo hiyo radio.
Au Sun Rise Radio siku hizi imebadilisha jina inaitwa radio Arusha?
Hili ni balaa sasa Arusha jamani.Polisi huwa siku zote kumbe ni waongo sana wanasema Mbowe kakimbia wapi na kama alikimbia kwa nini walishindwa kumkamata? Hawa polisi vipi jamani?
Tafuta 94.8 fm utajua kama ni radio kitalolo au Arusha
Mmeshindwa kutumia intelejensia yenu mnaniuliza maswali ya kimagambagamba
My Gosh...anataka kuamua nini tena?
Kweli serikali hii ya ccm inataka kMi nadhani wanaharibu equilibrium ya wabunge wa cdm ili wapitishe mambo FULANI kule BUNGENI bila ya upinzani wowote!..ndio hasa nia yao!
Watu wenye makengeza wanashida
Natamani mtiti wa A_city uhamie dar ili tugeuze viwanja vya mnazi mmoja kuwa Tahirir Square! Ee Mungu sikia kilio cha waja wako upesi tumechoka kama waana wa Israel walivyochoka kukaa utumwani Babel ukawaokoa, tuokoe nasi katika makucha ya mafisadi na wadhulumati hawa magamba
kwani wewe unakaa arusha? au ndio unataka kila kitu usikie wewe ndio kiwepo.samahani mbona sijawahi kusikia radio Arusha tangu nizaliwe ?