kwa nini wabunge wote wa chadema wasiende arusha wawekwe magereza ili dunia nzima ijue nini kinatokea waone namna yakutusaidia
ni wabunge wachache toka cdm wenye roho kama ya lema usifikiri ni rahisi kulala sakafuni na kunyea kwenye ndoo halafu nyumbani kwenu kuna kila aina ya starehe..mungu ibariki arusha mungu ibariki tanzania.