tommey tom
Member
- Sep 13, 2011
- 21
- 1
Hili ni balaa sasa Arusha jamani.Polisi huwa siku zote kumbe ni waongo sana wanasema Mbowe kakimbia wapi na kama alikimbia kwa nini walishindwa kumkamata? Hawa polisi vipi jamani?
Ameendelea kusema kuwa,hao wanaosema ametoroka na hapatikani wanamtafutia nini? Mbona juzi walivyotaka akawaondoe watu polisi walimpigia simu? Mbona simu yake iko hewani na hawajasema wanamtafuta sasa hivi?
Kasema huyu mkuu wa mkoa mpya Arusha Magesa anajua nini kuhusu Arusha? Kwani wananchi wangapi wamemchagua na kwa kura ngapi? Au ni kwa kupewa kazi tu na Kikwete?
Amesema yeye hategemei kupewa kazi na mtu yeyote serikalini na kwamba anajiamini.
ALIKUA ANASUBIRI POLICCM WAMALIZE KUONGEA UMBEA WAO NDO AWAUMBUE. LolHuyu jamaa bure kabisa, kwanini asingejitokeza jana ile ile.
Tafuta 94.8 fm utajua kama ni radio kitalolo au Arushasamahani mbona sijawahi kusikia radio Arusha tangu nizaliwe ?
humu ndani mmezidi ushabiki,kazi zenu kushabikia wakat wenzenu wanaumia,wapuuzi wakubwa nyie,kama mmekosa kazi kalaleni wapumbafu nyie,yan ss ndugu zetu wengine wanaumia huku kwasababu ya ushabiki wenu,njooni na nyie huku.
ameshasema hajakimbia sasa nani unamletea mapovu humu.akili za kuambiwa changanya na za kwako, kam,a hakukimbia alifanya nini? si alituambia hata waje na mabomu na risasi za moto hakimbii mtu, mbona mwenzie lisu waliekimbia nae kajiwasilisha polisi jana ileile
akili za kuambiwa changanya na za kwako, kam,a hakukimbia alifanya nini? si alituambia hata waje na mabomu na risasi za moto hakimbii mtu, mbona mwenzie lisu waliekimbia nae kajiwasilisha polisi jana ileile
Ameendelea kusema kuwa,hao wanaosema ametoroka na hapatikani wanamtafutia nini? Mbona juzi walivyotaka akawaondoe watu polisi walimpigia simu? Mbona simu yake iko hewani na hawajasema wanamtafuta sasa hivi?
Kasema huyu mkuu wa mkoa mpya Arusha Magesa anajua nini kuhusu Arusha? Kwani wananchi wangapi wamemchagua na kwa kura ngapi? Au ni kwa kupewa kazi tu na Kikwete?
Amesema yeye hategemei kupewa kazi na mtu yeyote serikalini na kwamba anajiamini.
Yafaa pindi magamba watakapotoka madarakani management nzima ya polisi ichambuliwe ili mamluki wa magamba waondoke nao
Swali kwa mbowe ilikuwa watu wakeshe siku saba mbona imekua moja?au hizo siku sita zilizobaki zinamalizikia hai?au ulimtosa padri kwa maslai yako binafsi?
so what?samahani mbona sijawahi kusikia radio arusha tangu nizaliwe ?
Kama huna hoja,usitkane kaa pembeni waacha wenye hoja wachangie.
Anaendelea kusema atafanya maamuzi magumu,na sasa anaelekea polisi.