Amiliki
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 2,085
- 1,004
Ni Ukichaa kutegemea kulijaza debe lililotoboka. Lizibe kwanza ndio uanze kujaza maji. Utaleta maendeleo gani wakati kila kinachozalishwa kinaishia mifukoni mwa Mafisadi. Mpaka Misaada ya Wafadhili yanaishia mikononi mwao. Sasa utazalisha kiasi gani ambacho hata wakikitia mifukoni kwao bado kutabikiwa na cha kukuletea maendeleo wakati kila siku wanazidi kuongezeka maana sasa sio wao tu mpaka watoto zao ndio hao unawasikia Wapo kwenye kugawiwa UDA, kuchota pesa zilizorudishwa na wezi wa EPA. n.k!Lakini tuseme ukweli kuna ulazima kung'ang'ania mambo hayo umeaumea mpaka lini? A wise man changes his mind but a fool will never" nimeanza kupata mashaka na upeo na hekima za viongozi wetu. Are they real thinking of development? Cos tunatakiwa tupambane and at the same time maendeleo liwe top priority.