Nyalutubwi
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 573
- 172
Jeuli ya retired Gen.inatoka na Meremeta pamoja na Radar.
naona tunatafuta kasheshe na makamanda, kumbukeni mwanajeshi hastaafu
I was born in Tanzania accidentally
kama ingekuwa ni mama, Tanganyika ni mama wa kufikia.
Duuu!!!!!!!!! nchi yangu Tanzania unaelekea wapi? na hii ndo shida ya kuwaweka retired officers kwenye bodi za mashirika.
Tatizo la kuendelea kutumia wastaafu wa jeshi kusimamia majukumu ya mashirika ndiyo hii.Matokeo yake nchi itajikuta inaingia vitani kimchezo sasa hii statement ya kudai siku tano zijazo nchi iingie gizani kwa lipi???? ajaribu aone kama hajanyolewa kavu kavu.Tutaanza na kujua kama ni raia kweli, wakongo watarudi kwao na malawi.thubuuuuuuuuutu muone!!!!!!!!
Jamani hata kama nikiwa upinzani lakini wote walioripotiwa watiwe adabu haraka.Sikuielewa hii post siku ilipoletwa hapa.......sasa napata mwanga
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ando-wa-tanesco-na-mh-mbunge-ni-hatari-3.html
Where is our CTU? do we have one?
Where is Mr. Presdent?
I was born in Tanzania accidentally