Mboma aamua kuifanya TANESCO uwanja wa vita...

Ukishajua ya kuwa baba ni mwizi wa kutupwa,unakuwa na jeuri ya kutishia wenzako hata kama na wewe mwizi pia.
 
Jamani itakumbukwa Bomba alikataa katakata kusign Barua ya kumsimamisha Mhando,inasemekana yeye ndo alikua Supplly wa mafuta yaliyokua yakinunuliwa kwa Bei kubwa kwa lengo la kujinufaisha...Vilevile kuna habari anafanya kila mkakati kuhakikisha mgao unatokea ili kuwaumbua Waziri na katibu wa Nishariti.
Kwa machache hayo pamoja na Mengi yaliyojificha kunahaja gani ya huyu jamaa kuendelea kushika huu wazifa?...Au kunanamna nyingine ya kumuwajibisha?.
 
Simba chawene juzi alisema bungeni kuwa yawezekana kabisa Mungu ameanza kujibu maombi ya watzanaia kwake.Tutashuhudia mengi.Mboma hawezi kupambana na Mungu hata siku moja yeye ni takataka tu.Kwanza yeye ni mwanajeshi wa anga hana support ya infantriers ambao ndiyo asili ya jeshi letu na hana wingi wa support jeshini asibabaishe watu
 
Ole wake athubutu kwakuwa ameshasema kwamba tutaona hata ikitokea mwezi wa kumi tutajua ni yeye na hao wenzake.
JK Huyo jamaa ni gnr.wakutosha anamaanisha kitu hapo.chukua maamuzi ya haraka.kwani ukiweka ndani hawa watu na kuwapiga ile nanilii kwakaishu mwaka mmoja wakahukumiwe na baba wa taifa kwani itakuwaje.
Ole wao tutatafuna viungo vyao vyote nini siko la mbom.
 
Duuu!!!!!!!!! nchi yangu Tanzania unaelekea wapi? na hii ndo shida ya kuwaweka retired officers kwenye bodi za mashirika.

Yaah! Retired wanakuwa wameshakula pension yao hivyo wanaona hawana cha kupoteza!
 
Tatizo la kuendelea kutumia wastaafu wa jeshi kusimamia majukumu ya mashirika ndiyo hii.Matokeo yake nchi itajikuta inaingia vitani kimchezo sasa hii statement ya kudai siku tano zijazo nchi iingie gizani kwa lipi???? ajaribu aone kama hajanyolewa kavu kavu.Tutaanza na kujua kama ni raia kweli, wakongo watarudi kwao na malawi.thubuuuuuuuuutu muone!!!!!!!!

utopian..........strength behind the keyboard.........
 
Sikuielewa hii post siku ilipoletwa hapa.......sasa napata mwanga

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ando-wa-tanesco-na-mh-mbunge-ni-hatari-3.html
Jamani hata kama nikiwa upinzani lakini wote walioripotiwa watiwe adabu haraka.
Jamani imefikia watu wasiojali kutuibia na kututukana!!
Kwa kuanzia nafikiri tuanzie na huu mtandao unaotutesa na giza!! Wote bila kujali chama. Hapa ndipo tunapohitajika kuwa objective!! kama Zitto au yeyote yupo ndani tupashane na hatua zichukuliwe haraka!! Kumbe hata wale wanaoongea kwa mapovu ni wasaliti tumekwisha!!!
 
Ili kukidhi kiu ya Watanzania kwamba wewe unachukua mchwa na mafisadi katika serikali yako,huu ni wakati muafaka kumfukuza ndg.Mboma pale TANESCO.Sekta hii na madini imetawaliwa na mafisadi ambao ni hatari kwa serikali yako.Wamekutisha ktk zoezi la kujivua magamba,wemewalisha SUMU wapambanaji sasa hivi wanataka wakupindue wewe ili waweke mtu wao atakaye linda maslahi yao....Kaa njonjo,tumia TISS kujua mipango yao,pia unda chombo huru cha usalama kwa wapambanaji wa UFISADI.
RAIS unatukanwa na kudharaulike kwa hujuma ya hawa mafisadi"KIKUNDI CHA MASHETANI ",omba msaada USA na UK kuwamaliza mafisadi chini ya mwavuli wa ROSTAM,maana hawa wanaweza nunua vikosi vya jeshi na kufanya uasi ktk SERIKALI yako au Serikali ijayo 2015.
Wanapesa chafu za kila aina kama ifuatavyo;
-Kuuza Madawa ya Kulevya
_kuuza SILAHA nchi jirani
-UFISADI kwenye mikataba
-Wameweka mamuluki kila idara nyeti ya SERIKALI
-Walipanga kumung'oa WAZIRI MKUU ,Mh.PINDA kwa kumtumia ZITO

Nitarudi baadaye...jamaa wamenitisha
 
Mbatia: Mhando wa Tanesco Katengeneza Mkataba Kitandani! CCM na Serikali yake wamekithiri kwa Wizi : Mhando na Mkewe Ufisadi Kitandani na Mkuu wa Nchi naye anafanya yale yale. Mhando ni Mteule wa Rais Kikwete , Maswi ni Mteule Wa Kikwete : Hapa ni Bora kuindoa CCM 2015!!! Mbatia: Mhando wa Tanesco Katengeneza Mkataba Kitandani! CCM na Serikali yake wamekithiri kwa Wizi :

Mhando na Mkewe Ufisadi Kitandani na Mkuu wa Nchi naye anafanya yale yale. Mhando ni Mteule wa Rais Kikwete , Maswi ni Mteule Wa Kikwete : Hapa ni Bora kuindoa CCM 2015!!! Rahma Al Kharoos mkurugenzi wa kampuni ya mafuta na madini ya RBP Oil anayesemekana kuwa mke wa pili wa rais wenu. Bila shaka watanzania wengi wanajua kuwa rais wao aliyemali muda wake Jakaya Kikwete ni Toboatoboa au tuseme Chovyachovya kuanzia Makongo Sekondari, Chuo Kikuu cha Dar es salaam,Sinza Kijiweni hadi nje ya nchi. Ingawa CCM wanaona kama wamegundua silaha ya nyuklia ya kummaliza Dk Wilibrod Slaa kwa sababu aliachana na mama aliyezaa naye, jambo ambalo hafichi, wajue mtu wao, katika hili la ndoa, hana salama.

Tutaanza kuwaletea nyumba zake ndogo na baadaye tutaleta hata vyangudoa wa mitaani ambao amewahi kuparamia. Tukimaliza hili, tutakuja na mgogoro wa kuanguka ambao ni ushahidi tosha kuwa afya yake ni ugogoro mtupu ingawa yeye na waramba viatu wake wanaficha. Tuanze na hawara yake Kikwete anayejiweka weka kwenye udhamini wa mambo fulani fulani huku akimuigiza Salma Kikwete kumpigia kampeni mtu wake. Hata Salma hatanusurika. Waliofundisha naye wako na wana data zake zote hata na alivyokutana na JK kwenye mazingira ya kutia kila shaka.

Hapa bado hatujaenda kwao umakondeni na kuja na data nyingine nyingi tu. Hapa bado hatujagusia vimada waliojazwa kwenye ukuu wa wilaya na sehemu nyingine nyeti serikalini. Hapa bado hatujakuletea aliozaa nao na wanaharamu wake. Hapa bado hatujavinjari kila kona inayojulikana. Na CCM wajue. Tunapata data zake sawa na tulivyopata za EPA-wanaomjua wengi wako tayari kujitolea kuanika uchafu wake. Hapa hatujagusa biashara zake na mambo mengine machafu kuliko hata hayo. Inzi ana hekima moja kuu. Anasema. Ukijua huu naujua ule.
 
Back
Top Bottom