Mboma aamua kuifanya TANESCO uwanja wa vita...

Mbatia: Mhando wa Tanesco Katengeneza Mkataba Kitandani! CCM na Serikali yake wamekithiri kwa Wizi : Mhando na Mkewe Ufisadi Kitandani na Mkuu wa Nchi naye anafanya yale yale. Mhando ni Mteule wa Rais Kikwete , Maswi ni Mteule Wa Kikwete : Hapa ni Bora kuindoa CCM 2015!!! Rahma Al Kharoos mkurugenzi wa kampuni ya mafuta na madini ya RBP Oil anayesemekana kuwa mke wa pili wa rais wenu. Bila shaka watanzania wengi wanajua kuwa rais wao aliyemali muda wake Jakaya Kikwete ni Toboatoboa au tuseme Chovyachovya kuanzia Makongo Sekondari, Chuo Kikuu cha Dar es salaam,Sinza Kijiweni hadi nje ya nchi. Ingawa CCM wanaona kama wamegundua silaha ya nyuklia ya kummaliza Dk Wilibrod Slaa kwa sababu aliachana na mama aliyezaa naye, jambo ambalo hafichi, wajue mtu wao, katika hili la ndoa, hana salama. Tutaanza kuwaletea nyumba zake ndogo na baadaye tutaleta hata vyangudoa wa mitaani ambao amewahi kuparamia. Tukimaliza hili, tutakuja na mgogoro wa kuanguka ambao ni ushahidi tosha kuwa afya yake ni ugogoro mtupu ingawa yeye na waramba viatu wake wanaficha. Tuanze na hawara yake Kikwete anayejiweka weka kwenye udhamini wa mambo fulani fulani huku akimuigiza Salma Kikwete kumpigia kampeni mtu wake. Hata Salma hatanusurika. Waliofundisha naye wako na wana data zake zote hata na alivyokutana na JK kwenye mazingira ya kutia kila shaka. Hapa bado hatujaenda kwao umakondeni na kuja na data nyingine nyingi tu. Hapa bado hatujagusia vimada waliojazwa kwenye ukuu wa wilaya na sehemu nyingine nyeti serikalini. Hapa bado hatujakuletea aliozaa nao na wanaharamu wake. Hapa bado hatujavinjari kila kona inayojulikana. Na CCM wajue. Tunapata data zake sawa na tulivyopata za EPA-wanaomjua wengi wako tayari kujitolea kuanika uchafu wake. Hapa hatujagusa biashara zake na mambo mengine machafu kuliko hata hayo. Inzi ana hekima moja kuu. Anasema. Ukijua huu naujua ule.
 
Mboma ana nini na nchi hii? anataka kuiacha nyeupe? pesa alizopata jeshini akishirikiana na Scola mwanadada mfanyabiashara mashuhuri na maafisa wa utawala wake jeshini siku zile hajatosheka tu????????
Mboma, tuachie nchi yetu.

Ni huyuyu mzee aliyekuwa anafanya ufisadi wa kuleta michele na sukari kwa misamaha ya kodi kwa kisingizio ni vya
jeshi,halafu vinapelekwa kwenye magodauni ya wafanyabiashara.Na alikuwa na kampuni yake ya kifisadi iliyoitwa
Kalobe & co.
 
huyu mheshimiwa ex mkuu wa majeshi anasemekana kumiliki kituo cha mafuta kule kwao - ana uzoefu wa mafuta2. aliwahi pia kuzengea ubunge na kuukosa zaidi ya mara moja - hii kazi ya ubunge inaelekea ni chaka.
 
Thursday, March 10, 2011

Rahma Al Kharoos... KAMANDA KOVA AKABIDHIWA VIFAA VYA MICHEZO VYA KAMANDA KOVA CUP.


Rais wa RBP Oil and Industrial Technology Limited, Rahma Al-Kharoosi (kushoto), akikabidhi vifaa vya michezo Kamanda wa Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam, Sulemani Kova kwa ajili ya Kombe la Kova (Kova Cup) lenye lengo la kuwaweka karibu wananchi kwa kushirikiana na Polisi kumaliza uhalifu jijini.Makabidhiano hayo yalifanyika Barax Polisi Dar es Salaam

Kanmanda Kova akikabidhiwa

Mkuu wa Polisi Kanda maalum na mratibu wa Polisi, Suzan Kaganda akizungumza kabla ya hafla fupi ya makabidhiano kuanza

Baadhi ya wawakilishi wa timu shiriki na Maofisa wa Polisi wakiwa kwenye hafla ya makabidhiano hayo.

Baadhi ya Maofisa wa Polisi na wawakilishi wa timu shiriki wakisikiliza

Baadhi ya Makamanda wa Polisi wakiwa kwenye hafla hiyo

Wakisikisikiliza

Mama Rahma na Kamanda Kova wakisikiliza jambo.

Ofisa upelelezi wa Kanda maalum ya Dar es Salaam, Ahmed Msangi akizungumza wakati wa makabidhiano hayo.

Mama Rahma na Kamanda kova wakisikiliza jambo wakati wa hafla ya makabidhiano hayo

Kamanda Kova akitoa shukrani baada ya kukabidhiwa vifaa hivyo.


Baadhi ya wajumbe wakifuatilia
Kamanda, Kova (kulia) akimkabidhi jezi Diwani wa kata ya Migulani, Juma Mkenge kwa niaba ya timu ya ulinzi shirikishi ya Mibulani ambao ni mabingwa wa tetezi wa mashindano hayo.Katikati ni Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Temeke , David Misime.
Kamanda Kenyela, Mama Rahma na Kamanda Kova


















Posted by Michael Shija Machellah at 10:24 PM
 
Kwa rais asiye DHAIFU hili lisingekuwa tatizo ila kwa rais ambaye mara zote anazidiwa maarifa na kuogopeshwa na watu aliowateua hili ni tatizo kubwa.

Mbona ana kashfa nyingi sana zikiwamo za kuleta sukari nchini na kuficha maghala ya jeshi Lugalo, Makaa ya mawe Kiwira pia huyu ni mhusika na sasa TANESCO.

Huyu bwana ana siri za wizi wanaofanya viongozi na ndio maana ana kiburi sana na inatakiwa watu amkini ndani ya bunge wasikubali Liwalo na Liwe ila Muhongo na Maswi wapewe support ili nchi isiingie gizani huku hawa watuhumiwa wakinyimwa kabisa meno.
...Sasa hivi anatafuta safari nje ya nchi aende kutoa msongo dhaifu....Jamaa hana pressure aisee.:loco:
 
Yaani mijizi bana, ametafuna meremeta na kujenga mahoteli, kanunua machimbo na wakatumia vifaru kusindikiza mafogo yanayotorosha mchanga wenye madini kwenda nje, na sasa bado Dhaifu akamweka huku ili atafune vizuri.. !! Hawa ipo siku tutawarusha kichura bila kujali vitambi vyao na kuwapigishwa kwata kabla ya kuwachapa viboko kwa kutumia mikia ya taa mpaka watueleze hela zetu waligawana na nani, na nani aliwapasia hizi pasi za ndani ya 18 ili waendelee kutuingiza umasikini. Yaani, jitu bado lina mafao, mapororo, ulinzi, badala ya kutulia kula bata bado wanataka kukomba kila kitu..!! Ndo maana licha ya kwenda na mizinga na askari kibao kule mbeya, walikula hongo zake na kulipiga chini ktk kura za maoni. Imagine sasa angekuwa mbunge, si ingekuwa balaa.... !!





huyu mzee asijifanye mbabe wakati watu tunamjua kuwa ni mwizi na anaihujumu tanesco
 
Kama wabunge wanahongwa kutetea uwongo je, ni busara kuamini taarifa za bunge? Ni swali tu nauliza mie.
 
Ole wake athubutu kwakuwa ameshasema kwamba tutaona hata ikitokea mwezi wa kumi tutajua ni yeye na hao wenzake.
JK Huyo jamaa ni gnr.wakutosha anamaanisha kitu hapo.chukua maamuzi ya haraka.kwani ukiweka ndani hawa watu na kuwapiga ile nanilii kwakaishu mwaka mmoja wakahukumiwe na baba wa taifa kwani itakuwaje.
Ole wao tutatafuna viungo vyao vyote nini siko la mbom.

Kwanza siyo mtanzania, halafu anlishwa bure na serikali lakini bado anaona haitoshi.
 
I was born in Tanzania accidentally

big no! it was a will of God. otherwise you would have been born say, in Afganistan... Tanzania remans a blessed place what is happening now is a wind of change. be optimistic please
 
Duuu!!!!!!!!! nchi yangu Tanzania unaelekea wapi? na hii ndo shida ya kuwaweka retired officers kwenye bodi za mashirika.

Serikali ya Liwalo na Liwe
Like father Like Son!

Ukimwaga mboga,
Namwaga Ugali watoto wanywe maji ya kunawia mikono..
Tulale!
 
Waziri wa Nishati na Madini ametuhakikishia mbele ya bunge lao tukufu kua hakutakua na mgomo wa umeme. Sasa Alhamisi au siku yoyote umeme ukikatika kama wanavyosema hao tanesco basi Waziri hana budi bali kujiuzulu wadhifa wake kwa kulidanganya bunge na wananchi kwa ujumla. Ama zao(serikalini) au Tanesco(Bodi) Nani zaidi tusubiri hiyo alhamisi
 
Nashangaa Usalama wa Taifa uko wapi miaka yote nchi inateseka na suala la umeme? Ama kweli the institution itself is the killer of our nation in every sense. Usalama wa Taifa naona unaweka jicho ikulu tu now where else. Without divine intervention the nation is in serious trouble. Wanawake wa Tanzania tuungane wote tufunge tuombe kwa maana viumbe tuliowatoa matumboni mwetu wanaliangamiza taifa. Kwa bahati mbaya sana viumbe wengi hawa wanaoliongoza taifa kwa sasa ni wanaume. Hawajui uchungu wa mwana. Wanawake wachae waliopo wanajitahidi sana kutenda kama hao wanaume ili wakubalike kwenye the rotten system. Kina mama tuje juu kupinga ufisad kwa kumlilia Mungu. Mungu ibariki Tanzania
 
Thursday, March 10, 2011



Ofisa upelelezi wa Kanda maalum ya Dar es Salaam, Ahmed Msangi akizungumza wakati wa makabidhiano hayo.


Posted by Michael Shija Machellah at 10:24 PM

Heeeeeee!.. Kumbe Ahmed Msangi ndiye huyu?
Ni mtu ambaye ninamfahamu kwa majina mengine na namba yake ninayo. Mazingira tuliyojenga urafiki na huyu jamaa yameanza kunitisha!....... Kumbe ndo huyu mtu?. Ahsanteni JF
 
Hawezi lolote huyo, mafisadi wote wameshabainika TANESCO.

Njia ya kumthibiti huyu Mboma kama hataki kujiuzuru mwenyewe baada ya hii kashfa ni kwa waziri wa Nishati na madini kuwaondoa wakurugenzi wote walioteuliwa na waziri na kumuacha yeye peke yake ikiwa Rais hataki kumuondoa; hivyo hawezi kufanya maamuzi yeyote!!
 
Thursday, March 10, 2011

Rahma Al Kharoos... KAMANDA KOVA AKABIDHIWA VIFAA VYA MICHEZO VYA KAMANDA KOVA CUP.


Rais wa RBP Oil and Industrial Technology Limited, Rahma Al-Kharoosi (kushoto), akikabidhi vifaa vya michezo Kamanda wa Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam, Sulemani Kova kwa ajili ya Kombe la Kova (Kova Cup) lenye lengo la kuwaweka karibu wananchi kwa kushirikiana na Polisi kumaliza uhalifu jijini.Makabidhiano hayo yalifanyika Barax Polisi Dar es Salaam

Kanmanda Kova akikabidhiwa

Mkuu wa Polisi Kanda maalum na mratibu wa Polisi, Suzan Kaganda akizungumza kabla ya hafla fupi ya makabidhiano kuanza

Baadhi ya wawakilishi wa timu shiriki na Maofisa wa Polisi wakiwa kwenye hafla ya makabidhiano hayo.

Baadhi ya Maofisa wa Polisi na wawakilishi wa timu shiriki wakisikiliza

Baadhi ya Makamanda wa Polisi wakiwa kwenye hafla hiyo

Wakisikisikiliza

Mama Rahma na Kamanda Kova wakisikiliza jambo.

Ofisa upelelezi wa Kanda maalum ya Dar es Salaam, Ahmed Msangi akizungumza wakati wa makabidhiano hayo.

Mama Rahma na Kamanda kova wakisikiliza jambo wakati wa hafla ya makabidhiano hayo

Kamanda Kova akitoa shukrani baada ya kukabidhiwa vifaa hivyo.


Baadhi ya wajumbe wakifuatilia
Kamanda, Kova (kulia) akimkabidhi jezi Diwani wa kata ya Migulani, Juma Mkenge kwa niaba ya timu ya ulinzi shirikishi ya Mibulani ambao ni mabingwa wa tetezi wa mashindano hayo.Katikati ni Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Temeke , David Misime.
Kamanda Kenyela, Mama Rahma na Kamanda Kova


















Posted by Michael Shija Machellah at 10:24 PM

Umaskini ni kitu kibaya sana, hawa askari wanapokea hivi vijizawadi bila kujua kuwa hawa wafanya biashara wanafanya hivyo ili kujenga ukaribu na wao ili kuweza kuficha madhambi yao wanayoyafanyia jamii!! Mtu anaweza kujifanya kuwa anabiashara ya mafuta kumbe hilo ni chaka tu biashara yake hasa ni madawa ya kulevya !! Itakuwa vigumu sana kwa wakina Kova kuwatia mbaroni hawa wakina Al kharoos mara wanapopatikana na hatia!!
 
Back
Top Bottom