Mboma aamua kuifanya TANESCO uwanja wa vita...

Kama IKULU italifumbia macho na hili, nitajua na wenyewe wanahusika moja kwa moja kwenye hujuma hizi. Nguvu ya SERIKALI yetu ipo wapi???
 
Hii kiburi ya Mboma huenda ni kweli tutaenda giza.
Kuna dalili za kikwete au familia yake kuwa na biashara na TANESCO
 
Na sisi tunampa Gen Mbona siku tano awe amshajiuzulu mwenyewe kabla JK hajamwajibisha. Huwezi kuwa mwenyekiti wa Bodi ya shirika watu wanaiba tu kili siku, madudu kibao shirika kila siku hasara tu alafu bado unaendelea kung'ang'ania uenyekiti wa badi..Tena anatakiwa ashitakiwe kwa kushindwa kusimamia shirika letu..tunampa siku tano aachie ngazi mwenyewe kabla JK hajaamua kufanya maamuzi magumu on this Friday..:spy:
 
Kwa rais asiye DHAIFU hili lisingekuwa tatizo ila kwa rais ambaye mara zote anazidiwa maarifa na kuogopeshwa na watu aliowateua hili ni tatizo kubwa.

Mbona ana kashfa nyingi sana zikiwamo za kuleta sukari nchini na kuficha maghala ya jeshi Lugalo, Makaa ya mawe Kiwira pia huyu ni mhusika na sasa TANESCO.


Huyu bwana ana siri za wizi wanaofanya viongozi na ndio maana ana kiburi sana na inatakiwa watu amkini ndani ya bunge wasikubali Liwalo na Liwe ila Muhongo na Maswi wapewe support ili nchi isiingie gizani huku hawa watuhumiwa wakinyimwa kabisa meno.

Mboma ana nini na nchi hii? anataka kuiacha nyeupe? pesa alizopata jeshini akishirikiana na Scola mwanadada mfanyabiashara mashuhuri na maafisa wa utawala wake jeshini siku zile hajatosheka tu????????
Mboma, tuachie nchi yetu.
 
Na sisi tunampa Gen Mbona siku tano awe amshajiuzulu mwenyewe kabla JK hajamwajibisha. Huwezi kuwa mwenyekiti wa Bodi ya shirika watu wanaiba tu kili siku, madudu kibao shirika kila siku hasara tu alafu bado unaendelea kung'ang'ania uenyekiti wa badi..Tena anatakiwa ashitakiwe kwa kushindwa kusimamia shirika letu..tunampa siku tano aachie ngazi mwenyewe kabla JK hajaamua kufanya maamuzi magumu on this Friday..:spy:

This is the spirit
 
Sasa hivi wenyeviti wameagizwa kukutana kujadili uwezekano wa kuvunja Kamati zote za wenye tuhuma za rushwa juu ya sakata la Tanesco. Aidha ni kweli kuwa kuna taarifa kuwa Mafisadi kwa kushirikiana na Gen. Mboma na Mhando wanataka kwa hali yoyote ndani ya siku tano nchi iwe gizani.

Wahusika wengine katika njama hizi ni Mh. Mkono, Ole Sendeka na Zitto Kabwe. Vyombo vya usalama sasa inabidi viingilie kati maana hatujui kama wanataka kuharibu mitambo au nini kinachopangwa.

Sasa Watanzania ndiyo wataanza kushuhudia vita vya waziwazi baina ya MAFISADI na WATANZANIA WANYONGE!!
Haingii akilini hata kidogo ati Mwenyekiti wa Bodi ya TANESCO aanze kuiyumbisha nchi nzima kwa kutishia kuiingiza nchi gizani!!Hili halikubaliki asilani. Kama anauchungu basi arudi BARRACKS akavae magwanda na achukue uamzi wa kufanya mapinduzi ili achukue nchi na aendeleze UFISADI wake! Pambaf na SSShexxnz kabisa!

Ni kwa vile hiri ri nchi rinaongozwa na MAFISADI kila kona na kila idara ya nchi hii. Ukienda Ikulu wamejaa tele,ukienda UWT wamefurika,ukienda CCM ni wa kumwaga,ukienda kwenye taasisi na mashirika ya umma hawana idadi.

Kama kweli kuna chembe ya uadilifu, BASI TUNATAKA M/KITI WA BODI GEN.MBOMA NA MKURUGENZI wake ALIYESIMAMISHWA TANESCO WAKAMATWE MARA MOJA NA WENGINEO WOWOTE WANAYEPANGA NJAMA HIZI ZA KUIPELEKA TANZANIA KWENYE GIZA LA KUTENGENEZA. KAMA RAIS KIWETE NI MWANAMME KWELI NA HANA CHEMBE YA UFISADI TUNATAKA KUSIKIA HAWA JAMAA WAWILI WANAWEKWA NDANI MARA MOJA!!!!

 
Mboma ana nini na nchi hii? anataka kuiacha nyeupe? pesa alizopata jeshini akishirikiana na Scola mwanadada mfanyabiashara mashuhuri na maafisa wa utawala wake jeshini siku zile hajatosheka tu????????
Mboma, tuachie nchi yetu.

Moony Scola gani huyu mfanyi biashara maarufu?
 
Sina uhakika sana na kilichowasilishwa bungení kama ni cha ukweli inawezekana ni hujuma za serikali kujisafisha. Tuwe tuna balance maoni yetu badala ya kuangalia upande mmoja tu. Mi binafsi sina imani na taarifa za tanesco kama ni za ukwel naona kuna majungu mengi ndani mwake.
 
Back
Top Bottom