Ulitaka tumchague baba ako? We ndio lipumbavu kweli.hao maprofesa wamekusaidia nn?X Form 4 division 0 anawakilisha mji wa mbeya. Hii zaidi ya utani.
Ulitaka tumchague baba ako? We ndio lipumbavu kweli.hao maprofesa wamekusaidia nn?X Form 4 division 0 anawakilisha mji wa mbeya. Hii zaidi ya utani.
Katika karne hii ya sayansi na teknologia mnawezaje kumchagua muimba bongo fleva asiye na elimu kuwakilisha mji kama wa Mbeya ........ Ni kweli hamuipendi ccm lakini si kumchagua Mr 2. Sasa amebakia kugombea wanawake na akina jaffer rhyme. KWELI TZ KUNA MAAJABU
Katika karne hii ya sayansi na teknologia mnawezaje kumchagua muimba bongo fleva asiye na elimu kuwakilisha mji kama wa Mbeya ........ Ni kweli hamuipendi ccm lakini si kumchagua Mr 2. Sasa amebakia kugombea wanawake na akina jaffer rhyme. KWELI TZ KUNA MAAJABU
Katika karne hii ya sayansi na teknologia mnawezaje kumchagua muimba bongo fleva asiye na elimu kuwakilisha mji kama wa Mbeya ........ Ni kweli hamuipendi ccm lakini si kumchagua Mr 2. Sasa amebakia kugombea wanawake na akina jaffer rhyme. KWELI TZ KUNA MAAJABU
Ha ha ha ha. Huyu ni profesa sugu siyo profesa mzee.
pole sana mwana ccm. umeona thread haichangiwi umeamua kujijibu mwenyewe, lazima mpate stroke mwaka huu
Kabla ya kuchangia lolote tunaomba utupe sifa ya kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Maana sisi wakazi wa Kinondoni kwenye wajanja wote Mbunge wetu Idd Azzan ni darasa la saba.
hawa jamaa hawajui katiba mbona Lukuvi ni Darasa la nane lakini kwenye uwaziri yupo poa, Huyu Jamaa afiche upumbavu wakeKabla ya kuchangia lolote tunaomba utupe sifa ya kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Maana sisi wakazi wa Kinondoni kwenye wajanja wote Mbunge wetu Idd Azzan ni darasa la saba.
Mbona hujaanza kwanini watanzania walimchagua Jk wakati hajui kwanini wao ni masikini? ni haki rais kuomba kupiga picha na 50cents? rais kutumia hela zetu kwenda kumbembea Canada ndo kutusaidia watanzania?
Mwigula anajiita amebobea kwenye uchumi ni mtumishi pale BOT lakini anasema anaomba wachungaji waiombee tanzania ili uchumi utengemae je matatizo ya uchumi yanatatuliwa kwa maombi?
kuwa Great thinker wewe mburura
Nashukuru mkuu ni kweli nilienda nje ya mstali kidogomkuu naomba nikukate kauli kidogo, baba mwanaasha alienda kubembea Jamaica sio canada!
Hivi mbunge kama huyu anaweza kweli kuwakilisha wasomi , maprofesa na wafanyabiashara wa mji wa mbeya. Ataongea nini? Ana upeo gani? Ana elimu gani? Hajawahi kuwa hata monita wa darasa au mjumbe wa nyumba 10