nuruyamnyonge
JF-Expert Member
- Mar 18, 2014
- 4,386
- 2,151
Amani iwe kwenu wanazengo.
Naendelea kukamilisha ujenzi niko hatua ya mwisho ya kuweka milango, kila nikizunguka nakutana na mbao Kwa macho ni nzuri lakini hazina majina kama Mkongo, mninga nk. Kwa yeyote mwenye ufahamu mzuri wa ubao mkongolosi na mtunduru naomba atupe faidi upi ni mzuri na Kwa sababu gani.
Natanguliza shukrani za dhati.
Naendelea kukamilisha ujenzi niko hatua ya mwisho ya kuweka milango, kila nikizunguka nakutana na mbao Kwa macho ni nzuri lakini hazina majina kama Mkongo, mninga nk. Kwa yeyote mwenye ufahamu mzuri wa ubao mkongolosi na mtunduru naomba atupe faidi upi ni mzuri na Kwa sababu gani.
Natanguliza shukrani za dhati.