Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
And the winner is........................................ ?
Mie nina Mang'ombe...... you have no chance Boys...... Ehhhh, Masa na Julius wako wapi? Wasije kuwa wako kwenye PM na kitu.....
And the winner is........................................ ?
Mie nina Mang'ombe...... you have no chance Boys...... Ehhhh, Masa na Julius wako wapi? Wasije kuwa wako kwenye PM na kitu.....
Woote uliowataja wanakaa nje ya Dar, anayekaa karibu kidogo ni Nguli ambaye anakaa NGARA!Guyz mnanichekesha kweli, I love ya all, in december will be in dar nitawatafuta, napendelea ucheshi na kuwa na watu ambao ni funny.
Woote uliowataja wanakaa nje ya Dar, anayekaa karibu kidogo ni Nguli ambaye anakaa NGARA!
Babylove
Hao wote uliowataja hapo juu ni wagonjwa na huenda anytime tukawakosa, so please attach yourself to me, a reliable, disciplined, self reliant, humble man. na mbaya zaidi ni kwamba tumewakaribisha juzijuzi kwenye jambi, hawana uzoefu wowote...Chagua kilicho bora dada, ohooo!
Mzee kumbe upo kuna ka thread kanachafua dada zetu eti hawajui kutoa vitu umeiona?Kizuri kula na nduguyo mkuu!
Woote uliowataja wanakaa nje ya Dar, anayekaa karibu kidogo ni Nguli ambaye anakaa NGARA!
Hahahahah If you think wewe PakaJimmy your Jesus, definitely I am not among your disciples hahahahah
Woote uliowataja wanakaa nje ya Dar, anayekaa karibu kidogo ni Nguli ambaye anakaa NGARA!
Guyz mnanichekesha kweli, I love ya all, in december will be in dar nitawatafuta, napendelea ucheshi na kuwa na watu ambao ni funny.
May i not die before masanilo
Ha ha ha ha, mtoto akitua tu nitakuwa air pot, kama anatokea Zenj nitakuwa baharini.
U will have first class treatment!
Nitakuwepo airport kukulaki wewe niPM mimi!
Mkuu wewe unabana hadi penalti, toa tamko tukutane lini na huyu malaika na hajasema anatokea wapi watu wamemwangukia kweli hadi anaogpa kuchangia tena. ........talk to me babyKama Ndege yako itatuwa Nairobi basi tutakuwa wote kwenye Swissair!
Mkuu wewe unabana hadi penalti, toa tamko tukutane lini na huyu malaika na hajasema anatokea wapi watu wamemwangukia kweli hadi anaogpa kuchangia tena. ........talk to me baby
Masa,
Atakuja na KLM. Mie ndiyo namsubiri Schiphol Airport na ninakuja naye. Baby, ukifika Uholanzi nipigie + 31 - Seven four Waa, Sero Sero Whaa whaaa ........
Nimekiona mkuu ila hiki usinisahau!Mzee kumbe upo kuna ka thread kanachafua dada zetu eti hawajui kutoa vitu umeiona?
Nitakuwepo Heathrow Airport, London najua huyu ni kiwango atakuja na BA, nipigie tu +4476.....
Mkuu unatuua namna hii? Kwa Taarifa yako tuko Dar, tena si mbali na ikulu. Tunakula mayi, kama si Kimara basi Tegeta. Hahahaha!
Kweli mkuu, zali limetuangukia sisi, kina sikonge na jipakajimmy wanataka kutuharibia. Watu bana.