Kyachakiche
JF-Expert Member
- Feb 16, 2009
- 983
- 207
Acha wewe mimi nipo mitaa ya posta!
Hii Posta ya hapa KIBONDO!!!
Acha wewe mimi nipo mitaa ya posta!
Chrispin wewe ndio mnyonge wangu humu JF ,na Swali hili inabidi ulijibu ukiwa mmojawapo wa waliotajwa na babylove. umejiajiri mwenyewe au upo ofisi za manispaa? mwenzangu muda wote upo available ,inakuwaje na mwajiri wako? Au wewe ni mtu wa IT kazi yako inabidi uwe na kompyuta wakati wote? niambie siri ya mafanikio.halafu mwezi huu unaweza kuwa JF member of the month.
Chrispin wewe ndio mnyonge wangu humu JF ,na Swali hili inabidi ulijibu ukiwa mmojawapo wa waliotajwa na babylove. umejiajiri mwenyewe au upo ofisi za manispaa? mwenzangu muda wote upo available ,inakuwaje na mwajiri wako? Au wewe ni mtu wa IT kazi yako inabidi uwe na kompyuta wakati wote? niambie siri ya mafanikio.halafu mwezi huu unaweza kuwa JF member of the month.
Hii Posta ya hapa KIBONDO!!!
Kweli mkuu, zali limetuangukia sisi, kina sikonge na jipakajimmy wanataka kutuharibia. Watu bana.
Mlikutanaje na chrispin?utawaonaje sasa ? una arrange appointment or
utawaonaje sasa ? una arrange appointment or
Teh teh teh teh Huko Kibondo siendi hata kwa winch kaka, Mujini Dar es salaam Posta Mupya!
Sawa mkuu, kama Kibondo huendi, ndiko huko huyu kiumbe anakotokea!
hakuna cha PM.JF we dare to talk openly! au unaogopa nini we sema tu! na mimi nataka mafanikio.NiPM Basi, manake utamwaga mchele mbele ya majogoo yenye njaa. Hahaha! Na wewe umekuja kufanya nini huku?
I am out kwenye hizi mbio kama ni wahuko na hataki kuhama!
Usikate tamaa. Kabla hamjafika Kibondo, mpitishe kwa Mwalimu Juma pale Urambo akawe Scanned....
Watu wa Kibondo nasikia wao hutumia zaidi ungo kusafiri....Dr Mwalimu Juma anaweza akazidiwa Ndumba!
hakuna cha PM.JF we dare to talk openly! au unaogopa nini we sema tu! na mimi nataka mafanikio.
Haya bwana,naona umekimbia swali kama hiyo avatar yako.anyway pengine Masanilo , FL1 au Fidel80 watajibu kwa niaba yako.Si umeshasema mimi mnyonge wako, sasa unaogopa nini?
Haya bwana,naona umekimbia swali kama hiyo avatar yako.anyway pengine Masanilo , FL1 au Fidel80 watajibu kwa niaba yako.
Nadhani unamzimia sana Chrispin, acha kuuma vidole na kula vijiti ....jieleze mdada!!
Hapana Masa,Niombe radhi tafadhali.mume wa mtu ni sumu kali tena inaua.Sina mpango mchafu kama huo.Never in my life.Iam a decent woman with dignity and morals.
Niko chini ya kitovu chako tafadhali nisameheme bure, Imeandikwa samehe na wewe utasamehewa. Thank you!