Maxence Melo Hongera kwa kupata mtoto ... Mungu akujaalie hekima zaidi wewe pamoja na mama mtoto ili muweze kumtunza vyema mtoto wenu.
Birthday yako, tutakutakia mema kesho, ila kwa sasa ngoja tupongeze ujio wa kijana!
NB: Una deni ambalo siwezi kuliandika hapa.
Birthday yako, tutakutakia mema kesho, ila kwa sasa ngoja tupongeze ujio wa kijana!
NB: Una deni ambalo siwezi kuliandika hapa.
Last edited by a moderator: