Mawalla Advocates yaijibu Jamii Forums

tuWanabodi hata mimi namfahamu vizuri huyu kijana Nyaga Mawalla.

Kitu ambacho nataka mfahamu jamaa ni Genius!. Ni genuine genius katika fani ya sheria.

Nilimtangulia madarasa kibao Ilboru alikuwa ni kichwa cha ukweli kama sikosei jamaa atakuwa ametoka na poiti 7 O-Level na point 3 A-Level.

Alijiunga UD kuchukua sheria nilimuona akichangia kile kipindi cha 'Kiti Moto' alishuka na nondo za kufa mtu nikazidi kuthibitisha ni kichwa mbaya!.

Mimi nilisoma kitu kingine kabla sijatua UD kufanya sheria. Japo kusoma sheria chuo chochote humu nchini unapata digrii yako yako ya sheria yenye hadhi sawa, lakini wanaosomea UD wanateseka zaidi, kwanza wanaipiga kwa miaka 4 wakati wenzao ni miaka mitatu tuu. Cha pili UD hakuna kupata Ist class wakati vyuo vingine ni Ist class za kumwaga.

Moja ya matatizo makubwa kabisa ya kusoma sheria ni kukremu makesi zaidi ya 500 na kuwa na kumbukumbu rasmi ya majina na maudhui ya kesi hizo wenyewe wakiita sightation.

Sasa huyu Nyaga na mwanafunzi mwenzake mwingine akiitwa Baimu, walizukusanya kesi zote muhimu za kusomwa na wanafunzi wa sheria wa UD na kuzicompile pamoja katika bonge la mkitabu wakaliita 'BAIMU & MAWALLA'. Ukishalipata hilo buku, wewe sio lazima kwenda maktaba unless ni kwa information quest.

Ndipo kuna lecture mmoja akaniibia kuwa baada ya first class ya Prof. Asha Rose Migiro, Prof. Palamagamba Kabudi na Prof. Hamoud Majamba, Ist class nyingine ilikuwa iwe ni ya Nyaga Mawalla ili walimbania tuu na mpaka leo UD wabaendelea kubania hizo Ist Class!,

Sasa ninaposikia mambo anayofanya na hiyo fani yake ya sheria nazidi kumkubali.

Watanzania tuna tatizo na kukubali mafanikio ya wenzetu. Kwani Billy Gate alianzaje?. Hamuamini kuwa Nyaga ndio Billy Gate wa Tanzania?. Kama Billy Gate original amekuwa bilionea wa dunia kwa kugundua microsoft, kuna tatizo gani Nyaga kugundua hiyo program ya Brella?. Tena ikifanikiwa TRA watamtumia kuwatengenezea ile ya kuhakikisha kila mtu analipa kodi. Ile Asycuda++ haisaidii kitu?.

Pasco

I cant knock the man's hustle ndio maana utaona kwenye ile thread ya BRELA my criticism wasnt on Mawalla bali on BRELA kununua software at 1 million usd ambayo has not worked!

maybe invisible ailete ile thread hapa siasa ukasoma mtiririko wake

Hilo la hizo idadi za 1st UD sina data lakini kuzipata sio kazi kubwa

all in all I wouldnt wanna put Mawalla & Co in the same category as DOWANS kwa sababu hawa ni hustlers ila tatizo langu ni watu wa serikali ambao hawafanyi proper checks kama PPA ilifuatwa etc
 
Pasco
I cant knock the man's hustle ndio maana utaona kwenye ile thread ya BRELA my criticism wasnt on Mawalla bali on BRELA kununua software at 1 million usd ambayo has not worked!

maybe invisible ailete ile thread hapa siasa ukasoma mtiririko wake
Hilo la hizo idadi za 1st UD sina data lakini kuzipata sio kazi kubwa

all in all I wouldnt wanna put Mawalla & Co in the same category as DOWANS kwa sababu hawa ni hustlers ila tatizo langu ni watu wa serikali ambao hawafanyi proper checks kama PPA ilifuatwa etc
Slidingroof, lengo sio kuwatetea Mawalla kuuza comp. prog kwa 1.Bln, wala sio kuwatetea Brella to spend such amout on white elephant project. Lengo ni kujaribu kuwa just a bit more objective hivyo kuwa fair kwa wahusika na kuwatendea haki.
1. Suppose Brella had no idea ya existance of such a program na Mawalla ndie ame sell hiyo idea kwa Brella na wakaikubali na
kui implement, then hiyo I bln kwa patent idea is just fine let alone program yenyewe.

Tulimwalika Prof. Hernando De Sotto wa Peru kuja kutoa mhadhara wa Formalization of Propetty Rights. Fee yake ni US $ 100,000 per hour!. Tulimkodi kwa 12 hours kwa 6 hrs per day for two days na tulilipa!. So what is I bln?.

2. Kama ni Mawalla ndio aliyependekeza hiyo prog kwa Brella na kuipatent, Brella had no way out bali kufanya Single Source ya procurement na kuwataarifu PPRA. Just kama walivyofanya single source ununuzi wa Rada, Ndege ya Rais, Magari ya Jeshi, Helcopter za Jeshi na Silaha kibao za kivita, tena tenda zote hizi zikifanywa na kupitia kampuni ile ile huku iki inflate kwa kuidouble bei halisi. Hivyo hakuna cha ajabu kuhusu single source procurement.

3. Kwa vile Brella sio watu wa kwanza kununua program hubu na tufanye itafiti taasisi nyingine zimespend kiasi gani kununua program zao tukikuta ni bei poa ndipo tuta conclude Brella wameibiwa.

4. Jee hiyo program inaweza kazi ?. Mfano TRA wamespend billions kununua program ya Ayscuda++ kufanya all its transactions. Wakaintroduce TIN ili ku track down kila mtu alipe kodi. Hiyo Ayscuda++ has proven failure na no one anapiga kelele. Futher more it has to be scrapped down ili kununua program ya Simba ambayo ndio itatumiwa na nchi zote za Jumuiya ya Afrika Mashariki, hivyo introduction ya program ku prove failure Brella sio wakanza. Kwa msio kumbuka TTCL ilipoingia ubia, walileta simu kibao za kadi na sarafu. Program ili feli waliibiwa mpaka wakafunga vibanda vyote. ATM na Luku walivyoanza program zilifeli na waliibiwa mpaka walipostuka. Hivyo brella sio wa kwanza.

5. Ili kuitendea haki Brella, ni lazima ukaguzi wa value for money ufanyike.
 
CEO wa BRELA ni mzembe na kilaza, ameshindwa kabisa kuiongoza BRELA na hasa kitengo cha kusajili alama za biashara. BRELA haifananii kabisa kama executive agency nyingine! Its pathetic! Kazi ambayo nchi za wenzetu na sheria inasema ikamilike ndani ya siku 90, wao BRELA wanachukua hadi miaka mitatu! Kama huamini, hebu andika barua, mathalani ya kuomba search results ya trademark uone kama watakujibu! Utajibiwa tu kama ukienda pale jengo la ushirika walipo na kutoa rushwa! BRELA sucks!

Na kama kweli Nyaga aliuza software pale BRELA, basi ilikuwa ni corrupt transaction! Hiyo tender ilitangazwa wapi? na law firm na kusupply software wapi na wapi?
 
Invisible naomba uilete huku ile ya mahingila iko Biashara kisha tuunganishe na hii ili watu waelewe mtiririko wa thread
 
Mimi si mtetei Nyaga lakini naeleza ukweli tu ninavyojua mimi

1. Software: Si kitu cha kirahisi tu ni lazima ujue ni software gani na inafanya nini mafano software ya MPESA inathamani gani? hivyo ni vigumu kujua na kama si sofware nzuri basi wasinunue. Kitu kimoja tu ambacho sijakipenda ni kwamba kwa kampuni kununua sofware ni lazima wajue support kama ipo maana sofware zinahitaji development na zinaweza kuwa na hitilafu.
2. Pili mimi siko bongo hivyo hata sijui Brela ni nini lakini najua unaweza kuuza sofware kwa zaidi ya $1 million. Nimesoma kwa juu juu kwamba ni regulatory agency na sioni kitu kibaya kwa regulatory agency software kutengenezwa na business lawyer!
3. Navyomjua Nyaga ni Business lawyer hivyo anafanya mikataba ya wekezaji na kusaidia wawekezaji ku sign mikataba hivyo hao wazungu unaosema ni watega wake na anafnya kazi kama lawyer mwingine yeyote. Ni vigumu kupigina chenga na utapeli unapotaka kufanya biashara bongo hata mimi binafsi namtafuta Nyaga anisaidie kwenye biashara zangu mpya nataka kufanya bongo. Mimi kwenda bongo kufanya shuhuli kama ya kufungua kampuni itanichukua wiki tatu hadi nne wakati nikitumia lawyer ni siku kumi tu. Hivyo tuache maneno ya kwamba kama mtu ukifanya biashara wa wawekezaji basi wewe ni fisadi!.
Biashara si ufisadi na kama umefanya kiwazi basi tuangalie je sofware inafanya nini kwbla ya ushabiki

KWENYE RED
WEWE NI MPUUZI TU FURANI
KWENYE BLUE
umeshindwa kutumia google?
weka BRELA TANZANIA
watakujulisha ni nini? au uliza lakini kwa kutoijua BRELA ni ishara kwamba hata ulichosema kwenye blue ukijui
au umetumwa hapa
 
Naona sasa kila Mjadala umekuwa wa jazba. Je kwanini hatuwezi kujadili vitu bila jazba na madongo ya kitoto?. Tukiitana majina hayasaidii chochote kwani kila mtu ana maisha yake lakini kama tunataka kuelimishana huwezi kuelimika kama unatakiwa uwe openi kwa mawazo tofauti na usiwe na jazba!
 
tuWanabodi hata mimi namfahamu vizuri huyu kijana Nyaga Mawalla.

Kitu ambacho nataka mfahamu jamaa ni Genius!. Ni genuine genius katika fani ya sheria.

Nilimtangulia madarasa kibao Ilboru alikuwa ni kichwa cha ukweli kama sikosei jamaa atakuwa ametoka na poiti 7 O-Level na point 3 A-Level.

Alijiunga UD kuchukua sheria nilimuona akichangia kile kipindi cha 'Kiti Moto' alishuka na nondo za kufa mtu nikazidi kuthibitisha ni kichwa mbaya!.

Mimi nilisoma kitu kingine kabla sijatua UD kufanya sheria. Japo kusoma sheria chuo chochote humu nchini unapata digrii yako yako ya sheria yenye hadhi sawa, lakini wanaosomea UD wanateseka zaidi, kwanza wanaipiga kwa miaka 4 wakati wenzao ni miaka mitatu tuu. Cha pili UD hakuna kupata Ist class wakati vyuo vingine ni Ist class za kumwaga.

Moja ya matatizo makubwa kabisa ya kusoma sheria ni kukremu makesi zaidi ya 500 na kuwa na kumbukumbu rasmi ya majina na maudhui ya kesi hizo wenyewe wakiita sightation.

Sasa huyu Nyaga na mwanafunzi mwenzake mwingine akiitwa Baimu, walizukusanya kesi zote muhimu za kusomwa na wanafunzi wa sheria wa UD na kuzicompile pamoja katika bonge la mkitabu wakaliita 'BAIMU & MAWALLA'. Ukishalipata hilo buku, wewe sio lazima kwenda maktaba unless ni kwa information quest.

Ndipo kuna lecture mmoja akaniibia kuwa baada ya first class ya Prof. Asha Rose Migiro, Prof. Palamagamba Kabudi na Prof. Hamoud Majamba, Ist class nyingine ilikuwa iwe ni ya Nyaga Mawalla ili walimbania tuu na mpaka leo UD wabaendelea kubania hizo Ist Class!,

Sasa ninaposikia mambo anayofanya na hiyo fani yake ya sheria nazidi kumkubali.

Watanzania tuna tatizo na kukubali mafanikio ya wenzetu. Kwani Billy Gate alianzaje?. Hamuamini kuwa Nyaga ndio Billy Gate wa Tanzania?. Kama Billy Gate original amekuwa bilionea wa dunia kwa kugundua microsoft, kuna tatizo gani Nyaga kugundua hiyo program ya Brella?. Tena ikifanikiwa TRA watamtumia kuwatengenezea ile ya kuhakikisha kila mtu analipa kodi. Ile Asycuda++ haisaidii kitu?.
Wewe acha porojo ,so unataka kusema haya wanayosema kuhusu ushenzi huu uliofanywa na huyu bwana kujinufaisha binafsi ni sawa!? ..Unataka kutuambia tusiseme haya wanayofanya kujinufaisha kwa fedha za walipakodi kisa tutaonekana ni chuki binafsi!?.Unachoshabikia hapa wewe ni uswahiba wako na nyaga bila kujua ni adhari gani zitatokea kiuchumi/kijamii tukiwa tunafumbia macho uozo/ ushenzi kama huu.
 
mh e e Naogopa kusema yangu cz kwa pesa mnazozitaja huyo mtu hakawii kuntrak e e ngoja nirudi na secured Acount nimwage razi
 
Nyaga ana akili lakini hakupata point 7 O-level kulikuwa hakuna point saba ule mwaka na A-Level alipata point 4 (PCM) na siyo 3. Aliamua kwenda Law ili achukuwe biashara ya baba yake ambaye alikuwa lawyer pale moshi mjini.
 
Watu wanapotosha mambo humu kwa ushabiki ,afadhali umetoa data kamil
Nyaga ana akili lakini hakupata point 7 O-level kulikuwa hakuna point saba ule mwaka na A-Level alipata point 4 (PCM) na siyo 3. Aliamua kwenda Law ili achukuwe biashara ya baba yake ambaye alikuwa lawyer pale moshi mjini.
 
[quote=bluetooth;1488811]mkuu.... Concern yangu kubwa hapa ni kwamba kuna conflict of interests.... Nyaga mawalla of mawalla group ana mahusiano ya kiuzazi na assistant registrar wa brela ...

Je, mawalla group wamepata hiyo tender kwa kufuata sheria na kama ndio... Je? Wata deliver bila kukiuka taratibu kutokana na mahusiano ya binafsi baina ya supplier na client[/quote]

mkuu....

Rehema kitambi ni assistant registrar wa brela - client.... Nyaga mawalla ndiyo ceo wa mawalla group.... Supplier (investor in terms of public private partnership) nyaga na rehema ni wazazi .. Wana mtoto..
The unfold story is....

Nyaga na rehema wameanza urafiki wa kimapenzi tangu arusha school kwenye miaka ya 1984-85 ..... Wamekuwa wapenzi university of dar es salaam wakiwa wote kitivo cha sheria miaka ya 1994-95..... Wamemaliza pamoja nyaga amerithi kampuni ya sheria ya baba yake... Na rehema ameajiriwa brela....

Do we have any confidence with the practices under these circumstances....? I completely doubt

Rehema kitambi ni yule dada aliyewahi kuhusishwa na EPA kwa tuhuma za kujengwa nyumba an alikuwa shahidi kwenye kesi ya EPA pia??..kama ndie UDSM alisoma 1997-2000 na sio 1994-95.
 
hivi hii nchi ina usalama wa TAIFA
yaani wapenzi wawili wanaweza kutafuna mali za umma kirahisi namna hii
 
Mkur%2520Nyaga%2520Mawalla%2520akiongea%2520na%2520wanahabari%28kulia%29%2520shoto%2520Bertholomeo%5B1%5D.JPG


Wakili kutoka Kampuni ya Mawalla Advocates kutoka Arusha Nyaga Mawalla (kulia) akionyesha kielelezo na kivuli cha gazeti moja kilichoandika habari kuhusu Kampuni ya Mawala kufanya biashara ya kununua software kwa thamani ya shlingi bilioni moja. Kampuni hiyo imekanusha mbele ya waandishi wa habari jana jijini Dar es salaam kwamba haijawahi kufanya biashara hiyo. Pichani (shoto) ni wakili Lemmy Bartholomew wa Kampuni ya Mawalla Advocates. Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO.


Kama mnakumbuka yapata mwezi mmoja nilianzisha thread hapa kwenye Siasa lakini ilihamishiwa Business. Ila ilikuwa ni critical not only kwa BRELA kama institution na public body bali ili question not only utendaji wa mkuregenzi wa BRELA bwana MAHINGILA, ile thread ili question mpaka uwezo wa kishule na uwezo mdogo wa kujieleza aliouonyesha kwenye website ya BRELA.

thread yenyewe hii hapa:

https://www.jamiiforums.com/busines...597-mahingila-of-brela-another-dodgy-ceo.html

Apparently a local newspaper (sijui gazeti gani) bila ku-quote au kuipa JF credit kwa kugundua uozo ule wa BRELA na CEO wake kutumia 1 billion kuiuzia BRELA software ambayo haikufanya kazi.

Sasa kwa kuonyesha kuwa ile thread ilikuwa muhimu na imewagusa watu MAWALLA ADVOCATES wameitisha press conference na kukanusha kuwa hawaijauzia BRELA fake software.

Cha ajabu ni kuwa kule BRELA kwenyewe hawajataka kujibu hizi tuhuma za ubadhirifu wa pesa za umma infact wamekaa kimya as if hii issue sio muhimu kwao.

Sasa mnasema ngoma ilale au?

BRELA bila kuchoka tuwakomalie....
 
Hii inamaana mtoa taarifa wa mwanzo haukuwa na taarifa sahihi hivyo ,mtoa taarifa wa pili kutokana na kumbukumbu aliyonazo kitakwimu ndio ametoa kama kukanusha taarifa ya mwanzo .Hapo ni kuwa amempa mwanya mtoa taarifa wa mwanzo kama anavielelzo/takwimu sahihi atoe ila atakaponyamaza kimya ni kuwa amekubaliana na taarifa hii,ndio maana nikasema taarifa ya mwanzo ilikuwa ya upotoshaji .Kama ingekuwa sio ya upotoshaji isingepingwa hata kidogo.Kupingwa na kutolewa ufafanuzi hata kama haujajitosheleza inaonyesha taarifa inawalakini.
<br />
<br />Unaelewa mtu anapoandika "kama sikosei" au wewe ndio unataka kupotosha watu hapa?
 
Slidingroof, lengo sio kuwatetea Mawalla kuuza comp. prog kwa 1.Bln, wala sio kuwatetea Brella to spend such amout on white elephant project. Lengo ni kujaribu kuwa just a bit more objective hivyo kuwa fair kwa wahusika na kuwatendea haki.
1. Suppose Brella had no idea ya existance of such a program na Mawalla ndie ame sell hiyo idea kwa Brella na wakaikubali na
kui implement, then hiyo I bln kwa patent idea is just fine let alone program yenyewe.

Tulimwalika Prof. Hernando De Sotto wa Peru kuja kutoa mhadhara wa Formalization of Propetty Rights. Fee yake ni US $ 100,000 per hour!. Tulimkodi kwa 12 hours kwa 6 hrs per day for two days na tulilipa!. So what is I bln?.

2. Kama ni Mawalla ndio aliyependekeza hiyo prog kwa Brella na kuipatent, Brella had no way out bali kufanya Single Source ya procurement na kuwataarifu PPRA. Just kama walivyofanya single source ununuzi wa Rada, Ndege ya Rais, Magari ya Jeshi, Helcopter za Jeshi na Silaha kibao za kivita, tena tenda zote hizi zikifanywa na kupitia kampuni ile ile huku iki inflate kwa kuidouble bei halisi. Hivyo hakuna cha ajabu kuhusu single source procurement.

3. Kwa vile Brella sio watu wa kwanza kununua program hubu na tufanye itafiti taasisi nyingine zimespend kiasi gani kununua program zao tukikuta ni bei poa ndipo tuta conclude Brella wameibiwa.

4. Jee hiyo program inaweza kazi ?. Mfano TRA wamespend billions kununua program ya Ayscuda++ kufanya all its transactions. Wakaintroduce TIN ili ku track down kila mtu alipe kodi. Hiyo Ayscuda++ has proven failure na no one anapiga kelele. Futher more it has to be scrapped down ili kununua program ya Simba ambayo ndio itatumiwa na nchi zote za Jumuiya ya Afrika Mashariki, hivyo introduction ya program ku prove failure Brella sio wakanza. Kwa msio kumbuka TTCL ilipoingia ubia, walileta simu kibao za kadi na sarafu. Program ili feli waliibiwa mpaka wakafunga vibanda vyote. ATM na Luku walivyoanza program zilifeli na waliibiwa mpaka walipostuka. Hi
 
Pasco ahsante kwa maelezo yako marefu,though nina wasiwasi na utetezi wako huenda una maslahi binafsi, na mimi sina tatizo la kukubali mafanikio ya watanzania wenzangu, as long wameyapata mafanikio hayo kwa njia za halali.

Kuna jambo moja la msingi sana ningependa kujifunza toka kwako kwa niaba ya wanasheria wenzako; kwakua brela sio wa kwanza kuuziwa software ambayo ilikuja ku prove failure mbele ya safari, je kisheria ndivyo mnavyotoa utetezi kwa clients wenu mkiwawakilisha kwenye madai kama haya kwa kufanya sightation ya failures ili ku justify failures?

Kwa mtazamo wangu tena usio wa kisheria, unachofanya hapa ni kujaribu ku justfy unjustifiable.
 
Back
Top Bottom