Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Wakili kutoka Kampuni ya Mawalla Advocates kutoka Arusha Nyaga Mawalla (kulia) akionyesha kielelezo na kivuli cha gazeti moja kilichoandika habari kuhusu Kampuni ya Mawala kufanya biashara ya kununua software kwa thamani ya shlingi bilioni moja. Kampuni hiyo imekanusha mbele ya waandishi wa habari jana jijini Dar es salaam kwamba haijawahi kufanya biashara hiyo. Pichani (shoto) ni wakili Lemmy Bartholomew wa Kampuni ya Mawalla Advocates. Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO.
Kama mnakumbuka yapata mwezi mmoja nilianzisha thread hapa kwenye Siasa lakini ilihamishiwa Business. Ila ilikuwa ni critical not only kwa BRELA kama institution na public body bali ili question not only utendaji wa mkuregenzi wa BRELA bwana MAHINGILA, ile thread ili question mpaka uwezo wa kishule na uwezo mdogo wa kujieleza aliouonyesha kwenye website ya BRELA.
Thread yenyewe hii hapa:
MAHINGILA of BRELA: Another dodgy CEO - JamiiForums
Apparently a local newspaper (sijui gazeti gani) bila ku-quote au kuipa JF credit kwa kugundua uozo ule wa BRELA na CEO wake kutumia 1 billion kuiuzia BRELA software ambayo haikufanya kazi.
Sasa kwa kuonyesha kuwa ile thread ilikuwa muhimu na imewagusa watu MAWALLA ADVOCATES wameitisha press conference na kukanusha kuwa hawaijauzia BRELA fake software.
Cha ajabu ni kuwa kule BRELA kwenyewe hawajataka kujibu hizi tuhuma za ubadhirifu wa pesa za umma infact wamekaa kimya as if hii issue sio muhimu kwao.
Sasa mnasema ngoma ilale au?
=================
March 23, 2013
=================
Nyaga Paul Mawalla amefariki dunia, kwa taarifa zaidi tembelea - TANZIA: Wakili maarufu Nyaga Mawalla afariki dunia - JamiiForumsMarch 23, 2013
=================