Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
- Thread starter
- #81
watu bado wanachajiwa elfu 20 kusearch jina la kampuni BRELA wakati hili ni jambo ambalo lingewezekana kuwekwa FREE of charge kwenye website na software iliyocost BILIONI 2
Jameni hawa magamba watatukamua hadi lini? Kila mahali ni uozo! BRELA hawa si ndo walewale waliofoji hati za Richmond na kina kagoda? Enough is enough! Cammon Tzns!
Kwa nini uongozi wa Jamii media usiiandike Mawalla advocates na BRELA wakatoa maelezo kuhusu hizi tuhuma?
Mimi namjua Nyaga vizuri kutoka wakati wa Ilboru na si fisadi. Ni kweli kwamba ni mtu ambaye si wa bei nafuu na kama akifanya kitu ata toa bill kubwa kwa kazi yake lakini kazi yake ni nzuri na haina usirisiri hata kidogo. Ni business lawyer mzuri na nilivyoongea na wafnaya biashara na mikataba ya biashara ni mtu wa uwazi. Nyaga ni mfano mzuri kwa vijana wa Kitanzania ni jinsi gani unaweza kufanya kazi kwa maadili mema.
nyalandu kumbe ana connection na hawa jamaa?
Tumekwisha!
Unakumbuka viwanja vya Burka kaka,na je kampuni ya uwakili nayo inafanya biashara ya software au walikuwa wanasheria wa kampuni iliyoiuzia software Brela.Pia uaminifu wa sekondari inakowa tofauti na mtu akiwa anajitegemea watu hubadilika kutokana na nyakati kwa hiyo mambo ya kusema unamfahamu mtu fulani tokea mko shule haina mshiko,sorry ni maoni tuMimi namjua Nyaga vizuri kutoka wakati wa Ilboru na si fisadi. Ni kweli kwamba ni mtu ambaye si wa bei nafuu na kama akifanya kitu ata toa bill kubwa kwa kazi yake lakini kazi yake ni nzuri na haina usirisiri hata kidogo. Ni business lawyer mzuri na nilivyoongea na wafnaya biashara na mikataba ya biashara ni mtu wa uwazi. Nyaga ni mfano mzuri kwa vijana wa Kitanzania ni jinsi gani unaweza kufanya kazi kwa maadili mema.
Sasa kwa kuonyesha kuwa ile thread ilikuwa muhimu na imewagusa watu MAWALLA ADVOCATES wameitisha press conference na kukanusha kuwa hawaijauzia BRELA fake software.
Cha ajabu ni kuwa kule BRELA kwenyewe hawajataka kujibu hizi tuhuma za ubadhirifu wa pesa za umma infact wamekaa kimya as if hii issue sio muhimu kwao.
Sasa mnasema ngoma ilale au?
Kwani Nyaga keshaachana na Rehema Kitambi wa BRELA? Make jamaa huwa ni strategic sana. Alimchomeka Rehema BRELA ili issue zake zipete. Labda ndie pia alimuunganishia hiyo dili ya software. Yetu macho.
Kwa wale tunaomjua Mawalla; subirini siku si nyingi mtakuwa shocked na ufisadi wake wa hali ya juu; by then nadhani atakuwa South Africa akwenye ofisi yake wakati sisi tukiwa Tahrir Square. Just wait and see. Mtu anaemtetea amuogope Mungu