HorsePower
JF-Expert Member
- Aug 22, 2008
- 3,612
- 2,566
Kwa siku za hivi karibuni, tumekuwa tukishuhudia sehemu kubwa ya mahusiano yanayo wahusisha vijana hatima yake huwa ni machozi yanayoambatana na maumivu ya majuto.
Je, tunakuwaa hatuufahamu ukweli tunapoingia ktk mahusiano? Tatizo ni nini? Tunaweza kufanya nini tuepukane na hii hali?
Naomba Maoni yako kuhusiana na hili tatizo!
Je, tunakuwaa hatuufahamu ukweli tunapoingia ktk mahusiano? Tatizo ni nini? Tunaweza kufanya nini tuepukane na hii hali?
Naomba Maoni yako kuhusiana na hili tatizo!