somba kankara
Member
- May 6, 2012
- 84
- 13
MAPENZI sio jambo la kukurupuka wengi wanaoumia huwa wamekurupuka ukifatilia utakuta aliingia ktk mapenzi kama starehe au ili aonekane anampenzi, kwasababu ya uzuri wa sura na mengine kama hayo lakini mapenzi sio hayo hayo ni nyongezatu kamakweli unamfuatilia mpenziwako utamgundua mapemasana kama anakupenda au anakudanganya na ndio mwanzo wa kuumia kimapenzi kamampenziwako UNAMLIZISHA hakuna siku atawaza kutoka na hata akitoka atajuta maana kilasiku unatakiwa upate kitu kipya kutoka kwa mpenziwako kinachompagawishazaidi sasa akikutana na huyo mpya ambaye ndo anaanza moja hatofikia ambapo huwa anafikishwa na mpenzi wake
labda nieleweke kuhusu UNAMLIZISHA sio kupiga mpaka magori ishilini au mpaka ulimi utoke Unaweza ukamlizisha mpenziwako wakati hujaingiza ......hebu nitafute kama unahitaji hayo
labda nieleweke kuhusu UNAMLIZISHA sio kupiga mpaka magori ishilini au mpaka ulimi utoke Unaweza ukamlizisha mpenziwako wakati hujaingiza ......hebu nitafute kama unahitaji hayo