Maumivu ya mahusiano!

Hapo penye bold nakubaliana na wewe Kongosho lakini kuna changamoto moja kuwa kama mmoja yupo kimaslahi na mwingine ndo keshafika, aliyoko kimaslahi ndiye ambaye hawezi kuumia, lakini yule aliyejiona ameshafika ndiye anayekumbwa na mkasa wa majeruhi wa mapenzi .....


Swali: Tunakuwa hatufahamu ukweli tunapoingia ktk mahusiano? Kuna namna ya kuepukana na hii hali? Nini cha kuzingatia tunapoanzisha mahusiano yanayoweza kutupeleka kwenye ndoa?

hebu niambie nini cha kuzingatia manake kuna mtu nadhani kama ananichomesha mahindi tu
 
hebu niambie nini cha kuzingatia manake kuna mtu nadhani kama ananichomesha mahindi tu

Hapo ndipo nilipokuwa nataka tupajadili nini cha kufanya ingawaje suala la mahusiano ni complex sana ...
Kwa sehemu ningeweza kufikiria yafuatayo ingawa ningependa kupata mawazo ya watu wengine zaidi ...

1. Kuchunguzana kabla na kisha kuifundisha nafsi na mioyo iwe na uwezo wa kusema 'no' kwa yule mwenye tabia mbaya
2. Kupunguza papara za kujiingiza kwenye mahusiano bila maandalizi
3. Vijana wajifunze kupenda na siyo kutamani
4. Kuondoa dhana ya mtu atabadilisha tabia wakati umeshaziona dalili za mvua
.... nk

Hapa unaweza kuendeleza na za kwako!
 
Mie naaamini kabla ya kuingia kwenye mahusiano unajua kabisa
Huyu mtu ni wa aina gani
Kuna viashiria vidogo vidogo viiingi
Lakini mara nyingine tunakataa kuukubali ukweli maana kwa wakati huo unakuwa mchungu kwetu
Inabidi kujidanganya mtu unayeingia naye kwenye mahusiano na yeye 'kapeeenda' huku wazi kabisa 'conscious' au 'six sense' yako inakuambia anataka 'pesa' yako tu anataka kuingia kwenye 'sketi' yako tu

Mbona hili liko wazi from day 1?

Mtu anayekupanda 'genuinely' unamfahamu kabisa.


cacico, kuona viashiria ni A, na kuukubali ukweli ni B

Siamini kuwa kuna watu hawawezi kabisa kuona viashiria au kuna watu wanaweza kupretyend saaaana kiasi kwamza usiweze ona ukweli.Kinachotuumiza ni 'denial' kwa sababu ushavutiwa sana na mtu huyo.

Jamani kila kitu huiongea, maneno, matendo, macho.Usiniambie wee huna 'six senses'? hata kama ziko five senses mtu anayekupenda kiukweli kabisa unamjua

Cha kwanza huwa hana 'mysteries' unaweza msoma kila kitu.Ukiona uko na mtu afu kila siku kuna vitu 'dots' haziconnect afu bado useme hukujua kama ni real ama lahBasi anza fuata utabiri hata wa hali ya kewa.

Simaanishi kuwa kuanzia mwanzo utajua mikiki mikiki yte kuwa labda atakuua au atakuwa anakupiga 2*3 kwa siku 4Lakini utajua kabisa huyu mtu chochote chaweza tokea so expect some 'Disappointments'

I am loving your insight on the subject, huo ndo ukweli, you're simply calling a spade, a spade. Looking at love from this perspective may label you as a pessimist, but I'd rather be labeled one than keep claimimg that "love is blind" yet I am the one that chose to be blind afterall.
 
cacico, kuona viashiria ni A, na kuukubali ukweli ni B

Siamini kuwa kuna watu hawawezi kabisa kuona viashiria au kuna watu wanaweza kupretyend saaaana kiasi kwamza usiweze ona ukweli.Kinachotuumiza ni 'denial' kwa sababu ushavutiwa sana na mtu huyo.

Jamani kila kitu huiongea, maneno, matendo, macho.Usiniambie wee huna 'six senses'? hata kama ziko five senses mtu anayekupenda kiukweli kabisa unamjua

Cha kwanza huwa hana 'mysteries' unaweza msoma kila kitu.Ukiona uko na mtu afu kila siku kuna vitu 'dots' haziconnect afu bado useme hukujua kama ni real ama lahBasi anza fuata utabiri hata wa hali ya kewa.

Simaanishi kuwa kuanzia mwanzo utajua mikiki mikiki yte kuwa labda atakuua au atakuwa anakupiga 2*3 kwa siku 4Lakini utajua kabisa huyu mtu chochote chaweza tokea so expect some 'Disappointments'

Lakini Kongosho disappointments ni vitu vya kawaida kwa binadamu yoyote asiye perfect!!!na zinavumilika......fikiria kuna mambo ambayo kwakweli kuyavumilia/kuyabeba ni magumu labda pia uwe tayari kutoa uhai wako.

Haya kisa cha kuniita cacico ni nini???au sababu mke mwenzangu ukatufananisha....lol
 
Last edited by a moderator:
Duh, pole bana, naona leo cacico yupo kichwani mwangu sana.

Hata mtu akupende genuinely, off course kama binadamu anakuwa na mapungufu
Nachoongelea hapa ni pale unajua kabisa huyu mtu si wa muda mrefu au si match ya aina ya mwenza wangu lakini unakuwa naye tu kwenye mahusiano sababu ushampenda so unaamua kufumbia macho yale usiyoyapenda

Lakini Kongosho disappointments ni vitu vya kawaida kwa binadamu yoyote asiye perfect!!!na zinavumilika......fikiria kuna mambo ambayo kwakweli kuyavumilia/kuyabeba ni magumu labda pia uwe tayari kutoa uhai wako.

Haya kisa cha kuniita cacico ni nini???au sababu mke mwenzangu ukatufananisha....lol
 
Last edited by a moderator:
Ndiyo maana nikasema kwenye namba moja hatutaki kuwa "realistic"......Kwamba sijidanganyi na najua huyu mtu ni player kwa hiyo kama naingia lazima niukubali 'utata" wake na nijue namna ya kukabiliana nao au kuumia nao ama niangalie future kwa uhalisia wake vilevile na si kujidanganya kwa jambo ambalo huna hakika nalo (kwa mfano atabadilika baadaye)
Kongosho, hapa ni kama umenisemea. Tatizo haka kasimu siwezi kuweka big LIKE. Tatizo watu, hasa wadada, tunaona maisha magumu kwa kuingia kwenye mahusiano na mtu mwenye matabia ambayo huyapendi ukadai kwamba "utambadilisha". Kama mtu unampenda na unaona uta-enjoy kampani yake basi ingi kwake ukijua utavumilia pia mapungufu yake, siyo kwamba utambadilisha


Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
 
Duh, pole bana, naona leo cacico yupo kichwani mwangu sana.

Hata mtu akupende genuinely, off course kama binadamu anakuwa na mapungufu
Nachoongelea hapa ni pale unajua kabisa huyu mtu si wa muda mrefu au si match ya aina ya mwenza wangu lakini unakuwa naye tu kwenye mahusiano sababu ushampenda so unaamua kufumbia macho yale usiyoyapenda

Hapo penye kufumbia macho ndio msalaba utaojikuta unaubeba.......kwa mtu kama huyu naweza sema amejitakia. Je, kwa yule ambae hakuona kasoro za kufumbia macho tatizo linakua wapi???!!!! Kama mimi wa kwangu nilimuona wa maana hamna mfano hata kama angetokea malaika wa kuniambia hapa umeangukia pua sidhani kama ningemuelewa kwa kipindi hicho!!!lakini kumbe alikua ni JINI na si binaadamu asilani!
 
Kongosho, hapa ni kama umenisemea. Tatizo haka kasimu siwezi kuweka big LIKE. Tatizo watu, hasa wadada, tunaona maisha magumu kwa kuingia kwenye mahusiano na mtu mwenye matabia ambayo huyapendi ukadai kwamba "utambadilisha". Kama mtu unampenda na unaona uta-enjoy kampani yake basi ingi kwake ukijua utavumilia pia mapungufu yake, siyo kwamba utambadilisha


Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
FP acha utani bana sie wenye katochi tusemeje? lol
 
Duh, pole bana, naona leo cacico yupo kichwani mwangu sana.

Hata mtu akupende genuinely, off course kama binadamu anakuwa na mapungufu
Nachoongelea hapa ni pale unajua kabisa huyu mtu si wa muda mrefu au si match ya aina ya mwenza wangu lakini unakuwa naye tu kwenye mahusiano sababu ushampenda so unaamua kufumbia macho yale usiyoyapenda

Lakini Kongosho disappointments ni vitu vya kawaida kwa binadamu yoyote asiye perfect!!!na zinavumilika......fikiria kuna mambo ambayo kwakweli kuyavumilia/kuyabeba ni magumu labda pia uwe tayari kutoa uhai wako.

Haya kisa cha kuniita cacico ni nini???au sababu mke mwenzangu ukatufananisha....lol
 
Last edited by a moderator:
Wengi wanakua wanaingia kwenye mahusiano kwa maslahi yao,wakikuona mambo safi mtu anaingia na maneno matamu,
baby na darling kwa wingi,na wala haoni tabu kumchukua bwana na hata mdogo wake..
hivi kuna mapenzi iwapo kuna msukumo wa nje?
maslahi gani ambayo watu wanaangalia? na je inamaana matajiri hawaumizwi kimapenzi?
 
Mmh, HP moyo ni msaliti sana wakati mwingine.

Kuna saa ukweli unakuwa shubiri unaamua kujifurahisha na uongo japo kwa muda.
Hapa mwisho wake lazima yawe machozi

Kuna saa unapenda wakati unaona mbele kiza na unajua/hisi kabisa hakuna future.
Kama ni mtu 'realistic' unaamua kukwepa ila ukishindwa unajisemea liwalo na liwe

Na kumbuka, wakati mwingine kadiri unavyokaa na mtu ndivyo upendo unazidi
Kongosho signature yako yaweza kusemea kila kitu hapa.

nikuulize swali moyo na akili kipi kinachotakiwa kumsemezesha mwenzie? na niwakati gani unapo takiwa kuuskiliza moyo na niwakati gani unapotakiwa kuusikiliza akili? nafsi yenyewe itakuwa ni muhanga wa yatokanayo kwenye akili na moyo.
 
Last edited by a moderator:
1. Tumekuwa wasanii mno (tunaigiza tunachokiwaza) hatutaki kuwa realistic na kuukubali ukweli

2. Kipato pia ni tatizo......wapenzi wanataka kupendeza (pesa), kula vizuri (pesa), simu na voucher (pesa), kutoka out (pesa).......Kwa hiyo utaona hivyo vionjo vyote vipya vilivyoingizwa kwenye mapenzi vinaenda kwa nguvu ya chapaa na kama mmojawapo hana basiii.

3. Tuna-expect mengi sana kutoka kwa wenzi wetu kana kwamba wao ni viumbe wa ajabu sana au malaika kwa mfano: sexy (unataka perfect), uzuri (perfect) , maongezi na (perfect) n.k

4. Kutokuwa waaminifu kwenye mahusiano....ambayo pia inaweza kuchangiwa na sababu hizo hapo juu

kwani kaka yangu furaha ya dunia hii imekuwa established wapi? na je kuna utimilifu wowote katikati ya binadamu?
 
tatizo unatakiwa kulijua wewe na huyo mpendwa wako coz mapenz hayana formula kwamba fulan alifanya hivi bac uige,so lazima ujipime wewe kama ni mkal wa kuhandle situations,enjoy...........

na u wapi utofauti wa mtu na mtu katika kupenda? kama hakuna fomula kwanini mwishowe tunaisha kusema upendo wa dhati?
 
Mambo safi ni nini?
Na maslahi mazuri yanaaznia sh. ngapi?

Basi, tena penzi linapokuwa la maslahi haliumi hata tone moja
Wenye mafao mazuri ya kimaslahi ni wengi tena wanono tu
Ni marketing strategy tu inahitajika, hapa huwa anashuka mtu anapanda mtu.

But, when it's 'real' hapo ndio huwa kuna maumivu.
Kongosho wasemea maslahi gani hapa?
 
Last edited by a moderator:
Hapo penye bold nakubaliana na wewe Kongosho lakini kuna changamoto moja kuwa kama mmoja yupo kimaslahi na mwingine ndo keshafika, aliyoko kimaslahi ndiye ambaye hawezi kuumia, lakini yule aliyejiona ameshafika ndiye anayekumbwa na mkasa wa majeruhi wa mapenzi .....


Swali: Tunakuwa hatufahamu ukweli tunapoingia ktk mahusiano? Kuna namna ya kuepukana na hii hali? Nini cha kuzingatia tunapoanzisha mahusiano yanayoweza kutupeleka kwenye ndoa?


HP unarefer kwenye mahusiano gani? manake to me everything must be defined before getting in. kwani si lazma mdefine terms and conditions b4? ama lunch na dinner tunatoana with no focus? unless kama mnatoka for funny lakin in real relationship it is not supposed to be like that.
 
gfsonwin, ishu ni kubalance kati ya moyo na akili kipi kifanye maamuzi kulingana na mazingira husika.

maslahi, kwa case hii ni faida yoyote kutoka kwa mtu unayekuwa naye katika mahusiano ya kimapenzi ispokuwa 'hisia za kweli za kimapenzi na mtu huyo'
 
Last edited by a moderator:
kwani kaka yangu furaha ya dunia hii imekuwa established wapi? na je kuna utimilifu wowote katikati ya binadamu?

Sis kwa maswali magumu: Furaha iipo kwenye upendo usiohesabu "gharama" .......na hakuna utimilifu kwa binadamu lakini tunatakiwa tuenende kama watu wanaotafuta utimilifu huo na si bila dira yeyote
 
mara nyingi tatizo ni kutokuwa makini, kufuata hisia kuliko uhalisia.

you said it quite correct watu hawakubali tu ukweli kwamba huyu gfsonwin nimpenzi wangu mapungufu yake ni haya na haya na nitajifunza kuyavumilia ama kama siwez let me quit kwani hakuna aliyeandikiwa msalaba usoni kwake.

ila pia kukurupuka ni kubaya sana siwez kupinga sana swala la watu kudate but when it comes to serious relationship lazima tujifunze kuwa makini usisai mkataba mpaka umeridhika na kuaona maji haya nikiyavulia kuyakoga naweza.
 
HP unarefer kwenye mahusiano gani? manake to me everything must be defined before getting in. kwani si lazma mdefine terms and conditions b4? ama lunch na dinner tunatoana with no focus? unless kama mnatoka for funny lakin in real relationship it is not supposed to be like that.

Hapa tunamaanisha mahusiano ya kimapenzi, maana haya ndiyo mahusiano ya mwanaume na mwanamke ambayo huleta majonzi chungu tele kila kukicha.
Hapo kwenye hao wenyewe wanoingia kwenye mahusiano huwa tayari wame-define terms zao mapema lakini in the long run, inakuja kubainika kuwa mmoja wapo hakuwa na mapenzi ya dhati, na hivyo kumtenda mwenziwe, mara nyingi huwa alivutiwa na mambo fulani fulani tu yalimlazimisha kuingia kweney hayo mahusiano. Hapo ndipo tunapotaka kujadili, nini tufanye kupunguza hii hali!
 
Back
Top Bottom