Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,810
- 15,398
- Thread starter
- #41
Niliku-PM mbona kimya, tuko pamoja mtu wetu! Binafsi sijuhi kitu kinachoitwa tusi, naamini mtu yeyote anayo haki ya kunisema lolote nami haki yangu ni kuamini au kutoamini alichosema. Tuseme ameniambia **#@# ya mama yangu..nami huwa najiambia hivi: mama angekuwepo angemuonyesha **#@ yake akaona kuwa ni kiungo cha mwili tu kama jicho, mkono au ulimi. Mimi sina hata sababu ya kupigana.
Ha ha ha ha haaaaaaaaaaa, nilikujibu kwa Email yako.............. soma email yako
Hivi siku zote ulikuwa wapi? maana kila nikiweka thread hapa sioni changamoto zako, karibu tusaidiane kubadilisha mitazamo ya wenzetu........ taratibu tu wataelewa na kuondokana na akili za kupewa...............LOL