The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,873
Nimewahi, na bado nafanya mpaka sasahivi.
unafanya matusi?
au kutendewa matusi ?lol
Nimewahi, na bado nafanya mpaka sasahivi.
Khaaa! Ndo yapi hayo babu?Sweetlady naomba unipe matusi. Nna hamu sana na matusi.......
Oups sorry Ya Kaisari tumwachie Kaisari na Ya Mungu Tumwachie Mungu......Khaaa! Ndo yapi hayo babu?
Hapana, Bishanga kaniuliza kama nimewahi kufanya meditation, sio matusi na wewe!unafanya matusi?
au kutendewa matusi ?lol
Meditation ipi tantra,ya yogesh mahesh,kundalin au ipi? Just out of curiousity!Nimewahi, na bado nafanya mpaka sasahivi.
Name calling hiyo. Hujajibu quote yangu kule chitchat!Oups sorry Ya Kaisari tumwachie Kaisari na Ya Mungu Tumwachie Mungu......
ukiwa mtoto mdogo ndio kuna matusi...
ukishakuwa mtu mzima hakuna matusi...
Una ushahidi wowote? Afu unajua dawa ya deni kulipa? Na madeni lazima yaambatane na riba? Sidhani kama hili ni tusi!Name calling hiyo. Hujajibu quote yangu kule chitchat!
Yoga nimefanya kidogo. Kwa sasa nafanya ya Path Society!Meditation ipi tantra,ya yogesh mahesh,kundalin au ipi? Just out of curiousity!
Khaaaa! Hivi kufanya si ndo matusi yanayozungumziwa hapa au?Yoga nimefanya kidogo. Kwa sasa nafanya ya Path Society!
mkuu hili la wazazi au mke au ndugu yangu wa karibu sijui kama ni kufundishwa tangu utotoni
Mzazi wangu nampa heshima zote na maneno mengine siwezi yaruhusu yake kwake so kwangu yale maneno ambayo ni offesnsive bado nayaregard kama matusi
Na ndo maana abusive language dhidi ya mtu ni kosa kisheria pia
Khaaaa! Hivi kufanya si ndo matusi yanayozungumziwa hapa au?
Hahahahaha......mi chimo!matusi yote kafanya lol
Deni nitalipa believe me! Riba atapokea Kaizer badala yako!,.. Afu nimekumbwa na mkasa mjukuu wako, vile siku hizi wajukuu tumekuwa wengi nimeshindwa hata kukusimlia manake sina hakika kama utanipa nafasi... Nikipata nauli jijini nitakufuata...lolUna ushahidi wowote? Afu unajua dawa ya deni kulipa? Na madeni lazima yaambatane na riba? Sidhani kama hili ni tusi!
Hapo kwenye riba ndo napoogopa zaidi. Isije ikawa riba imekuwa kubwa kuliko deni lenyewe....... Pole kwa mkasa, hope si wa kustua. Nafasi nsikupe tena, kumbe ntampa nani?..........Unakaribishwa, ukifika we bisha hodi tu, babu atakupokea akiwa na mkongojo wake LOLDeni nitalipa believe me! Riba atapokea Kaizer badala yako!,.. Afu nimekumbwa na mkasa mjukuu wako, vile siku hizi wajukuu tumekuwa wengi nimeshindwa hata kukusimlia manake sina hakika kama utanipa nafasi... Nikipata nauli jijini nitakufuata...lol
Jamani, mimi na Bishanga tulikuwa nje ya huu uzi wa Mutambuzi, hapo sizungumzii kufanya matusi! Asprin na The Boss acheni kubadilisha maana!..lol..Khaaaa! Hivi kufanya si ndo matusi yanayozungumziwa hapa au?
Hapo kwenye riba ndo napoogopa zaidi. Isije ikawa riba imekuwa kubwa kuliko deni lenyewe....... Pole kwa mkasa, hope si wa kustua. Nafasi nsikupe tena, kumbe ntampa nani?..........Unakaribishwa, ukifika we bisha hodi tu, babu atakupokea akiwa na mkongojo wake LOL